J627204
JF-Expert Member
- Feb 18, 2014
- 268
- 99
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hah hah hah hahView attachment 581262hupaswi kukasirikiwa bali kuelekezwa kwa upole kuwa JF sio FB wala badoo
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona hii history umeitoa nusu ungeimalizia ni nzuri sanaKuna jambo la ajabu ambalo wengi hawajalitambua... Nimejaribu kuunganisha dots, nikaingia Google kupata support ya picha na mawili matatu!
-Je unajua chochote kuhusu anguko la mji wa Ninawi na anguko la Saddam Hussein?
-Je unajua lolote kuhusu wairaq wa Mbulu Arusha kulikogunduliwa binadamu wa kwanza na wairaq wa Mashariki ya kati kunakosekana dunia ilianzia hapo!? Angalia mahali ilipo Eden, Ninawi, bahari ya Sham nknkView attachment 568238View attachment 568239matukio mawili ya kufanana yaliyotokea katika nchi moja kwa tofauti ya maelfu ya miaka! Nitarejea kwa mahesabu yakeView attachment 568240View attachment 568241
Kuna ufunuo hatujafunuliwa, yanayotokea mashariki ya kati ni unabii, unabii hauna budi kutimia.... Ni kipindi tu kitapita.... Achana na ukristo na uislam kuna makubwa kuliko hizi imani
Unaposoma misahafu unashawishika kabisa dunia tunayoifahamu ilianzia mashariki ya kati.... Hapa mahali hapatakaa paangamie kamwe.... Mbeba maono hafi.... Ni lazima unabii utimie
Hii ni part one nimetoka meditation naingia kilingeni.....
Stay tuned!
Sent using Jamii Forums mobile app
Why mkuuUkiongelea unabiii nadhani unakua umeingia kwenye imani pia.....lakini in reality iraq kuja kurudi kwenye ramani ni ngumu.....
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisamehe ni pilika nyingi zinazomkabili binadamu yeyoteENDELEA TAFADHALI NAFUATILIA KWA MAKINI SANA[emoji115] [emoji115] [emoji115] [emoji115]
Jr[emoji769]
Mkuu, naomba uanzishe uzi wenye simulizi uliyoyaona na kujifunza huko. Sharing is caring.Yaliyotokea Iraq wakati wa vita huwezi amini, viatu vya wanajeshi vilikuwa vinayeyuka kwa jua
Lakini Mimi nilikuwa huko miaka kibao sijawahi ona vikiyeyuka.
Nge walikuwa wanatoka mamia kwa mamia
Mengine ni kama ndoto acha niishie hapo
Duu tuchoshe tu kaka, nitatia neno ukimalizaNisamehe ni pilika nyingi zinazomkabili binadamu yeyote
Anyway nitaongezea machache na mengi nikisubiri kwenu.
Kwa kweli vita Ile ilikuwa ya miujiza sana
Operation desert shield ya mwaka 1991 walipatwa na maajabu makubwa sana
Wazungu walitaka kuionyesha dunia ubabe, wakiwa wamefuatana nchi zote.
Kwanza walishindwa kuanza kumtoa Iraq mapema kwa ajili ya joto na wakasubiri hali ya hewa ibadilike lakini pamoja na kuwepo kwao huko walijikusanya saudia na baadae kuelekea Iraq.
Lakini mambo hayakuwa salama kwao kwani viatu viliyeyuka can you imagine that.
Halafu zile helicopter za Uingereza lynx ambazo flying hours ni 500 lakini zilikuwa zinabadilishwa kwa masaa 27 tu
Bunduki zao zilikuwa jammed eti zinaingia mchanga
Na hata tanks zilikwama kutembea na kisingizio eti mchanga tofauti
Sasa cha kujiuliza tangu lini mwarabu akatengeneza silaha?
Nina maana silaha zote zilizotumika miaka yote kwenye jangwa ni zao (wazungu) halafu wanasingizia mchanga na vumbi.
Jamani kwa kweli kua uone ya dunia Mimi wajukuu wangu hawataboeka kwa kweli ( just kidding, only God knows)
Vijana wadogo waliletwa lakini wengi wameathirika mpaka Leo na compensation hawatapata.
Walichoendea wamekipata kwa maslahi yao lakini sacrifice imefanyika sana
Nisiwachoshe sana
Kwa kweli ningeandika mengi ila mimi sio mwandishi mzuri.Mkuu, naomba uanzishe uzi wenye simulizi uliyoyaona na kujifunza huko. Sharing is caring.
Nasubiri kwa hamu hilo nenoDuu tuchoshe tu kaka, nitatia neno ukimaliza