Tetesi: Irene Uwoya afunga ndoa na Dogo Janja?

Tetesi: Irene Uwoya afunga ndoa na Dogo Janja?

Status
Not open for further replies.
Ewaaaaaaa na mwarabu ndio huyooo na mpaka irene alikuwa na beef na mwarabu amwache kishimo anaanzaje kumuacha mjini pana mambo

Sasa mwarabu kwa vishimo si lahana hiyo?Na kivyovyote inamaana Dada nae anapigiwa kwa Tigo maana mwarabu kwa vishimo ni lazma anatwanga tigo
 
Hahaha kama jina lilivyo Janjaro ujanja ujanja hatimaye anamiliki papuchi mara paaap!. Ndikumana kaibiwa
 
Dogo Janja bora afaidi visichana vya umri wake kuliko hii misepetu.
 
Nafumba macho kumuombea dogo maana hapo kwa woya nothin "
 
ila kama ni.kweli...dogo atafaidi sana hili limama...maana huyu demu mwenyew alikuwa ananitoaga udenda.toka nilipoonaga ile muvi yake ya Oprah.dah! dogo janjaaaaaaa,unaenda kulimanua li uwoya kiutani tani hivi hivi aise.
 
hadi nanaliu uku pande za mabonde ya mto nile......
 
kawaida tu ya macelebs wetu

usishangae kesho wametemana
 
Mwanaume gani timamu,ataoa huyo dada,mwanamke kagongwa na kila mtu mjini,acha acheze na watoto huko.
 
6d2c2459e7e811645e4b13645765d3ea.jpg
tetesi Mara paaap ni kweli dongo janja amefunga ndoa na irene uwoya

Kwa makucha hayo atapika nakufua vipi?

Hivi yakujikwaruzia maeneogani hasa hayo makucha?
 
Nyinyi manaharibia madada wa watu sifa. Halua haina makombo
huyo ni zaidi ya makombo,sifa kajiharibia mwenyewe kwa kutokua na akili toka akiwa na umri mdogo.kapoteza muda huko kuruka ruka,kashakua bibi anashtuka kuanza saka ndoa.
 
Irene ndo anakojoleshwa na huyu Jamaa,laanatul?

Irene amesahau mafundisho ya Biblia kuhusu Mbingu?Kweli anaolewa na mtu wa mataifa asiyemjua Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom