Iran yasema ndio imeipelekea makombora Urusi.Vile vile imeshawapatia Hezbollah silaha yake kali ya EMP inayopiga mifumo ya kusambazia umeme.

Iran yasema ndio imeipelekea makombora Urusi.Vile vile imeshawapatia Hezbollah silaha yake kali ya EMP inayopiga mifumo ya kusambazia umeme.

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Habari za kijasusi za Marekani kwamba Iran wameisambazia Urusi makombora ya masafa mafupi zitakazotumika katika vita na Ukraine, sasa si siri tena baada ya mbunge wa Iran na mjumbe wa kutunga sera za kiulinzi kusema ni kweli wameshaipatia Urusi silaha hizo.

Akiweka wazi hatua zao hizo,mbunge huyo amesema nchi yake imekuwa ikifanya hivyo kwanza kukwepa vikwazo vya kiuchumi vya nchi za magharibi.Wanapeleka silaha hizo kubadilishana na maharagwe pamoja na ngano kwa matumizi ya raia zake.

Kwa upande mwengine taifa hilo lenye uhasama na Israel limesema tayari wameshakipatia chama cha Hizbullah silaha yake adimu na ya kipekee ya EMP ambayo ni maalumu kwa ajili ya kupiga mifumo ya kusambazia umeme na kulenga radar zinazotumiwa na jeshi la Israel kuongozea ndege zake za kijeshi.

Iran admits sending missiles to Russia

Iran wants Israelis to worry that Hezbollah has a rare and powerful EMP weapon

1725855741060.png
 
Waswahili wanasema mtoto akililia wenbe mpe umkate, US alidhani sunction ndio part of the solution kumbe hio sunction ndio part of the problem. Iran hawezi fata sheria za UN sababu UN either lazima iwe part of the solution, or iwe part of the problem. Sababu hio UN inatumiwa na US kwa agenda zake. Watu wameisha kuwa na akili hawezi kuwafanya mataifa yote hayana akili.

Kamanda wangu Robert Mgabe alisha sema UN lazima iwe reform na pia iko kwenye wrong place. Lazima waiweke kwenye right place ndio UN itafanikiwa 😄
 
Waswahili wanasema mtoto akililia wenbe mpe umkate, US alidhani sunction ndio part of the solution kumbe hio sunction ndio part of the problem. Iran hawezi fata sheria za UN sababu UN either lazima iwe part of the solution, or iwe part of the problem. Sababu hio UN inatumiwa na US kwa agenda zake. Watu wameisha kuwa na akili hawezi kuwafanya mataifa yote hayana akili.

Kamanda wangu Robert Mgabe alisha sema UN lazima iwe reform na pia iko kwenye wrong place. Lazima waiweke kwenye right place ndio UN itafanikiwa 😄
Kimeumana😂😂😂😂😂😂.
Na makombora ya Iran ni tifua tifua so poa.
Kwahiyo Zelensky anapigika na cha muajemi!??
 
Waswahili wanasema mtoto akililia wenbe mpe umkate, US alidhani sunction ndio part of the solution kumbe hio sunction ndio part of the problem. Iran hawezi fata sheria za UN sababu UN either lazima iwe part of the solution, or iwe part of the problem. Sababu hio UN inatumiwa na US kwa agenda zake. Watu wameisha kuwa na akili hawezi kuwafanya mataifa yote hayana akili.

Kamanda wangu Robert Mgabe alisha sema UN lazima iwe reform na pia iko kwenye wrong place. Lazima waiweke kwenye right place ndio UN itafanikiwa 😄
Kwa hilo Iran lazima ipewe mauwa yake.
Hata suala la Venezuela nako US ilishindwa kuiangamiza ile nchi kutokana na umwamba wa Iran.Waliweza kuwapelekea mafuta ya matumizi na vipuri kwa kuyapitisha kwenye njia zile zile mpaka foleni za mafuta zikafa
 
Iran mnaikuza sana, hiyo technology ya Iran nchi ya kawaida kiuchumi wametoa wapi? Nilishangaa kuwa uchumi na maendeleo ya Saud Arabia , Turkey ni makubwa sana kuliko Iran , Wameshindwa kutengeneza ndege ya rais mpaka anatembelea ndege za USA. Kwa hiyo Iran anampa Hezibollah hizo silaha ili ampige Israel? Kwanini anafanya hivyo?
 
