Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Iran yarusha Makombora takriban 200 kuelekea Israel, Rais Biden aagiza Jeshi la Marekani kuyazuia

Hakuna kioichofanyika cha maana kwa makombora ya iran ndege zote zilikuw hewan na clip zako za kutengeneza ambazo hata al jazeera hana 🤣

View: https://x.com/kimhvik2/status/1841124340974133357?t=uhs3NSEjNyGKbEJkOUj23Q&s=19
Hahaha sawa dogo hakuna kilicho fanyika Israel leo kakiri base zake zimepigwa we uje useme ndege zote zilikuwa kwenye anga 😄

Nakuliza swali wewe unajua F35 ikiwa ina fly mda wa one hour in cost ngapi? Au basi ni ujinga wako ndio unakudan'gan'ya. Ikiwa F16 ina cost karibu 40,000 US dollars ikiwa kwenye anga one hour. Punguzeni ujinga.


View: https://youtube.com/shorts/2DtXV2uxM_E?si=JcLAcyTfjK2k6w1j

Piga in one hrs utapata jibu.


View: https://youtu.be/hIOBlOzK-3U?si=OcfFU_cG-Cgt6Bfl

Aljazeera kafukuzwa huko afu we tazama Aljazeera ya kiarabu ndio utafahamu Aljazeera ya kizungu hatoi aibu za Israel

Ndege 20 F-35 ni majivu kabisa we endelea kujitekenya.
 
Hahaha sawa dogo hakuna kilicho fanyika Israel leo kakiri base zake zimepigwa we uje useme ndege zote zilikuwa kwenye anga 😄

Nakuliza swali wewe unajua F35 ikiwa ina fly mda wa one hour in cost ngapi? Au basi ni ujinga wako ndio unakudan'gan'ya. Ikiwa F16 ina cost karibu 40,000 US dollars ikiwa kwenye anga one hour. Punguzeni ujinga.


View: https://youtube.com/shorts/2DtXV2uxM_E?si=JcLAcyTfjK2k6w1j

Piga in one hrs utapata jibu.


View: https://youtu.be/hIOBlOzK-3U?si=OcfFU_cG-Cgt6Bfl

Aljazeera kafukuzwa huko afu we tazama Aljazeera ya kiarabu ndio utafahamu Aljazeera ya kizungu hatoi aibu za Israel

Ndege 20 F-35 ni majivu kabisa we endelea kujitekenya.

Nimekupa na route kabisa kipindi iran anarusha makombora yake hizo ndege zilikuwa wapi
Bado unabisha uandhani hiki ni kijiwe cha alkasus unaleta uongo hahah sasa kama zinakost hivyo je waziache chini zilipuliwe kumbe ww tahira? 😆🤣

View: https://x.com/DrEliDavid/status/1841523855556268509?t=8JgiaxqJ1qyE9fui-2C4mw&s=19
 
Hahaha sawa dogo hakuna kilicho fanyika Israel leo kakiri base zake zimepigwa we uje useme ndege zote zilikuwa kwenye anga 😄

Nakuliza swali wewe unajua F35 ikiwa ina fly mda wa one hour in cost ngapi? Au basi ni ujinga wako ndio unakudan'gan'ya. Ikiwa F16 ina cost karibu 40,000 US dollars ikiwa kwenye anga one hour. Punguzeni ujinga.


View: https://youtube.com/shorts/2DtXV2uxM_E?si=JcLAcyTfjK2k6w1j

Piga in one hrs utapata jibu.


View: https://youtu.be/hIOBlOzK-3U?si=OcfFU_cG-Cgt6Bfl

Aljazeera kafukuzwa huko afu we tazama Aljazeera ya kiarabu ndio utafahamu Aljazeera ya kizungu hatoi aibu za Israel

Ndege 20 F-35 ni majivu kabisa we endelea kujitekenya.


