zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 20,537
- 31,729
Kumbe issue ni miaka elfu 3? Mbona kwenye Biblia Israel ilikuta tayari kuna watu hapo philistia? Kulikua na makabila zaidi ya 13 hao Israel waliwachinja ndio wakapora baadhi ya maeneo. Kwahiyo hao Israel ni matapeli tokea zamani.Israeli ilikuwepo miaka elfu 3 iliyopita kabla ya kuwepo Palestine.
Huna akili kabisa, kwahiyo kama hawana nchi kisa wamekaliwa kimabavu ndio hawana haki ya kupewa nchi yao? Ni sawa na Idd Amin angeivamia Tanzania then jina ligeuzwe kuwa Uganda..... je wagogo na wasukuma wangeanza timbwili kudai haki zao ungesema hawana haki kisa hawana nchi?imetokana na dhihaka uliyoitoa. all in all, hakujawahi kuwepo nchi inayoitwa Palestina, na haitakuja kuwepo milele. spain hata leo hii akisema anaitambua palestina, ukisema aonyeshe mipaka hawezi. ukisema aende Israel ataomba visa kwa israel hataomba visa kwa kitu kinachoitwa palestina.
Sasa umeanza kuelewa!!Inaonesha hata hao Palestine walihamia hapo pengine miaka mingi baadae baada ya Israel kuondoka ..kumbuka mayahudi walikuwa ni watu wa kuangaika sana duniani ..so pengine ndo maana walianzisha kampeni ya kurudi kwenye ardhi ya Babu zao ..so Palestine kupewa eneo lao ni sawa ..lakini na Israel kudai haki Yao ni sawa pia ..Cha msingi hapo maridhiano yafanyike kila mtu akubali makubaliano ya mwanzo. Japo Israel inaonekan kama anataka eneo lote
Acha kunikoti malaya wwacha kutukana we kenge
Israel imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.
Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Waafrika hizi dini za kuletewa tunazichukulia serious mnoWe sema tu ukweli kuwa wana elimu na uelewa wa kutosha, hawana mihemuko na chuki za kidini kama watanzania ambao kutwa kuchwa wanaside na Israel au Palestine si Kwa sababu ya objectivity ya jambo lilivyo ila tu Kwa sababu wao ni watu wa Imani fulani.
Hii sasa ni kejeliIsrael imekasirika mpaka imeita mabalozi wao kutoka nchi hizo, kwasababu kutambua nchi ya Palestine ni kama kusema Isreal ni mvamizi rasmi na anapaswa kuondoka.
Tena kibaya zaidi Rais wa Norway amesema Nyatanyahu ikija Norway atakamatwa na kupelekwa ICC, hili ni pigo kubwa kwa Israel.
Acha uongo , msimamo wa awali ulikuwa mataifa mawili nyiny was3ng wapenda vita mkakataa , leo hii mnafurahia wazo lile lile mlilikataa , leo hii washawapokonya maeneo yenu ni ngumu kudai mataifa mawili , huu useng mliutaka nyiny , kama mngekubali mwaka 1948 basi msingefikia huku , mliona vita ndo solution leo mmeferi mnaanza tia hurumaHapana ur very wrong netanyahu msimamo wake ni taifa moja la israel ila wazunguna waarabu wamemwambia hiyo kitu asahau haitowezekana ,
Hata waziri wake wa ulinzi gallant alimpinga waziwazi na kumwambia akiwafuatisha right wing israel itaangamia
mnachangia mambo kwa mihemko sana , Palestina haiez kuundwa ikiwa inatawaliwa na Hamas sio Israel tu hata waarabu wengine hawataki , Alshabab alipopata nguvu Somalia akaanza unda vikundi Kenya , Kisha Tanzania ,Drc na leo wame influence hadi Msumbiji kwa mjinga kama ndo utaeza kubali uunde nchi jirani inatawaliwa kikundi cha wehu kinachowaza vita muda wote , ISiS ilipokomaa Iraq ikajitanua mpk Syria kisha Libyia kisha maeneo kadhaa ya sub sahan africa kisha wakajipenyeza hadi ulaya ya mashariki leo wanaua ndani ya UrusiIli palestina duniani itambulike kama nchi rasmi kwanza Marekani na Israel zifutike kwenye uso wa dunia kwa sababu hakuna namna Israel itakubali kuwepo kwa taifa la palestina na Marekani hakuna namna ataenda kinyume na rafiki zao Wayahudi, hizi ni mbio za sakafuni mwisho ni kuanguka tuu
solution ni nchi moja maana wao wenyewe walikataa nchi mbilikwa hiyo mipaka yake ni ipi hiyo palestina, au from the river to the sea? kwasababu eneo kubwa la pale wamejaa wayahudi. hata westbank ni Mkoa wa Israel wao huwa wanaida JUDEO SAMARIA, na kuna wayahudi zaidi ya 600,000 wana makazi kule na wanaendelea kujenga. mipaka ya Palestina ipo wapi? au hawa spain na wengine wanatafuta tu kujifurahisha. na huwezi kuingia Judeo samaria au hata Gaza bila kuomba visa Israel. hata wafanyakazi wa UN gaza wanaomba visa Israel.
msimamo wa wazungu ni mataifa mawili tangu mwaka 1948 nyiny waarab wa mchongo ndo hamkutaka mataifa mawilihali iliyowakuta sasa israel na netanyahu hawajawahi hata kuota kama itawakuta and yet more to come
Hao us na uk sasahivi wameshachanganyikiwa maana nothing is going there way anymore hadi nato member wenzao wamewageuka achilia mbali mahakama wanaoifadhili wao wenyewe pia imewageuka
Hapana mzee wazungu walitaka mataifa mawili ila israel ndio hataki ndio maana hadi leo anaendelea kujenga hadi maeneo ya palestina ndio ukisikia ilegal settlementsmsimamo wa wazungu ni mataifa mawili tangu mwaka 1948 nyiny waarab wa mchongo ndo hamkutaka mataifa mawili