Duh!! Wanagombea six packs, hongera
Duh!! Wanagombea six packs, hongera
Sidhan kama unajua chochote kuhusu body building... ukomavu n mtu tu na maisha yake... sry nmekumind coz n mmoja ya watu wa mazoez.... na nagombewa na wamama ofsin na mtaan acha vjana wenzangu!
For Promotional Use Only.
Ni upuuz kubsha kila kitu hasa usivovijua.... jc shutup ur damn mouth... u knw nthng abt that
For Promotional Use Only.
le mutuz,jb,kapten komba..
ahahaa, biashara matangazo binamu, badala atangaze movie mpya anatangaz umalaya
Kuna mmoja kalazwa muhimbili alikula mbolea kidogo afie hotelini ilikua noumer sana,nae ni mutu mnene zaidi y komba siri imefichwa mda yani ilikua balaa roho kidogo iache mwili
Kwq hyo na wewe unapenda mwenyewe??
Wanene kama komba? ? Hapana aiseee
Shosti Komba , Le mutuz , JB , Bigi wale ni Wagonjwa sio wanene , Diamond & Ali ndio hao siksi paki , No me Nehine
Ila ndomo ukimuona kwenye picha nyingi anaonekana bonge la mtu halafu kajazia hatar, ukumuona live kama nguchiro ana mwil mdogo, sijui ndo application maana na wao mhh
Ila ndomo ukimuona kwenye picha nyingi anaonekana bonge la mtu halafu kajazia hatar, ukumuona live kama nguchiro ana mwil mdogo, sijui ndo application maana na wao mhh
Unene hupunguza pumzi y mechi bao moja tu then anakoroma wengi wanatumia mbolea bila ushauri w dokta mwisho wanafia chumbani.kuna muheshimiwa kalazwa muhimbili alitaka kufa hotelini arusha nae ni bonge hivyohivyo alikula mbolea presha ikapanda cjui na sukari yani ilikua mshkemshike balaa