Irani na Israeli wana Undugu usioyumba, Makombora 300 ya Irani naona kama ni Propaganda

Kwa hiyo hao WanaIsrael wa kipindi kile walienda wapi kama waliopo asili Yao sio Ile?
 
Maswali unayouliza ni ya kitoto halafu yanaonesha unauelewa mdogo ila unaigiza ujuaji.
Kila la kheri
Sawa we mkubwa baki na uelewa wako finyu. Ungetakiwa pia unijibu Israel ina raia pia Druze na samaratin na mabedui so hao unawazungumziaje
 
Hayo ndio mnasikilizaga mazinge aliwadanganya ndio unatuletea sisi ugoro huu?
 
unaijua dron anazo tumia Rusia nani kamfundisha tengeneza na nani anamuuzia hizo 300 ni robo ya robo ya makombora yote
 
Hujui hata biblia walitabiriwa na yeremia na ezekiel wataenda ulaya kama watumwa ila watarudi kwenye nchi yao
 
Hakukuwa na urafiki. Iran ilikuwa ni watawala na Wayahudi walikuwa ni watumwa na vibarua wao tu ambao kwa kauli moja wanaweza kufutwa wote
Ile ilikuw adhabu wayahudi walipewa adhabu naYahweh hata kwenda kukaa ulaya ni adhabu sawa na ile walioenda kipindi cha yusuphu
 
Sawa we mkubwa baki na uelewa wako finyu. Ungetakiwa pia unijibu Israel ina raia pia Druze na samaratin na mabedui so hao unawazungumziaje
Kama Kuna kitu haukielewi niulize nikujibu, hizo habari unazouliza za kuokoteza hazitakujenga,
Hao unaotaja ni aina ya jamii zilozotawala Israel kwa miaka tofauti na zipo jamii nyingi kabla ya hata hawa wapalestina, Ottoman (waturuki) n.k waliokalia Israel kabla
 
Acha uongo bwana ottoman imekuja tu juzi
Israel ipo tokea kipindi cha kina jacob mtoto wa isaka ambaye baba yake ni ibrahimi

Israel wana kabila 12 kipimo cha dna kinasema waisrael hata kama anaishi russia dna zao zina match
 
Nadhan hujanielewa. Nachosema ukiacha hao Jews wapo Samaritan kuna Druze na bedui na hawa nao walikuwa weusi au nao waliletwa na uingereza. Bahati nzur hayo maeneo nimefika san sio mara moja so nilichokuwa nataka wewe unifafanulie ni hao waisraeli halisia wako wapi muda huu na hii lugha ya Hebrew inayoongelewa pale Israel hawa waleo wameipata wapi? Twende taratibu mjomba tueleweshane.
 
Pointi ndiyo ipo hapo. Sijui kwa nini wachambuzi hawataki kufukunyua habari na kuzitafakari! Iran alikuwa anatuma ujumbe tu na siyo kuanzisha vita kamili.

Hivi watu walitaka Iran arushe makombora yenye madhara Israel si vita vingezuka pale Mashariki ya Kati, na sababu ya kuzua vita vikubwa ili iweje?

Iran karusha makombora na drone zaidi ya 300! Hata kama zimedunguliwa, lakini zimekosesha utulivu nchini Israel, mfano watoto walishindwa kulala usiku kucha, je, huo siyo ujumbe tosha kutoka Iran? Hivi unaweza kupata utulivu huku angani kuna milio ya droni na makombora ya kutungua ndege?
 
Zimeanza kuvuma kuwa lile shambulio lilikuwa bosheni tu
 
Ni kweli mkuu nimeenda Jerusalem nimekutana na watu weusi tii pale kanisa la Sculpture
 
Ni kweli mkuu nimeenda Jerusalem nimekutana na watu weusi tii pale kanisa la Sculpture
Wapo weusi tii coz hata Jerusalem yenyewe wapo migrate wa kinaigeria wengi tu wapo miaka. Nilitaka yeye anisaidie ufafanuz tu.
 


Dah kuna baadhi ya taratibu na shwria zao mtu anaetumia common sense anaweza ku question.. sema ndo hivyo ni dhamb kuhoji
 
Hakuna kitu kama iko. Putin alirushiwa Makombora buku lakini hayakutua katika ardhi yake vipi na wao wanaundugu na Ukraine
 
Hayo makombors hakuna alyeyaona kati ya mimi na wewe zaidi ya zile movie za video zilizorushwa wala hazioneshi kama zinatoka irani na kama zinaenda Israeli hakuna anayeweza kusema


[emoji2955][emoji2955][emoji2955] so yale ya gaza uliyaona kutokea mahali yanayorushwa mpaka yalikofika..

Yaan una question integrity ya vituo vyote vya dunia nzima na technolgy zao kaka hebu kuwa serious .. kwa hiyo Unataka Kusema Hakuna
Kombora Zilizorushwa so Iran na Israel na washirika wake wametuongopea?

Na vyombo vyofe vya habar wakakubaliana..

Dunia hii ya sasa ambayo mtu anaweza akaiweka dunia kiganjan kwake akapata ukweli unahs kuwa hilo Shambulizi ni uongo
 
Tech ipi wote wamerusha video zinafanana kila kitu as if wamepangwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…