Iran mnaikuza sana, hiyo technology ya Iran nchi ya kawaida kiuchumi wametoa wapi? Nilishangaa kuwa uchumi na maendeleo ya Saud Arabia , Turkey ni makubwa sana kuliko Iran , Wameshindwa kutengeneza ndege ya rais mpaka anatembelea ndege za USA. Kwa hiyo Iran anampa Hezibollah hizo silaha ili ampige Israel? Kwanini anafanya hivyo?
Na wewe unadharau sana kila mtu kwa vile kuna Marekani na Israel.Kwani teknolojia ni mali zao.
Kama huelewe maendeleo ya sayansi na teknolojia yana uhusiano wa moja kwa moja na mataifa ya kiislamu na Iran ina mchango mkubwa sana.
Marekani ilipokuja kujulikana ulimwengu wa kiislamu walikuwa wameshafika mbali sana kiteknolojia.Na hizo za Marekani wamesoma kwa wairani.
Najua utashangaa sana.
 
Iran mnaikuza sana, hiyo technology ya Iran nchi ya kawaida kiuchumi wametoa wapi? Nilishangaa kuwa uchumi na maendeleo ya Saud Arabia , Turkey ni makubwa sana kuliko Iran , Wameshindwa kutengeneza ndege ya rais mpaka anatembelea ndege za USA. Kwa hiyo Iran anampa Hezibollah hizo silaha ili ampige Israel? Kwanini anafanya hivyo?
NI MAVI, USHUZI, MATAPISHI NA VIBOLI NDO UTATENGENEZA MWENYEWE
 
Iran mnaikuza sana, hiyo technology ya Iran nchi ya kawaida kiuchumi wametoa wapi? Nilishangaa kuwa uchumi na maendeleo ya Saud Arabia , Turkey ni makubwa sana kuliko Iran , Wameshindwa kutengeneza ndege ya rais mpaka anatembelea ndege za USA. Kwa hiyo Iran anampa Hezibollah hizo silaha ili ampige Israel? Kwanini anafanya hivyo?
SIJUI UNAUMIA UKIWA WAPI KWA UFUPI NI MAVI, USHUZI, MATAPISHI NA VIBOLI NDO UTATENGENEZA MWENYEWE
 
Iran mnaikuza sana, hiyo technology ya Iran nchi ya kawaida kiuchumi wametoa wapi? Nilishangaa kuwa uchumi na maendeleo ya Saud Arabia , Turkey ni makubwa sana kuliko Iran , Wameshindwa kutengeneza ndege ya rais mpaka anatembelea ndege za USA. Kwa hiyo Iran anampa Hezibollah hizo silaha ili ampige Israel? Kwanini anafanya hivyo?
Israeli anasema Iran ni tishio kwa mashariki ya kati. Cha ajabu wewe mmatumbi uliopo huko shinyanga vijijini unasema Iran si lolote si chochote. Subiri ujionee matokeo
 
Mambo mengine muwe mnaona aibu jamani!

Huyu Rusia si mnasema ni supa power? Ndio ategemee tukombora toka kwa Ayatollah ambae jeshi lake lilishindwa kulimlinda kamanda wa Hamas akiwa ndani ya kambi ya jeshi?

Angalia hapa hii kazi ya Israel ya jana kule Syria 👇


[🖼 🇮🇱🇮🇷Israeli Air Force fighter jets carried out several airstrikes on a research center located in the city of Masyaf in the Syrian province of Hama.

So far, five people have been reported killed and fifteen injured as a result of the strike.

The center, also known as Institute 4000, manufactures components for the Fateh, Shahab-1, Shahab-2 ballistic missiles, as well as UAVs and Burkan missiles for Hezbollah, in cooperation with Iranian specialists
 
Waswahili wanasema mtoto akililia wenbe mpe umkate, US alidhani sunction ndio part of the solution kumbe hio sunction ndio part of the problem. Iran hawezi fata sheria za UN sababu UN either lazima iwe part of the solution, or iwe part of the problem. Sababu hio UN inatumiwa na US kwa agenda zake. Watu wameisha kuwa na akili hawezi kuwafanya mataifa yote hayana akili.

Kamanda wangu Robert Mgabe alisha sema UN lazima iwe reform na pia iko kwenye wrong place. Lazima waiweke kwenye right place ndio UN itafanikiwa 😄
The UN can never be in the right place,it can only pretend to be.After all it was not created to be part of the solution, but part of the problem.
 
Kiongozi wa HAMAS Ismail Haniyer aliuwawa hapo Tehran Tena siku ya uapisho wa raisi mpya wa Iran katika hotel inayolindwa na Islamic revolutionary guards
 
Hao nao mdomo mwingi Sana..wafanye Jambo tujionee mwishio wa dhulma kwa watoto wa Kipalestina
 
Iran wajanja sana wanawapatia silaha waendelee kuuana wao hawataki vita. Wanaishia kutoa vitisho tu. Yemen(South), Lebanon, Palestine wote wanasaidiwa na Iran
 
Iran wajanja sana wanawapatia silaha waendelee kuuana wao hawataki vita. Wanaishia kutoa vitisho tu. Yemen(South), Lebanon, Palestine wote wanasaidiwa na Iran
Ni mbinu ya vita isiyo na shaka.Marekani naye huwa anafanya hivyo kwenye nchi kadhaa.
 
