Iringa: Jela maisha kwa kubaka na kumpa mtoto Ukimwi

Iringa: Jela maisha kwa kubaka na kumpa mtoto Ukimwi

C angenyongwa mbele ya mahakama tu mkuu kazii ikwishe hphp ,ss anaendaa kula Bure chakula Chana nakulala Bure na kulindwa ulinzi salama maishà yake yotee ,,

Serikali iweke Sheria hawa wanaouwa wenzao nao wawe wanauwawa live jamii ikitizama kupitiaa tv na mitandao yt ya kijamii Ili kuepushana na matendo ya hovyo hv na yakuumiza watt wadogo..

Shenzi kabs huyo Mzee.
 
C angenyongwa mbele ya mahakama tu mkuu kazii ikwishe hphp ,ss anaendaa kula Bure chakula Chana nakulala Bure na kulindwa ulinzi salama maishà yake yotee ,,

Serikali iweke Sheria hawa wanaouwa wenzao nao wawe wanauwawa live jamii ikitizama kupitiaa tv na mitandao yt ya kijamii Ili kuepushana na matendo ya hovyo hv na yakuumiza watt wadogo..

Shenzi kabs huyo Mzee.
Umeongea kwa hasira sana.
 
Jela zinakwenda kufurika maradufu ilhali Shule zinazojengwa kila Kona ilibidi ziwe jela tu.
 
Back
Top Bottom