muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,301
- 13,858
Ni baba wa mtoto wake!...kutengana siyo sababu ya kuwa maadui...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora watu wale waonyeshao hisia zao wazi kuliko hawa wanaoigiza.Wakuu salaam.
Nimeona video you tube ikionesha jinsi iren alivyoguswa na kifo cha Mzazi mwenzie.
Hata kama ni kwa unafiki(kama watu wanavyosema) ila kaonesha nini maana ya Mme.MTU ukishazaa nae ni zawadi tosha.
Kamlilia mmewe hadi kuzimia, sio Yale ya Zari mmewe kalala kwenye jeneza yeye yupo busy na kupost insta, kajiremba utadhani anatoka out, nyoooo!
Staki kuongelea mambo ya Iren na kale katoto kanakomfika kwapani, maana yanaboa hata kama ni movie , ila kwa msiba huu wa Mzazi mwenzie kaguswa kihisia inshort hajatutia aibu wanawake. Kwakweli mungu ampe wepesi, kazi ya mungu.haina makosa.
Ustaa usitufanye kuwa watumwa MTU umefiwa unapaka wanja mpaka sikion, midomo umeipodoa kama nn, saloon nywele za kichina yaan inaboa sana kugeuza misiba kama sherehe.
Iren kuanzia mavazi muonekano kweli ukimtizama ni mfiwa. Pole Iren
RIP Ndikumana.
Note: Hiyo video mm sijui kuiweka hapa ila IPO YouTube ,ambae anaweza kuiweka hapa naomba anisaidie.na mwenye picha naomba aziweke hapa.
Video imeandikwa kama nilivyoandika title ya Uzi.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1]Hivi nimeoa leo baada ya siku chache mmeo uliyenambia mmeachana kafa alafu unalia hadi kuzimia mbele yangu nitaanzaje kukubembeleza!
Mkuu heshima kwakoHuyo kazimia kwa presha ya mimba aliyo nayo...hivi ukilia sana hadi kuzimia ndio unakuwa umeguswa sana?
Wema alizima nae[emoji1] [emoji1] [emoji1] nafs inamsuta tuuu aende zakeMsibani kwa kanumba uwoya alizimia mara tatu mfululizo kisha kuwa okay kabisa ,bongo movie bana
Uwoya ni Mnyakyusa?Wema alizima nae[emoji1] [emoji1] [emoji1] nafs inamsuta tuuu aende zake
Kabisaa yaani umepatiaaMnyaki bila mayowe hajalia bado ha ha ha
Duh! 😀
Wanyakyusa ndo huwa wanafanya hivyo?
Anasemaga mchagaUwoya ni Mnyakyusa?
Ooh..ok.Anasemaga mchaga
Sana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa keleleOoh..ok.
Kuanzia leo itabidi ni pay attention kwenye hiyo misiba ya Wanyakyusa.
Yaelekea huwa ni burudani ya aina yake.
Sana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa kelele
Wao mwenye uchungu ni yule anayelia kwa vurugu na manenoo mfano"Munguuu nichukue na Mimi,jamaniiii"
Sana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa kelele
Wao mwenye uchungu ni yule anayelia kwa vurugu na manenoo mfano"Munguuu nichukue na Mimi,jamaniiii"
[emoji1] [emoji1] [emoji1] eti mashindanoHahaaaaaa daaah!
Kwa hiyo huwa ni kama mashindano?
Aisee mmenipa hamu ya kutaka kuhudhuria msiba wa Kinyakyusa [emoji23] [emoji23]
Hahahaaa utadhani ni mazuri....
Mhona hamis baba a.k.a h baba bado anadunda mkuuHuyu ni mwanaume wa 4 anakufa aliyewahi kuwa na mahusiano ya kingono na Irene!... wakati anazimia zimia akumbuke anavyompaka ngoma dogo janja
Serious numby nna asili ya huko huko na tunazika kuleHahahaha kuna watu wana vituko jamani