Irene uwoya akimbizwa hospital baada ya kupoteza fahamu.

Irene uwoya akimbizwa hospital baada ya kupoteza fahamu.

Wakuu salaam.
Nimeona video you tube ikionesha jinsi iren alivyoguswa na kifo cha Mzazi mwenzie.

Hata kama ni kwa unafiki(kama watu wanavyosema) ila kaonesha nini maana ya Mme.MTU ukishazaa nae ni zawadi tosha.

Kamlilia mmewe hadi kuzimia, sio Yale ya Zari mmewe kalala kwenye jeneza yeye yupo busy na kupost insta, kajiremba utadhani anatoka out, nyoooo!

Staki kuongelea mambo ya Iren na kale katoto kanakomfika kwapani, maana yanaboa hata kama ni movie , ila kwa msiba huu wa Mzazi mwenzie kaguswa kihisia inshort hajatutia aibu wanawake. Kwakweli mungu ampe wepesi, kazi ya mungu.haina makosa.

Ustaa usitufanye kuwa watumwa MTU umefiwa unapaka wanja mpaka sikion, midomo umeipodoa kama nn, saloon nywele za kichina yaan inaboa sana kugeuza misiba kama sherehe.

Iren kuanzia mavazi muonekano kweli ukimtizama ni mfiwa. Pole Iren
RIP Ndikumana.

Note: Hiyo video mm sijui kuiweka hapa ila IPO YouTube ,ambae anaweza kuiweka hapa naomba anisaidie.na mwenye picha naomba aziweke hapa.

Video imeandikwa kama nilivyoandika title ya Uzi.
Bora watu wale waonyeshao hisia zao wazi kuliko hawa wanaoigiza.
Kama alikua anamjali mzazi mwenzie kwanini asingemsaidia toka mwanzo saivi kafariki ndo anajikuta analia?
Iwe funzo kwa wale wote wanafiki.
 
Thamani ya mtu uliyemtesa na kumnyanyasa kwa namna yoyote ile huonekana pale mtu huyo anapokufa.

Sitaki kumuhukumu Irene lakini vitendo alivyokuwa anavifanya vinaweza kuwa kichocheo cha kifo cha huyu bwana.

Sikutarajia kumuona akilia kwa uchungu hivi. Alitakuwa kufahamu mapema kuwa anamsababishia maumivu makubwa mwenzie.

Tukumbuke kuwajali wale waliopo kwenye maisha yetu.
 
Hivi nimeoa leo baada ya siku chache mmeo uliyenambia mmeachana kafa alafu unalia hadi kuzimia mbele yangu nitaanzaje kukubembeleza!
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji1] [emoji1]
 
Mnyaki bila mayowe hajalia bado ha ha ha
Kabisaa yaani umepatiaa

Tukipeleka misiba kijijini basi utaskia wanasema twenden tukaangalie vilio

Yaani wao vile kupiga mikelele kwao ndo umeguswa.Mtu anajipigiza ht chozi halitoki[emoji1] [emoji1]
Duh! 😀

Wanyakyusa ndo huwa wanafanya hivyo?
 
Jitahidi kutomkwaza mtu na epukana sana migogoro ya kibwege hii pumzi inakatika sekunde yoyote ile naamini uyo mdada leo anajutia kwa wehu alioufanya wiki kadhaa anatamani angefanya katika namna ambayo isingezaa kutoelewana na mzazi mwenzie maana leo hakuna anaemuamini kama kaumia ni juzi juzi walikua wanatupiana maneno ghafla mwenzie kaimaliza safari kama ana ubinadamu hii itamuumiza kwa muda mrefu sana,nishawahi kuikosa nafasi ya kuongea na mtu kisa ugomvi wa kibwege na leo hayupo nawaza nakosa jibu angeniambia nini.
 
Ooh..ok.

Kuanzia leo itabidi ni pay attention kwenye hiyo misiba ya Wanyakyusa.

Yaelekea huwa ni burudani ya aina yake.
Sana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa kelele

Wao mwenye uchungu ni yule anayelia kwa vurugu na manenoo mfano"Munguuu nichukue na Mimi,jamaniiii"
 
Sana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa kelele

Wao mwenye uchungu ni yule anayelia kwa vurugu na manenoo mfano"Munguuu nichukue na Mimi,jamaniiii"

Hahaaaaaa daaah!

Kwa hiyo huwa ni kama mashindano?

Aisee mmenipa hamu ya kutaka kuhudhuria msiba wa Kinyakyusa [emoji23] [emoji23]

Hahahaaa utadhani ni mazuri....
 
Hahahaha kuna watu wana vituko jamani
Sana tena vijijini kuzidi mkiwa msibani kwanza wananzengo wanaangalia nani analia sana nani halii sana kwa kelele

Wao mwenye uchungu ni yule anayelia kwa vurugu na manenoo mfano"Munguuu nichukue na Mimi,jamaniiii"
 
Hahaaaaaa daaah!

Kwa hiyo huwa ni kama mashindano?

Aisee mmenipa hamu ya kutaka kuhudhuria msiba wa Kinyakyusa [emoji23] [emoji23]

Hahahaaa utadhani ni mazuri....
[emoji1] [emoji1] [emoji1] eti mashindano
Kule uchungu wa msiba uzimie,yowee,kelelee hapo mtawafurahisha

Ila kinyume na hapo hamna uchungu.
We chunguza tu
 
Back
Top Bottom