Ulweso
JF-Expert Member
- May 24, 2016
- 23,111
- 28,020
Ukienda kwa mwamposa unarudi na alama usoni? Je, kwa mikwara hiyo watawatambuaje hao waumini hata wawazuie kupokea hiyo wasemayo >ekaristiQUOTE]
Imani imani wala hawana alama ila watajipeleka wenyewe nafsi itakuwa inamsuta kama vile unafanya makosa siri lakini unaenda kuyasema kwa mchungu/Padre nafsi inakuhukumu.