Gerhardt mamboleo
Member
- Oct 26, 2017
- 12
- 2
Teh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ss dogo janja ana hela gan?,aisee kwa tetesi huyo ni mke jamaa mmoja wa hapo Daslamu anaitwa Sallah ambae ambae ameamua kuhalalisha ufirauni ...Irene kafuata pesa,dogo akiishiwa atatoswa tu
Hili nalo swali mkuu ?Uzi wako
uzi wako ulikuwa unahusiana na hawa kunguru wasiofugika wa bongo movie au ni kuhusu MURO!
😳 😳 😳 😳 😳Yes nimeona sehemu aisee wanasema irene na vishimo wanashea dudu kwa huyo mwarabu
Mwenzio na Yesu mwenyewe kamkana kabadili na dini kabisa.Irene ndo anakojoleshwa na huyu Jamaa,laanatul?
Irene amesahau mafundisho ya Biblia kuhusu Mbingu?Kweli anaolewa na mtu wa mataifa asiyemjua Yesu kuwa Bwana na Mwokozi wake?
Kwanini ?mbna unamshangaa dogo janja vip presedent wa ufaransa .....60 =36Kama ni kweli basi Irene hana akili
😳 😳 😳 kwahiyo vishimo anamzidi irene kwa utamuEwaaaaaaa na mwarabu ndio huyooo na mpaka irene alikuwa na beef na mwarabu amwache kishimo anaanzaje kumuacha mjini pana mambo
DimplesKishimo ndo nani?hizi code veepe[emoji23]
Ila kuna raia wana roho ngumu,unaanzaje kupata hisia kwa mwanaume mwenzio?Aiseee kisa pesa bidada anavumilia kuchanganywa na kishimo. Kweli Pesa sabuni ya roho
Au Wolper kujiita IlsamMbaya kabadili dini kwa pupa bila kuisoma kwa muda aelewe misingi yake. Hope hataishia aunt ezekiel
Mi nitaendelea kushangaa.Kwanini ?mbna unamshangaa dogo janja vip presedent wa ufaransa .....60 =36
....kuwa maBOSSLADYNahisi bimkubwa hajatoa ruhusa ya kuletewa mke mwingine au ni masharti ya bwana harusi so uwoya akaona bora amweke dogo janja kuziba maneno mengi
Tutakomaje kwa showoff maana siku hizi kila mdada anataka kuwa bosslady
Bongo kuna Star????Ni kweli wameoana aisee mastaa kibao wameconfirm jomoni. [HASHTAG]#MapovuNo[/HASHTAG]
Kwani ndikumana alikuwa anakibamia kikubwa, dogo janja anayo ya kimasai kubwa na ndefuembu acheni upuuzi, huyu dogo hawezi kuvaa viatu vya ndikumana labda kama wanasagana
Siamini tangu jana asubuhi hamna mtu alieletA credible source ya janja kukanusha au kukubali hili swala, pia woya naye hajaonekana kukubali wala kukanusha kana kwamba hii sintofahamu inayoendelea kwenye mitandao ya kijamii waWaoni,hawasikii,hawajaambiwaZamaradi mkurupuko,katoa hongera kwa uwoya na dogojanja
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]embu acheni upuuzi, huyu dogo hawezi kuvaa viatu vya ndikumana labda kama wanasagana