Kikwajuni One
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 13,149
- 6,994
Zaidi ya miaka 20 ya ofa ya kutaka kichwa cha Salman Rushdie wa Aya za Shetwain bado hawajafanikiwa na wanajua kwa hakika kuwa yupo Uingereza sembuse kichwa cha Rais wa Marekani!
Vv
Sent using Jamii Forums mobile app
Amerika KWANZA; hawa jamaa wanathamini sana uhai raia wao hata kama ni mmoja asiuwawe. Kwa hili watakuwa pamoja sana
Kama kweli hii tweet ni ya kwake, this man is a punk , wewe ufanye vurugu huko uje kuomba man power Afrika. Amesikia IRAN kaomba manpower wapi! Ndo maana kushinda vita peke yake hawezi huyu. Anataka washirika wapeleke watu wake front halafu yeye asiumie sana.
Hui Msigwa kakanusha
Na tena huyu ndo Iran anamtaka sana hata kuliko Marekani, akisogeza pua tu anaanza naye.[emoji2][emoji54][emoji23][emoji23][emoji15][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14]Unakumbuka maneno yangu nikikwambia kama kisasi lazma kilipwe US Wamebakia wanabweka kama Umbwa
ISRAEL Nae Akijipendekeza Atapigika 2 Kama Haamini Ajaribu Aone Kitakachomkuta ........
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya nyie ni wale ambao hamna cha kupoteza hata yakitokea machafuko.
Hiyo yote sababu ya pesa,mkwanja,ngawira dolaaaa. Wewe kama una hela na uthamini uhai wa watu wako ni ujinga wako. Kikubwa ni malengo ya mtu kupigwa yatimie basi.Kama kweli hii tweet ni ya kwake, this man is a punk , wewe ufanye vurugu huko uje kuomba man power Afrika. Amesikia IRAN kaomba manpower wapi! Ndo maana kushinda vita peke yake hawezi huyu. Anataka washirika wapeleke watu wake front halafu yeye asiumie sana.
Mbele ya mabomu unapataje ukakamavu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah una reply kinyonge sana asee [emoji22][emoji22][emoji22][emoji12][emoji12][emoji12][emoji14][emoji14][emoji14]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoax
Hiyo ilishatokea kitaaambo sana.Maandiko yanasema taifa kubwa litakuja kupigwa na taifa dogo. naona inaelekea huko
Nani ataifuta islaeli?Acha blah blah zako.
Unafikiri kuiangusha Marekani ni kitu cha mchezo mchezo. Iran wanajaribu tu, watakachovuna watajuta milele. Siipendi Marekani lakini siwezi kuibeza kwa nguvu zao za kiuchumi, kijamii na kivita. Marekani ni kama maji vile, usipoyaoga utayanywa.
Pia usisahau uwepo wa taifa la Israel leo hii ni matokeo ya kulindwa na Marekani, siku Marekani ikianguka basi ujue na Israel inafutika katika eneo la Mashariki ya kati mara moja.
Itabidi Marekani nao waunge tela kununua S400, sio kwa kufeli kwa Patriots huko.Inamaana UK Iliolaani Shambulio Lakijeshi Katika Kambi Za Kijeshi Za US zilizopo IRAQ ni Waongo Halafu Wewe Ndio MkweliInaweza ikawa kweli kabisa kuhusu kupiga nyumba ila kupigwa kwa kambi za US unaisemeaje nayo ?!
US Watafikia Kipindi Hawata uza hata silaha kwa ujinga wao wanao uendekeza
Difens zao zinazidi kushuka hadhi
Sent using Jamii Forums mobile app
Usiwe msahaulifuTrump atakuja analia lia tu kule twitter,hawezi kurusha hata risasi 1 kwenda Iran.
dodge
Sijasemea nchi za Kiafrika wakati wa Osama.Nchi ya Kiarabu pekee iliyopigwa mabomu wakati wa Osama ni Sudan, ambayo ni nchi ya Kiafrika. Usisahau hilo.
Nchi nyingine ipi ya Kiarabu ilipigwa kwa ajili ya Osama?
Nimekuelewa sana ulichoandika isipokuwa nakuona hauna uelewa wa nchi za Kiarabu ni zipi na zisizo za Kiarabu ni zipi. Binafsi nimekufahamisha kuwa nchi ya Kiarabu iliyopigwa na Mmerekani kwa ajili ya Osama ni moja tu nayo ni Sudan pekee, nayo ni nchi ya Kiarabu iliyopo Afrika.Sijasemea nchi za Kiafrika wakati wa Osama.
Nimelenga nchi za kiarabu nje ya Africa zilizopigwa kipindi cha Osama.
Marekani walikuwa wanasingizia kuwa wamepata taarifa kuwa yupo nchi fulani au mji fulani, wanaupiga. Kumbe lengo lao likiwa tofauti kabisa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu vita dhidi ya Iran havitakua vya kawaida maana kule mamilioni Wa-Iran wenyewe ni full mzuka na mihemko, hivho Marekani hatopigana akiwa na nia ya kuwakomboa dhidi ya utawala, kwa kifupi hapeleki 'demokrasia' kama afavyo kwenye mataifa mengine, hii itakua vita baina ya Marekani na Iran, tofauti na ile ya hapo Iraq ambayo ilikua baina ya Marekani na Saddam.
Tegemea mamilioni wa Iran kujiunga kwenye ugomvi wakielekea Iraq kuliko wanajeshi wa Marekani, kwa hivyo firepower atakayotumia Marekani ni 'carpet bombing', yajayo yamekaa ovyoo kishenzi, hawa wanataka kutuharibia kadunia ketu haka.