Irani wamejiandaaje kukabiliana na vita na Israel baada ya Trump kushinda?

Irani wamejiandaaje kukabiliana na vita na Israel baada ya Trump kushinda?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
Kwa wanaokumbuka namna Trump alivyomwambia Netanyau apige Iran's nuke sites, wanajiuliza. Sasa Trump kapenya.

Nini kitafuata kama alikuwa hatishi? Je akili za Trump sawa na waliomchagua zinamtosha kuona madhara ya vita na wairani? Je Ukraine waliozoea kubebwa sasa wanajiandaa kukubaliana mbabe Putin yaishe au wagome waishe?

Je Trump atamaliza muda wake kabla ya kurejesha namba tokana na kuji-overwork? Je BBI au niitenyau atazidi kuitumia Marekani kama nyumba yake ndogo kubakia madarakani ili asifungwe kwa skandari zake au Trump atastuka?
 
Kwanini mnamuogopa sana Trump? Farau na Trump nani alikuwa na nguvu? Farau kafa kaucha uislam ukikuwa. Wakiristo wa jf mmeshikwa na nini? Mbona hamuekewiki?
 
Hebu tuambie miaka minne aliyokaa madarakani trump alipigana vita na nchi gani? Zaidi ya mikwara na kupiga picha na kiduku!
 
Kwanini mnamuogopa sana Trump? Farau na Trump nani alikuwa na nguvu? Farau kafa kaucha uislam ukikuwa. Wakiristo wa jf mmeshikwa na nini? Mbona hamuekewiki?
Farao hakuwa na nuke wala akili ndogo kama Trump
 
Kwa wanaokumbuka namna Trump alivyomwambia Netanyau apige Iran's nuke sites, wanajiuliza. Sasa Trump kapenya.

Nini kitafuata kama alikuwa hatishi? Je akili za Trump sawa na waliomchagua zinamtosha kuona madhara ya vita na wairani? Je Ukraine waliozoea kubebwa sasa wanajiandaa kukubaliana mbabe Putin yaishe au wagome waishe?

Je Trump atamaliza muda wake kabla ya kurejesha namba tokana na kuji-overwork? Je BBI au niitenyau atazidi kuitumia Marekani kama nyumba yake ndogo kubakia madarakani ili asifungwe kwa skandari zake au Trump atastuka?
Trump hi mara atakuwa hana ugomvi na Iran atajaribu kuwa nao karibu, sababu US kupigana na Iran atapoteza maslaha yake pale Middle East. Swali hapa Trup atafanya nini zaidi ya alicho fanya Biden. Hizo kelele za kusema Israe lapige Nuclear ya Iran ni nyimbo za kuomba kura kwa walio nunuliwa na majews, kule US. Si ajabu safari hi Trump akawawacha kwenye mataa waisrael. Hana shida nao tena haihitajii kugombea kuwa Rais tena.

Kuhusu Urusi nani kakuambia US hana shida na Mrusi, anaye sema hayo mwambieni akapime akili zake kama ziko sawa. Yule Biden akili zake.mnaziona ziko sawa, mtoto wake alikuwa ana bussiness za kutengeneza virus kule Ukraine., Moja wapo ni hiyo ya Corona virus na Biden kufanya vile si faida ya US hakuna alicho kipata kwa Mrusi zaidi ya hasara.
 
Ayatollah alishatoa msimamo wake jana hio hio kwamba chuma kitaliwa kwa chuma hakuna idiot wakuingilia mambo ya Iran
 
Kwanini mnamuogopa sana Trump? Farau na Trump nani alikuwa na nguvu? Farau kafa kaucha uislam ukikuwa. Wakiristo wa jf mmeshikwa na nini? Mbona hamuekewiki?
Nani kaongelea uislamu hapa?
Sometimes uwe unaacha kujitia aibu kwa vitu vidogo vidogo
 
Back
Top Bottom