Irene Uwoya unachomfanyia Mzee Majuto Mungu anakuona

Unamdomo mchafu ww mtoto kwani hata ukimywa pombe mm inaniathiri nn? Nilichopinga ni kuwekwa pic ya Alhaj kwenye ukuta wa Club

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu itakuwa haujanielewa nilichopinga kuwa. Haifai kumtumia picha ya Marehemu ambaye ni Muislam kutangaza Pombe au kuwa kivutio cha pombe

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa unawashwa hivyo wakati pili pili haujaila ww ili iweje?!!
Unamdomo mchafu ww mtoto kwani hata ukimywa pombe mm inaniathiri nn? Nilichopinga ni kuwekwa pic ya Alhaj kwenye ukuta wa Club

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan yy majuto ni wa kwanza kuwekwa, ama majuto ndio bora kuliko wote waliokufa wakawekwa kwenye kuta za starehe?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yaani kwakuwa imani yako imekuaminisha kuwa pombe ni haramu basi unachukulia kwamba huo mtazamo wako una apply kwakila mtu pasipo wewe kutazama misingi ya imani yao inamtazamo upi juu ya hilo .( huo ni ubinafsi )

Halafu unaanzia wapi kumpangia mtu namna ya ku-invest pesa ambazo haujui chanzo kilicho pelekea kufika mikononi mwake ni kipi _ Kama serikali ya nchi inataitambua biashara hiyo basi wewe huna sababu za kui-judge

Binafsi sifurahishwi na watu ambao wanaamini kwamba mbinguni kila mtu atabeba msalaba wake halafu hapo hapo wana walazimisha watu wengine waweze kuishi kama wao " As if mliambiwa kwamba matendo ya huyo mtu yanaweza ku-sababisha mchomwe moto pamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sasa unawashwa hivyo wakati pili pili haujaila ww ili iweje?!! Kwan yy majuto ni wa kwanza kuwekwa, ama majuto ndio bora kuliko wote waliokufa wakawekwa kwenye kuta za starehe?!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama waliowekwa kwa itiqad ya dini zao ni sawa basi hilo ni lao na iman zao lakini kwenye a
uislam mambo hayo hayafai na ni uchafu wa shetani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umenena vyema kabisa mkuu,

Mtu ameshakufa,atahesabiwa mwenyewe kwa aliyoyafanya akiwa hai.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…