Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji867]Haya chokodari wali nazi
Thina bandooo!!![emoji38][emoji16][emoji16][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji28][emoji28][emoji16][emoji28][emoji28][emoji16][emoji38][emoji38][emoji38][emoji39][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]watu wanahisi tu Irene bwana ake wa Sasa hivi sio kigogo wala mti na sio supa staa...ni tajiriiii Dola Dola mchezo wa kikubwa,hatembei na shillings za Kibongo a low key person!!!Aaah usinifanyie hivyo jmn basi hata pm nijuze[emoji2]
Inakuwaje anatembelea ndinga ya million 30nbadonanasema anazo tena used za kununua millioni 20?Na hela pia zinamfanya aonekane kijana!
Amejiandaaje kuingizwa kingi😂Pia tajiri huyo wakike ameunda timu ya watu 10 wakiwemo wachumi na wanasiasa kwaajili ya kuangalia uwezekano wa kuinunua quality mall na kuifufua upya!
Humo kwenye mall watakua wanauza vipochi mwanzo-mwishoSawa namuona mmiliki wa mall
[emoji1787]mishangaziMwanangu una mawazo Kama yangu, huwa nashangaa watu wanasema Paula ni pisi Ila Mimi naona uwoya,kajala na mishangazi Kama hiyo ndio pisi kali
NashangaaUnaifahamu vyema NGUVU YA MAKE-UP..?
Ishi kwa akili sana na hivi viumbe.
[emoji1787][emoji1787][emoji847]Mall pekee anayo na atakayo miliki ni huo msambwanda wake tuu hayo mengine yanahitaji akil ya ziada.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukionana naye live uje u comment tena hapa unaweza kuja ukafuta hapa.
kwani mall inatakiwa iwe na maduka mangapi mkuuNchi ya ajabu Sana hii. MTU akijenga frem kumi za maduka, salon za kike na wakala wa CRDB anaitwa mall.
Yuko tajiri mmoja maarufu Dar aliingia kichwa kichwa biashara ya frem, alifilisika haraka mpaka Sasa hajui kilichomtokea. Juzi Kati nilimuona Kinondoni amapaki kibenzi chake anakula supu ya utumbo