cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca baby! Na ulivonona kama irene uwoya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Coca baby! Na ulivonona kama irene uwoya.
Vp ile bar yake sinza ilishakufa au[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu utakuua T14 ArmataGari lenyewe kaedit kalisogeza hapo na plate number kaedit pia. Sembuse mall
Ilikufa leo? [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Vp ile bar yake sinza ilishakufa au
Ova
Hajielewi na hizi Mambo huisha tu mbonaa !!angekua anajielewa angekua mbaali sanaNdo hapo sasa ngoja atemane na Ze Don atahaha huyu, na huwa anachafuka na kupauka mnoo, sema mganga wake kibokoo, maana huwa akija kushine anakutana na bopa la maana.
Uwoya ana kismati cha mapeneee, tatizo akili halina hili li dada linaniuzi mnoo.
Km Wema anavyojuta sasa, hivi Uwoya hata hajifunzi kwa Wema khaaaah.Hajielewi na hizi Mambo huisha tu mbonaa !!angekua anajielewa angekua mbaali sana
Ana u rich gan? KhaaaahUsimfananishe uwoya na wema. Uwoya is damn rich!
Hapo sawa, ila sio rich.Ndio celebrity mwenye hela kwa sasa bongo upande wa ke!
PapuchiWe unajua anamiliki nini
Muambie ngosha akimuacha imekula kwake,story tunazo Ila tumestaafu umbeaNdio celebrity mwenye hela kwa sasa bongo upande wa ke!
Hajui tu SEMA zile Pesa Kama Zina mashetani vileee!!!yaani wanainjoi machawa tuuKm Wema anavyojuta sasa, hivi Uwoya hata hajifunzi kwa Wema khaaaah.
@Moderator [emoji115][emoji115][emoji115][emoji2089][emoji2089][emoji2089][emoji2089]