View: https://x.com/TheMossadIL/status/1841741504529735757?t=lzTWHpFdhTIDgofKKL_ETg&s=19
 
Nimekupa na route kabisa kipindi iran anarusha makombora yake hizo ndege zilikuwa wapi
Bado unabisha uandhani hiki ni kijiwe cha alkasus unaleta uongo hahah sasa kama zinakost hivyo je waziache chini zilipuliwe kumbe ww tahira? 😆🤣

View: https://x.com/DrEliDavid/status/1841523855556268509?t=8JgiaxqJ1qyE9fui-2C4mw&s=19
Eti zilikuwepo juu Israel hakutegemea kushambuliwa na Iran kuja kuambiwa na US hakuweza kufanya lolote hata Nyau alikimbia mbio eti ndege zilikuwa juu hio ni Satalite image ndio imeonyesha uwongo wa Israel usidhani Iran 😄 Rudi shule dogo kasome


View: https://youtu.be/t7gx33mb-Bc?si=Pwy0pECeh3YX24D2
 
Najua umeumia sana na kulia sana[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]pole sana Iran sio Chato broo

Here we go broo

Iran sio ifakara mwee[emoji23][emoji23]
Oct 1 (Reuters) - The Israeli military said on Tuesday that missiles had been launched from Iran towards Israel, and that Israel's home front command had provided life-saving guidelines to people in various parts of the country.


Televisheni ya taifa ya Iran imeangazia taarifa kutoka kwa IRGC (lslamic Revolution Guard Corps) ikithibitisha kuwa "makumi" ya makombora yamerushwa kuelekea Israel, na kutishia shambulio jingine iwapo Israel itajibu.

Iran inasema shambulio hilo la makombora ni la kulipiza kisasi mauaji ya mwezi Julai ya kiongozi wa Hamas, Ismail Haniyeh, pamoja na kiongozi wa Hezbollah, Hassan Nasrallah, siku ya Ijumaa - na kwa mauaji ya watu wa Lebanon na Wapalestina.

Inasema jeshi lake la anga lilikuwa limeazimia kulenga "kambi muhimu" na litatangaza maelezo baadaye.


Soma: Marekani yasema Iran itashambulia Israel masaa machache yajayo. Netanyahu anajaribu kumpigia Putin
 
Sasa Israel bado anaendelea kuwatwanga Palestina huko Gaza na Lebanon anaendelea kutoa kipigo na viongozibwa hezbollah bado wanawindwa wakitoa pua tu wanawahishwa ahera. Sasa shambulizi la Iran limezuia nini?
 
Sasa Israel bado anaendelea kuwatwanga Palestina huko Gaza na Lebanon anaendelea kutoa kipigo na viongozibwa hezbollah bado wanawindwa wakitoa pua tu wanawahishwa ahera. Sasa shambulizi la Iran limezuia nini?
Ni sahihi. Sisi tunashabikia vita hii kwa hisia za siasa kali za ukristo na hasa uislam. Lakini hatupunguzi madhara wala vifo vya wapalestina na WA Lebanon. Na bahati mbaya kote pana waislam wengi wanaokufa na WAKRISTO wachache wanaokufa pia. Lakini tusisahau, hata kukiwa na amani ya kawaida, muislam kwa Imani ya kitabu chake ni mbaguzi, mkatili na muoneaji wa mkristo.
 
Eti zilikuwepo juu Israel hakutegemea kushambuliwa na Iran kuja kuambiwa na US hakuweza kufanya lolote hata Nyau alikimbia mbio eti ndege zilikuwa juu hio ni Satalite image ndio imeonyesha uwongo wa Israel usidhani Iran 😄 Rudi shule dogo kasome


View: https://youtu.be/t7gx33mb-Bc?si=Pwy0pECeh3YX24D2

Hakuna kitu hspo picha ya kutengeneza hiyo
Na wewe umeingia mkenge kichwa kichwa nevatim airbase ilipigwa april na juzi ilipigwa lakini hskun ndege yyte iliopigwa na nilikupa picha za radar 1 hour before attack fleet yote ilikuwa hewani sijui unaelewa? 🤣
 
Ni sahihi. Sisi tunashabikia vita hii kwa hisia za siasa kali za ukristo na hasa uislam. Lakini hatupunguzi madhara wala vifo vya wapalestina na WA Lebanon. Na bahati mbaya kote pana waislam wengi wanaokufa na WAKRISTO wachache wanaokufa pia. Lakini tusisahau, hata kukiwa na amani ya kawaida, muislam kwa Imani ya kitabu chake ni mbaguzi, mkatili na muoneaji wa mkristo.
Sense 100%
 
Back
Top Bottom