Iringa: Jela maisha kwa kubaka na kumpa mtoto Ukimwi

Iringa: Jela maisha kwa kubaka na kumpa mtoto Ukimwi

Dah!Wamemuonea sana mzee m-nini sijui!Ilipaswa apewe adhabu nyepesinyepesi tu:-
1-Afilisiwe kila kitu ifute kidogo machozi ya waathirika.Naamini atakuwa na mashamba kule Ismani.Ni sehemu ya barabarani na potential.
2-Anapigishwa magoti na lingetumika jambia/panga lililonolewa vizuri mbele ya umma,kichwa chake kinafyekwa mara moja,
3-Mwili wa huyo mzee punguani,ungerudishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo cha milele.
Anaenda kula tu ugali bure na kufuga chawa makwapani.
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23] nacheka Ni adhabu ulipanga wamfanyie mzee yule kumkata kichwa hadharani jmn

Nani atamfanyia zoezi Hilo kwangu mm siwezi mkuu[emoji23] hata kupiga nondo tu ya kichwa siwezi
 
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha mara mbili Mzee Selemani Gwabuga maarufu Msabato, sambamba na kulipa fidia ya shilingi milioni 25, kulipa faini shilingi milion 5 na kuchapwa viboko 11 baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka Mtoto wa miaka 11 na kumuambukiza virusi vya UKIMWI.

Mahakama imesema Mzee Msabato mwenye umri wa miaka 78 alikuwa akiishi kitongoji cha Idodi , Isimani Mkoani Iringa na alikuwa jirani na Mtoto huyo na mara kadhaa alikuwa akihubiri Injili.

Hukumu imetolewa baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu ikiwemo la kubaka Mtoto mwenye umri wa miaka 11 na kumuambukiza virusi vya UKIMWI kwa makusudi huku akijua yeye ni Mwathirika na anatumia dawa za kufubaza UKIMWI (ARVs) na kosa la tatu ni kujaribu kubaka Mtoto huyo wa miaka 11 aliyekuwa akisoma darasa la tano hivyo kosa la kwanza amehukumiwa jela maisha na kosa la pili akahukumiwa tena jela maisha.

“Siku ya kwanza baaada ya kumbaka Mtoto alimpa shilingi 200 na kumuambia asiseme kwa Mtu yeyote na katika tukio jingine Mtuhumiwa alikutana na Mtoto huyo mtoni na alipojaribu kumlazimisha Mtoto huyo Mama wa Mtoto alitokea na Mzee alikimbia na taratibu za kumkamata zikafanyika”

Kesi hiyo imesimamiwa na Waendesha mashtaka wa Serikali Nashon Saimon pamoja na Balton Mayage na ilikuwa na Mashahidi wanne akiwemo Daktari aliyethibitisha Mtoto huyo alikuwa ameingiliwa na kuambukizwa UKIMWI.
Yaani mtu kama huyu hukumu Bora angenyongwa tu kifungo na faini haitoshi kabisa
 
[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23] nacheka Ni adhabu ulipanga wamfanyie mzee yule kumkata kichwa hadharani jmn

Nani atamfanyia zoezi Hilo kwangu mm siwezi mkuu[emoji23] hata kupiga nondo tu ya kichwa siwezi
Kila nikifikiria ninavyolea watoto wakiwemo mabinti halafu anatokea mzee mmoja mjinga anaharibu utaratibu,roho inakosa uvumilivu.Tumeumbwa tofauti hasa tukiwa na hasira.
 
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha mara mbili Mzee Selemani Gwabuga maarufu Msabato, sambamba na kulipa fidia ya shilingi milioni 25, kulipa faini shilingi milion 5 na kuchapwa viboko 11 baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka Mtoto wa miaka 11 na kumuambukiza virusi vya UKIMWI.

Mahakama imesema Mzee Msabato mwenye umri wa miaka 78 alikuwa akiishi kitongoji cha Idodi , Isimani Mkoani Iringa na alikuwa jirani na Mtoto huyo na mara kadhaa alikuwa akihubiri Injili.

Hukumu imetolewa baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu ikiwemo la kubaka Mtoto mwenye umri wa miaka 11 na kumuambukiza virusi vya UKIMWI kwa makusudi huku akijua yeye ni Mwathirika na anatumia dawa za kufubaza UKIMWI (ARVs) na kosa la tatu ni kujaribu kubaka Mtoto huyo wa miaka 11 aliyekuwa akisoma darasa la tano hivyo kosa la kwanza amehukumiwa jela maisha na kosa la pili akahukumiwa tena jela maisha.

“Siku ya kwanza baaada ya kumbaka Mtoto alimpa shilingi 200 na kumuambia asiseme kwa Mtu yeyote na katika tukio jingine Mtuhumiwa alikutana na Mtoto huyo mtoni na alipojaribu kumlazimisha Mtoto huyo Mama wa Mtoto alitokea na Mzee alikimbia na taratibu za kumkamata zikafanyika”

Kesi hiyo imesimamiwa na Waendesha mashtaka wa Serikali Nashon Saimon pamoja na Balton Mayage na ilikuwa na Mashahidi wanne akiwemo Daktari aliyethibitisha Mtoto huyo alikuwa ameingiliwa na kuambukizwa UKIMWI.
Kwsnj hukumu ya kifo haikuwepo hafi wampe unafuu wa hukumu namna hiyo?
 
