Irene Uwoya na Tessy chocolate wana msongo wa mawazo wanahitaji msaada

yap toto la kishua lile.... mama ake na baba wote vigogo ila mzee wake nahisi atakuwa ameshastep down maana alikuwa anafanya kazi na mzee na mzee alishastep down na walikuwa rika moja
Yaap nliona amestaafu aliweka IG!! Ndo maana hana majivuno nampendaga Mimi uwoya sanaa!!!hana shobo yule!Mzungu wa roho
 
Pesa na umaarufu tu hakuna cha hofu ya mungu wala nn amini nikwambiacho usipoamini leo utaamini cku demu wko akitongozwa na mwenye hela ama staa ntakukuta unalia ndg yng!
Well said mkuu si unakumbuka bifu ya T.I.D na Hashim thabit pale bill's. Maana ishu ilikua ni demu wa tid kumshobokea hashim ile kinomanoma afu tid akaleta umwamba akala kichapo akatolewa club na kupigwa suspension, na aliporudi alienda na mzazi na elf 19 ya dawati alilovunja.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] I do remembaaaa!!!
 
Mi namkubali sana Beckham na uhandsome wote ule yupo tuli na kadem kake Victoria mwingine ni Will smith hawa wanawake sijui wamewapa nini kuwatuliza hawa jamaa
wazungu ni tofauti na mswahili mkuu, wanaogopa sana kitu usaliti
 
Hanaga shida we mtukaneee!hajibu sema ndo kicheche tu!!
hiyo ndio changamoto 😂😂 ila daaah irene mzuri bwana... me nilianzaga kumuona before ajashiriki umiss alikuwa anasoma na sister angu st lawlance kwa museven... alikuwa akija home nasema umri huu umenikosesha utamu😂
 
hiyo ndio changamoto [emoji23][emoji23] ila daaah irene mzuri bwana... me nilianzaga kumuona before ajashiriki umiss alikuwa anasoma na sister angu st lawlance kwa museven... alikuwa akija home nasema umri huu umenikosesha utamu[emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hukutaka tuu!humuoni dogo janja anajilia utamu!!!
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] hukutaka tuu!humuoni dogo janja anajilia utamu!!!
Nina wasiwasi kama dogojanja ile pale gere'sha tu. Dogo ana hela ya kumpeleka bibie Dubai vacation? Wakati kodi ya chumba tu mzozo
 
It's Tessy not Trace. Halafu usinisemee twin wangu mkuu kuwa ana stelles
 
Uwoya ni demu mkali sana sijui dogo janja kama analala kwa amani huyu demu akiwa mbali na yeye
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…