Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Ireland, Spain and Norway leo hii wameanza kutambua state ya Palestine kama nchi kamili

Israeli ilikuwepo miaka elfu 3 iliyopita kabla ya kuwepo Palestine.
Kumbe issue ni miaka elfu 3? Mbona kwenye Biblia Israel ilikuta tayari kuna watu hapo philistia? Kulikua na makabila zaidi ya 13 hao Israel waliwachinja ndio wakapora baadhi ya maeneo. Kwahiyo hao Israel ni matapeli tokea zamani.
 
imetokana na dhihaka uliyoitoa. all in all, hakujawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina, na haitakuja kuwepo milele. spain hata leo hii akisema anaitambua palestina, ukisema aonyeshe mipaka hawezi. ukisema aende Israel ataomba visa kwa israel hataomba visa kwa kitu kinachoitwa palestina.
Huna akili kabisa, kwahiyo kama hawana nchi kisa wamekaliwa kimabavu ndio hawana haki ya kupewa nchi yao? Ni sawa na Idd Amin angeivamia Tanzania then jina ligeuzwe kuwa Uganda..... je wagogo na wasukuma wangeanza timbwili kudai haki zao ungesema hawana haki kisa hawana nchi?

Mbona una reasoning mbovu sana!! Kiufupi hilo eneo lote la Israel ya sasa lilikua British Palestine so mpaka uhuru unatolewa na uingereza hakukuwa na nchi inaitwa Israel. Hao wayahudi ndio wakajitangazia taifa lao 1948, mind you UN ilisema wagawane 55% Israel na 45% ibaki Palestine. Sasa kama hakukuwa na taifa hiyo partition ilifanywa kati ya Israel na taifa gani?
 
Inaonesha hata hao Palestine walihamia hapo pengine miaka mingi baadae baada ya Israel kuondoka ..kumbuka mayahudi walikuwa ni watu wa kuangaika sana duniani ..so pengine ndo maana walianzisha kampeni ya kurudi kwenye ardhi ya Babu zao ..so Palestine kupewa eneo lao ni sawa ..lakini na Israel kudai haki Yao ni sawa pia ..Cha msingi hapo maridhiano yafanyike kila mtu akubali makubaliano ya mwanzo. Japo Israel inaonekan kama anataka eneo lote
Sasa umeanza kuelewa!!
 
We sema tu ukweli kuwa wana elimu na uelewa wa kutosha, hawana mihemuko na chuki za kidini kama watanzania ambao kutwa kuchwa wanaside na Israel au Palestine si Kwa sababu ya objectivity ya jambo lilivyo ila tu Kwa sababu wao ni watu wa Imani fulani.
Waafrika hizi dini za kuletewa tunazichukulia serious mno
 
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.

Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Hii sasa ni kejeli
Kuna tofauti gani na nchi tofauti na Ugana kumtambua Joseph koni na kabila lake kuwa ni nchi?
 
Sio kitu cha kustaajabisha kwa Ireland kufanya mambo ya ajabu. Hata Hitler alipokufa walituma salama za pole kwa ujerumani 🤔
....
 
Hapana ur very wrong netanyahu msimamo wake ni taifa moja la israel ila wazunguna waarabu wamemwambia hiyo kitu asahau haitowezekana ,
Hata waziri wake wa ulinzi gallant alimpinga waziwazi na kumwambia akiwafuatisha right wing israel itaangamia
Acha uongo , msimamo wa awali ulikuwa mataifa mawili nyiny was3ng wapenda vita mkakataa , leo hii mnafurahia wazo lile lile mlilikataa , leo hii washawapokonya maeneo yenu ni ngumu kudai mataifa mawili , huu useng mliutaka nyiny , kama mngekubali mwaka 1948 basi msingefikia huku , mliona vita ndo solution leo mmeferi mnaanza tia huruma
 
Ili palestina duniani itambulike kama nchi rasmi kwanza Marekani na Israel zifutike kwenye uso wa dunia kwa sababu hakuna namna Israel itakubali kuwepo kwa taifa la palestina na Marekani hakuna namna ataenda kinyume na rafiki zao Wayahudi, hizi ni mbio za sakafuni mwisho ni kuanguka tuu
mnachangia mambo kwa mihemko sana , Palestina haiez kuundwa ikiwa inatawaliwa na Hamas sio Israel tu hata waarabu wengine hawataki , Alshabab alipopata nguvu Somalia akaanza unda vikundi Kenya , Kisha Tanzania ,Drc na leo wame influence hadi Msumbiji kwa mjinga kama ndo utaeza kubali uunde nchi jirani inatawaliwa kikundi cha wehu kinachowaza vita muda wote , ISiS ilipokomaa Iraq ikajitanua mpk Syria kisha Libyia kisha maeneo kadhaa ya sub sahan africa kisha wakajipenyeza hadi ulaya ya mashariki leo wanaua ndani ya Urusi

ISRAEL yupo tyr hata leo kuitambua Palestina kama nchi huru ila kwanza wapalestina wakubali Kuongozwa na wanasiasa na sio magaidi ya Hamas ambayo hayafuati taratibu za kimataifa kuongoza watu maana kesho Hamas wataanza itumia Palestina kushambulia majirani na kujificha ndan ya wapalestina kisha ukijibu unaonekana muonevu
 
kwa hiyo mipaka yake ni ipi hiyo palestina, au from the river to the sea? kwasababu eneo kubwa la pale wamejaa wayahudi. hata westbank ni Mkoa wa Israel wao huwa wanaida JUDEO SAMARIA, na kuna wayahudi zaidi ya 600,000 wana makazi kule na wanaendelea kujenga. mipaka ya Palestina ipo wapi? au hawa spain na wengine wanatafuta tu kujifurahisha. na huwezi kuingia Judeo samaria au hata Gaza bila kuomba visa Israel. hata wafanyakazi wa UN gaza wanaomba visa Israel.
solution ni nchi moja maana wao wenyewe walikataa nchi mbili
 
hali iliyowakuta sasa israel na netanyahu hawajawahi hata kuota kama itawakuta and yet more to come
Hao us na uk sasahivi wameshachanganyikiwa maana nothing is going there way anymore hadi nato member wenzao wamewageuka achilia mbali mahakama wanaoifadhili wao wenyewe pia imewageuka
msimamo wa wazungu ni mataifa mawili tangu mwaka 1948 nyiny waarab wa mchongo ndo hamkutaka mataifa mawili
 
msimamo wa wazungu ni mataifa mawili tangu mwaka 1948 nyiny waarab wa mchongo ndo hamkutaka mataifa mawili
Hapana mzee wazungu walitaka mataifa mawili ila israel ndio hataki ndio maana hadi leo anaendelea kujenga hadi maeneo ya palestina ndio ukisikia ilegal settlements
 
LOTH HEMA hiki ndio nilichokuwa nakwambia marekani akijichanganya kwenye hili swala la icc hawezi tena kumnyooshea mtu tena kidole na hiyo mahakama watu wanaweza hata kujitoa maana imeprove kuwa bias
 

Attachments

  • Screenshot_20240525-075948_Instagram.jpg
    Screenshot_20240525-075948_Instagram.jpg
    358.8 KB · Views: 1
Back
Top Bottom