Mambo mengine muwe mnaona aibu jamani!

Huyu Rusia si mnasema ni supa power? Ndio ategemee tukombora toka kwa Ayatollah ambae jeshi lake lilishindwa kulimlinda kamanda wa Hamas akiwa ndani ya kambi ya jeshi?

Angalia hapa hii kazi ya Israel ya jana kule Syria [emoji116]


[[emoji919] [emoji1134][emoji1130]Israeli Air Force fighter jets carried out several airstrikes on a research center located in the city of Masyaf in the Syrian province of Hama.

So far, five people have been reported killed and fifteen injured as a result of the strike.

The center, also known as Institute 4000, manufactures components for the Fateh, Shahab-1, Shahab-2 ballistic missiles, as well as UAVs and Burkan missiles for Hezbollah, in cooperation with Iranian specialists
Iran lilishakua dude kubwa us mwenyewe anaelewa hilo Israel na marekani wake wako kwenye pini ya muajemi baharini na ardhini ikiwa yeye anavuta shisha Tehran elewa kila siku ya Mungu lazima mwanajeshi/wanajeshi wa Israel na marekani auawe sasa hapo nani muhuni wa middle east
 
Na wewe unadharau sana kila mtu kwa vile kuna Marekani na Israel.Kwani teknolojia ni mali zao.
Kama huelewe maendeleo ya sayansi na teknolojia yana uhusiano wa moja kwa moja na mataifa ya kiislamu na Iran ina mchango mkubwa sana.
Marekani ilipokuja kujulikana ulimwengu wa kiislamu walikuwa wameshafika mbali sana kiteknolojia.Na hizo za Marekani wamesoma kwa wairani.
Najua utashangaa sana.
Huu uhalo umeutoa kwenye Quran au? No wonder unawashabikia Hamas, Hezbollah na Houthi.
 
Habari za kijasusi za Marekani kwamba wameisambazia Urusi makombora ya masafa mafupi zitakazotumika katika vita na Ukraine, sasa si siri tena baada ya mbunge wa Iran na mjumbe wa kutunga sera za kiulinzi kusema ni kweli wameshaipatia Urusi silaha hizo.
Akiweka wazi hatua zao hizo,mbunge huyo amesema nchi yake imekuwa ikifanya hivyo kwanza kukwepa vikwazo vya kiuchumi vya nchi za magharibi.Wanapeleka silaha hizo kubadilishana na maharagwe pamoja na ngano kwa matumizi ya raia zake.
Kwa upande mwengine taifa hilo lenye uhasama na Israel limesema tayari wameshakipatia chama cha Hizbullah silaha yake adimu na ya kipekee ya EMP ambayo ni maalumu kwa ajili ya kupiga mifumo ya kusambazia umeme na kulenga radar zinazotumiwa na jeshi la Israel kuongozea ndege zake za kijeshi.

Iran admits sending missiles to Russia

Iran wants Israelis to worry that Hezbollah has a rare and powerful EMP weapon

HIYO NDO UBAYA UBWELA FOR REAL...***** ZAO USA
 
Mambo mengine muwe mnaona aibu jamani!

Huyu Rusia si mnasema ni supa power? Ndio ategemee tukombora toka kwa Ayatollah ambae jeshi lake lilishindwa kulimlinda kamanda wa Hamas akiwa ndani ya kambi ya jeshi?

Angalia hapa hii kazi ya Israel ya jana kule Syria 👇


[🖼 🇮🇱🇮🇷Israeli Air Force fighter jets carried out several airstrikes on a research center located in the city of Masyaf in the Syrian province of Hama.

So far, five people have been reported killed and fifteen injured as a result of the strike.

The center, also known as Institute 4000, manufactures components for the Fateh, Shahab-1, Shahab-2 ballistic missiles, as well as UAVs and Burkan missiles for Hezbollah, in cooperation with Iranian specialists
KAMA UNADHANI SUPAPAWA HAWAHITAJI MSAADA UNAJIDANGANYA HIVI IMAGINE USA APIGANE NA RUSSIA AU NA MCHINA AU NA IRAN BILA YA MSAADA WA UK,GERMANY NA NATO KWA UJUMLA UNADHANI MIAMI,CALIFORNIA,NEW YORK PATAKALIKA?
ACHANA NA KITU KINAITWA VITA
 
Back
Top Bottom