Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
"Tuliisubiri hii nafasi kwa muda wa miaka 50 sasa,huu ndio wakati muhimu wakubadilisha siasa nzima za Mashariki ya Kati" Naftal Bennett aliekuwa Waziri Mkuu wa Israel.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Talking a lot of trivial issues.
It is MILLITARY INFRASTRUCTURE NOT OBJECTS YOU FOOL.
Go and look on social media platforms you will see how Nevatim air base was damaged.
That's why I said millitary infrastructures.According to the Geneva Conventions and it's Additional Protocols. Military Objects/Objectives is a proper technical term. Infrastructure is a generic terms which encompasses even items which by their nature are not legitimate military targets. Eg Military Cathedrals, Manufacturing plants with civilian workforce.
Kama kawaida yetu! Watanzania tuna fuata upepo mshindi Ndio bingwa ..tuwaache wazichape tuu..Mkuu, sio Duniani! ni hapo Mashariki ya Kati tu; sie wa huku South America tunaendelea na mishe mishe zetu.
That's why I said millitary infrastructures.
Kobazi hoi taifa teule linawashikisha adabu
Aisee Israel kapigika asee
acha uchochezi, Iron Dome na Mungu imepangua zoteAisee Israel kapigika asee
Ni kichaa tu asiyeona kuwa kuna madharaJana ilitokea vichekesho vya dunia baada ya kobazi wa Irani kurusha vibaruti vyao na mwishoe kudunguliwa na netanyahu Sasa basi kama mnavyomjua mtu mwenye akili nyingi duniani netanyahu kasema Iran wamejichimbia kaburi hivyo anataka kwenda kuifanya Israel majivu kama alivyoifanya Gaza kobazi naona mnajambajamba Sasa hivi myahudi anafanya vitendo nyie si mnaigiza muda si mrefu Iran inageuzwa majivu
Kobazi hoi huko hahahaha wanarusha vibaruti ambavyo havina madharaAisee Israel kapigika asee
Hahahahaallah aandae madem wengi maana wafuasi wake watatembezewa kichapo heavy siku za usoni. Nasikia sahivi anatoa dem 1 kwa kila magaidi 5 maana hajatarajia kupokea ugeni mkubwa kiasi hiki huko kuzimu.
Tafuta habari za kutosha achana na propaganda za mangaribi:Jana ilitokea vichekesho vya dunia baada ya kobazi wa Irani kurusha vibaruti vyao na mwishoe kudunguliwa na Netanyahu.
Sasa basi kama mnavyomjua mtu mwenye akili nyingi duniani Netanyahu kasema Iran wamejichimbia kaburi hivyo anataka kwenda kuifanya Israel majivu kama alivyoifanya Gaza.
Kobazi naona mnajambajamba.
Sasa hivi Myahudi anafanya vitendo nyie si mnaigiza muda si mrefu Iran inageuzwa majivu
Kobazi hoi huko unaambiwa wamepiga hewa hahahahaNi kichaa tu asiyeona kuwa kuna madhara
Kobazi wamepiga hewa subiri kichapo kutoka Kwa taifa teule lenye akili ya vita hahahahaTafuta habari za kutosha achana na propaganda za mangaribi:
![]()
Massive Iranian Missile Strike ‘Completely Destroys’ Israeli F-35 Base Nevatim: Stealth Fighters Destroyed - Reports
A massive Iranian ballistic missile strike on targets in Israel launched on October 1 has targeted Nevatim Air Base, among other key targets in the country. The facilitymilitarywatchmagazine.com
Dumb heads 😂😂.... Me nawachekaga sana wakristo kuwapa fagio wayahudi wakati wao hawana Hata time nao.. kwanza Yesu mwenyewe hawamkubali.. mpaka wakamuuza kwa vipande vya fedhaKobazi hoi huko hahahaha wanarusha vibaruti ambavyo havina madhara