Iringa: Kila Mtanzania ale usawa wa Kamba yake. Trafiki akamatwa kwa rushwa

Kamba ya Afande inaishia hapo sasa maneno ya nini!
 
Huyo OCD anajua kila kitu kwahiyo naye angeunganishwa na mtuhumiwa
 
Kama nawaona wanavyojipanga..ndio maana huku nilipo sasa hivi husemeshwi unakutana na virisiti tu πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€
 
aliyetakiwa kukamatwa hapo ni mkuu wao huo nimchezo wao huazia juu kwenda chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…