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha mara mbili Mzee Selemani Gwabuga maarufu Msabato, sambamba na kulipa fidia ya shilingi milioni 25, kulipa faini shilingi milion 5 na kuchapwa viboko 11 baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka Mtoto wa miaka 11 na kumuambukiza virusi vya UKIMWI.

Mahakama imesema Mzee Msabato mwenye umri wa miaka 78 alikuwa akiishi kitongoji cha Idodi , Isimani Mkoani Iringa na alikuwa jirani na Mtoto huyo na mara kadhaa alikuwa akihubiri Injili.

Hukumu imetolewa baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu ikiwemo la kubaka Mtoto mwenye umri wa miaka 11 na kumuambukiza virusi vya UKIMWI kwa makusudi huku akijua yeye ni Mwathirika na anatumia dawa za kufubaza UKIMWI (ARVs) na kosa la tatu ni kujaribu kubaka Mtoto huyo wa miaka 11 aliyekuwa akisoma darasa la tano hivyo kosa la kwanza amehukumiwa jela maisha na kosa la pili akahukumiwa tena jela maisha.

“Siku ya kwanza baaada ya kumbaka Mtoto alimpa shilingi 200 na kumuambia asiseme kwa Mtu yeyote na katika tukio jingine Mtuhumiwa alikutana na Mtoto huyo mtoni na alipojaribu kumlazimisha Mtoto huyo Mama wa Mtoto alitokea na Mzee alikimbia na taratibu za kumkamata zikafanyika”

Kesi hiyo imesimamiwa na Waendesha mashtaka wa Serikali Nashon Saimon pamoja na Balton Mayage na ilikuwa na Mashahidi wanne akiwemo Daktari aliyethibitisha Mtoto huyo alikuwa ameingiliwa na kuambukizwa UKIMWI.
Ilo lizee itakuwa ni yale yanajifanya kataa ndoa,afu nyge zikiwazid hawana pa kuzipeleka wanabaka ovyo watu.
 
Dah!Wamemuonea sana mzee m-nini sijui!Ilipaswa apewe adhabu nyepesinyepesi tu:-
1-Afilisiwe kila kitu ifute kidogo machozi ya waathirika.Naamini atakuwa na mashamba kule Ismani.Ni sehemu ya barabarani na potential.
2-Anapigishwa magoti na lingetumika jambia/panga lililonolewa vizuri mbele ya umma,kichwa chake kinafyekwa mara moja,
3-Mwili wa huyo mzee punguani,ungerudishwa mahakamani na kuhukumiwa kifungo cha milele.
Anaenda kula tu ugali bure na kufuga chawa makwapani.
Adhabu nyepesi nyepesi na ulivyozitaja nimecheka sana! 😂😂😂
 
hiki kifungo kilipaswa kumbatana na kazi ngumu sambamba na bakora 12 kila uchwao
 
Kwa baadhi ya kanda hapa Tz ni kama haya matukio yanazidi sana, adhabu hazitoshi? Mi naona kama jamii tunapaswa kufanya zaidi.

Kukazia adhabu, kampeni za kupinga vitendo vya kikatili ziimarishwe, mashirika yasiyo ya kiserikali na asasi mbali mbali ziache kujificha mijini ziende huko kwenye grassroots, viongozi wa dini na wa kimila wasaidie kuwapa elimu wana jamii ikiwa vitendo hivi vinahusishwa na imani za kishirikina na serikali itilie mkazo masuala ya ustawi wa jamii na malezi jumuishi.

Kama jamii tunajali? Au ndio kila mtu anapambana kulinda wanae, SMH 🤦🏻‍♀️.
 
Selemani Gwabuga maarufu Msabato(78) amehukumiwa kifungo cha maisha mara mbili na sambamba na kulipa fidia ya shilingi milioni 25, kulipa faini shilingi milion 5 na kuchapwa viboko 11 baada ya kukutwa na hatia ya kumbaka Mtoto wa miaka 11 na kumuambukiza virusi vya UKIMWI na Mahakama ya Wilaya ya Iringa .

Kesi hiyo imesimamiwa na Waendesha mashtaka wa Serikali Nashon Saimon pamoja na Balton Mayage na imekuwa na Mashahidi wanne akiwemo Daktari aliyethibitisha kuwa Mtoto huyo ameingiliwa na kuambukizwa UKIMWI.

Hukumu imetolewa baada ya kukutwa na hatia ya makosa matatu ikiwemo la kubaka Mtoto mwenye umri wa miaka 11 na kumuambukiza virusi vya UKIMWI kwa makusudi huku akijua yeye ni Mwathirika na anatumia dawa za kufubaza UKIMWI (ARVs) na kosa la tatu ni kujaribu kubaka Mtoto huyo wa miaka 11 aliyekuwa akisoma darasa la tano hivyo kosa la kwanza amehukumiwa jela maisha na kosa la pili akahukumiwa tena jela maisha.

#EastAfricaTv
 
Back
Top Bottom