Iringa: Ahukumiwa kunyongwa baada ya kumtupa mtoto wake Mto Ruaha

Iringa: Ahukumiwa kunyongwa baada ya kumtupa mtoto wake Mto Ruaha

Unahisi mkuu ni Sawa kumpa yeye kifo cha Amani na kumpa nafasi ya kutubu wakati yeye hakutoa vyote hivyo kwa mtoto aliyemuua?

Kwanini mtu kama huyu tunampa nafasi ya kula chakula kizuri Bure, kukaa kwa Amani Bure akisubiria huko kunyongwa na zaidi anapewa nafasi kujiandaa kwa kutubu na mengineneyo wakati yeye kadhulumu uhai wa mtoto asiye na hatia, kamtupa mtoto aliwe na mamba na unajua kisaikolojia inauma kiasi gani kwa mtoto ambae Anamuona baba yake kama mlinzi mkuu lakini ndio ansukumiza mtoni aliwe na mamba?
[emoji26][emoji26][emoji24]
 
Mama umeona nawe ila naye kasema ugumu wa maisha umechangia yeye kumuua mwanaye .
Mimi sio mama. Hilo ni jina tu la FB. Ugumu wa maisha upo toka dunia iumbwe. Hakuna kisingizio chochote cha kuondoa uhai wa mtu.
 
Umasikini unatutesa Tz. Nchi za wenzetu mtoto huyu asingezaliwa, ingeshaonekana kwenye vipimo vya mwanzo kabisa, na yote ni kuepuka majanga kama haya. Uchumi mbovu wa kuungaunga, utaweza kumhudumia mtoto mlemavu maisha yake yote, bila ya usaidizi wa serikali kupitia taasisi maalum za kuwahudumia wenye ulemavu?
Wizara ya afya, jamii na serikali kwa ujumla, mjitafakari!
 
Back
Top Bottom