Iringa: Kanisa Katoliki lawazuia waumini walioshiriki kongamano la Mwamposa kutopokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu mpaka watakapoungama

Iringa: Kanisa Katoliki lawazuia waumini walioshiriki kongamano la Mwamposa kutopokea Sakramenti ya Ekaristi Takatifu mpaka watakapoungama

Ukienda kwa mwamposa unarudi na alama usoni? Je, kwa mikwara hiyo watawatambuaje hao waumini hata wawazuie kupokea hiyo wasemayo >ekaristiQUOTE]


Imani imani wala hawana alama ila watajipeleka wenyewe nafsi itakuwa inamsuta kama vile unafanya makosa siri lakini unaenda kuyasema kwa mchungu/Padre nafsi inakuhukumu.
 
Back
Top Bottom