Iringa: Kila Mtanzania ale usawa wa Kamba yake. Trafiki akamatwa kwa rushwa

Iringa: Kila Mtanzania ale usawa wa Kamba yake. Trafiki akamatwa kwa rushwa

Wamemuonea tu bure mwamba. Mijitu mingi ina makosa barabarani, wakitukazia kuandika faini tunawaona wanoko. Shenzi kabisa muanzisha mada, na hasa kama wewe ndiye uliyechoma
 
Atakuwa anamlaani yule mtu aliyegundua vile vimashine vya kupigia faini,maana zamani hizo zingechnanywa na zile alizokusanya kwa kitabu(Notification)
Kumekuwa na Tabia mbaya sana kwa hawa watu kutunyanyasa pindi tunapokuwa safarin.

Sasa dawa yao ipo jikon.
Tutakomaa nao mpka kieleweke..

Kwa familia zilizokumbwa na Mkasa huu Tafadhal naomba Mnisamehe sana. Mungu Ibarik Tanzania Mungu Ibariki Africa.

View attachment 2086849View attachment 2086850View attachment 2086851
 
Like serious kuna mtu asiyejua kuwa polisi, mahakama na taasisi za serikali zinanuka rushwa ?? Sometimes naonaga kama hii PCCB ni joke nasisi tuonekane na international donors kuwa tunacontrol corruption... wanyongwe kama china Mbwa hawa
 
Back
Top Bottom