Sina uhakika,maana usiku ndege za marekani zilinyanyuka kuelekea Iran,na Trump alikuwa ahutubie taifa lake usiku huohuo,ghafla Trump akaahirisha hotuba,
Mkuu nimeangalia 13 HOURS OF SECRET SOLDIERS IN BEGHAZI (LIbya).Hii kitu based ni true story 2012.Aisee vita ni hatari.Wamekufa watu wengi lakini wajamaa(libya) wana munkari wa hatari.Mmarekani alishakata tamaa kama asingepata msaada.Mwisho hasara ni ya wanawake na watoto.Aisee inatisha vita tusiiombee kabisa.Halafu vita dhidi ya Iran havitakua vya kawaida maana kule mamilioni Wa-Iran wenyewe ni full mzuka na mihemko, hivho Marekani hatopigana akiwa na nia ya kuwakomboa dhidi ya utawala, kwa kifupi hapeleki 'demokrasia' kama afavyo kwenye mataifa mengine, hii itakua vita baina ya Marekani na Iran, tofauti na ile ya hapo Iraq ambayo ilikua baina ya Marekani na Saddam.
Tegemea mamilioni wa Iran kujiunga kwenye ugomvi wakielekea Iraq kuliko wanajeshi wa Marekani, kwa hivyo firepower atakayotumia Marekani ni 'carpet bombing', yajayo yamekaa ovyoo kishenzi, hawa wanataka kutuharibia kadunia ketu haka.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Askari 30 wakati hakuna hata mmoja aliyekufa makombora yote yametua pembeni
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini mkuu si ulisema hawata thubutu?Iran ndimu sana wanashambulia pembeni ya kambi [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Ya abiria,wote 180 wamekufa
Hata Godown linakuwaga na mlinzi mmoja au wawili!Hivi kuna kambi isiyo na mwanajeshi? baso hizo sio kambi ni Godown za kuhifadhia korosho! Unahani marekani atakubali kusema wanajeshi wake wameuawa??? Siasa nyingi usikute wameuawa ila wanaficha tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafuta kazi ufanye mkuu...Hapana sio kama wiki kama wiki ya kawaida, huu ni muda wa kiunabii, ambao siku moja nisawa na Mwaka mmoja.
Hapa kuna majuma 70 ..... Yakagawanya ktk majuma 69 ya kwanza..na Juma LA mwisho linaloitmisha 70..
Ni somo refu Mkuu ...mpaka nitulie nikueleze kwa ufasaha.
Ila nimambo ambayo ukiyajua , ukasoma Biblia vzuri, huwez shangaa nakinachoendelea leo Duniani.
Bado sana tena sana hata vipindi vya great economic depression mpaka watu wanajinyonga kuna watu walisema hayo kipindi cha world war 1 na 2 kuna ambao walisema hayo dunia ipo na itaendelea kuwepo karne na ma karne milongo na milongoSAFI ..NA HUU NDIO UKWELI...
Mimi sio mtalaamu sana wa Maandiko na Tabiri, Ila katika kujifunza ,
Inaonyesha tupo Juma LA Mwisho la kuishi kwa Mwanadamu.
Hesabu hazidanganyi.
[emoji3] na hili pia litapita kama yalivyopita mengine ila kurud kwake sio mlongo huu wala unafuataYesu karibu anarudi
Inasikitisha sana. Na hii inaleta shida kidogo, hata kama ni tukio la bahati mbaya, ukizingatia US yuko karibu na Ukraine.Y
Ya abiria,wote 180 wamekufa
ngoja tumuulize mrusi atuthibitishie hili"well equipped military anywhere in the world"
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Waarabu wa mbagala mnaonaje huo usemi wa kudume USA?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kitanuka aisee..marekani is gonna hit the hard,I hope huku hatutaathirika kwenye umwagaji damu
Sent using Jamii Forums mobile app