Umeongea kwa hasira sana.C angenyongwa mbele ya mahakama tu mkuu kazii ikwishe hphp ,ss anaendaa kula Bure chakula Chana nakulala Bure na kulindwa ulinzi salama maishà yake yotee ,,
Serikali iweke Sheria hawa wanaouwa wenzao nao wawe wanauwawa live jamii ikitizama kupitiaa tv na mitandao yt ya kijamii Ili kuepushana na matendo ya hovyo hv na yakuumiza watt wadogo..
Shenzi kabs huyo Mzee.
Adhabu ys kunyongwa irudshwe jmn, itafaa kwa matumiz ya wanyama km hawaSelemani Gwabuga maarufu Msabato(78) amehukumiwa kifungo cha maisha mara mbili na sambamba na kulipa fidia ya shilingi milioni 25, kulipa faini shilingi milion 5 na kuchapwa....
Hatari sanaAdhabu ys kunyongwa irudshwe jmn, itafaa kwa matumiz ya wanyama km hawa
Shida imeanzia kwenye hilo jina.Selemani
Kumbe wanazingua kweli aisee!Shida imeanzia kwenye hilo jina.
Eeh mpaka wametungiwa nyimbo ujue hilo jina lina shida sana.Kumbe wanazingua kweli aisee!
My sis ☺️🙂💖💜🤗kataa ndoa