Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Takukuru Ni Kati ya sehemu yenye rushwa sana nchini.Katika tuko hili , ninajiuliza TAKUKURU wanafanya kazi gani nchi hii?
🤡🤡🤡# kazi iendelee
Titawakamatisha kwa uonevu pia, akichimama nchale, akikaa nchale, Hadi wajue kula urefu wa kamba yao🤔.Huyu traffic wa barabara kuu, sijui itakuwa njia ya wapi?
Nawaonea huruma wataokuwa wanapita hiyo barabara kuanzia sasa, mitraffiki ilivyo na visasi lazima iandie watu faini za kutosha...
kuna baadhi ya nyumba niliwahi kuonyeshwa iringa ni za ma traffic ni hatari sana.Trafki wa Iringa huyo. Pole yake.
Mpaka wapate maelezo toka juuu ndipo wazinduke ... nchi hii tutafika tukiwa tumechoka sanaKatika tuko hili , ninajiuliza TAKUKURU wanafanya kazi gani nchi hii?
Wale jamaa akikuharibia Kazi yeye ndo anapanda cheo.Kama tulikubaliana kula kwa urefu wa kamba kwann anakamatwa sasa
Kamba imekatikaMbuzi mbona kany'ong'onyea hivyo kimeumana nini?😂
True hata Takukuru wenyewe wanakula rushwa.Haramu ni kama kitimotoWanamuonea tu huyo mwamba. Lila mtu Tanzania ni mwizi katika nafasi yake.
Mbagala nako.kuna baadhi ya nyumba niliwahi kuonyeshwa iringa ni za ma traffic ni hatari sana.