Tetesi: Irene Uwoya afunga ndoa na Dogo Janja?

Tetesi: Irene Uwoya afunga ndoa na Dogo Janja?

Status
Not open for further replies.
6d2c2459e7e811645e4b13645765d3ea.jpg
tetesi Mara paaap ni kweli dongo janja amefunga ndoa na irene uwoya
Irene.ni fupa lililomshinda fisi.sasa dogo amengiza kichwa ktk mashine ya kukobolea magogo[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12].hapa ndio naamini akili za wanawake wanazijua wenyewe kamdanganya dogo sijui 07[emoji108] [emoji108] [emoji108] [emoji108]
 
Nimeanza kuamini hii kitu ni ya Sallah,seriously ingekua janjaro ndio ameoa sidhani kama rais wa manzese Madee angeacha kumpongeza mdogo wake
 
😳 😳 😳 kwahiyo vishimo anamzidi irene kwa utamu
Halafu huwa na hisia mbaya sana huyu mchizi kuwa around na crew ya washtaki wa tigo hasa yule jamaa mbondei wa muheza mwenye mwanya maana ni mchizi wake sana mwarabu mpaka.najiulizaga huyo vishimo na haleti chemistry inayoelewa akiwa na washkaji .

Halafu zile.bata za mamtoni za vishimo.ni confirmed kijana wanafukua viazi .

Daaah.maisha magumu haya.
 
ila kama ni.kweli...dogo atafaidi sana hili limama...maana huyu demu mwenyew alikuwa ananitoaga udenda.toka nilipoonaga ile muvi yake ya Oprah.dah! dogo janjaaaaaaa,unaenda kulimanua li uwoya kiutani tani hivi hivi aise.
Ashaumia huyo maza janja shauri yake.
 
ngoja na mimi nijipendekeze kwa Miss natafuta huenda nikabahatisha
 
Nimeanza kuamini hii kitu ni ya Sallah,seriously ingekua janjaro ndio ameoa sidhani kama rais wa manzese Madee angeacha kumpongeza mdogo wake
kwa mujibu wa sami missago anadai ni dogo janja sizani kama nae atakuwa amekosea
 
huyo ni zaidi ya makombo,sifa kajiharibia mwenyewe kwa kutokua na akili toka akiwa na umri mdogo.kapoteza muda huko kuruka ruka,kashakua bibi anashtuka kuanza saka ndoa.
papauchi haina makombo kama ingekuwa hivyo kwasababu siku hizi bikra ni nadra kupatikana basi tulio wengi tunakula makombo ukiwemo na wewe
 
ila kama ni.kweli...dogo atafaidi sana hili limama...maana huyu demu mwenyew alikuwa ananitoaga udenda.toka nilipoonaga ile muvi yake ya Oprah.dah! dogo janjaaaaaaa,unaenda kulimanua li uwoya kiutani tani hivi hivi aise.
Daaaah aisee nimecheka sanaa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom