Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukiona hivyo jua ktk Mahakama kuna ulakini ktk kutoa haki...ama zinaingiliwa ktk utekelezaji wa majukumu ya kutoa haki... Thus why jamii inapongeza haki ikitendekaWakuu nimefuatilia katika mitandao naona watu wanatoa pongezi kwa Mahakama kutoa dhamana kwa NH. Zitto na kumwachia huru Abdul Nondo.
Nimebaki na mawsali yasiyokuwa na majibu.
Ivi Mahakama kama chombo cha kutafsiri Sheria inapotimiza wajibu wake kuna sababu ya kupongeza?
Mfano mdogo Baba ukinunua nguo za watoto na mahitaji mengine je kuna sababu ya kukupongeza? Jibu ni HAPANA maana unakuwa unatimiza wajibu.
Ni kweli mkuu mhimili uu hauko salama.Ukiona hivyo jua ktk Mahakama kuna ulakini ktk kutoa haki...ama zinaingiliwa ktk utekelezaji wa majukumu ya kutoa haki... Thus why jamii inapongeza haki ikitendeka
Wakuu nimefuatilia katika mitandao naona watu wanatoa pongezi kwa Mahakama kutoa dhamana kwa NH. Zitto na kumwachia huru Abdul Nondo.
Nimebaki na mawsali yasiyokuwa na majibu.
Ivi Mahakama kama chombo cha kutafsiri Sheria inapotimiza wajibu wake kuna sababu ya kupongeza?
Mfano mdogo Baba ukinunua nguo za watoto na mahitaji mengine je kuna sababu ya kukupongeza? Jibu ni HAPANA maana unakuwa unatimiza wajibu.
Mkuu umechanganya mafile. [emoji119]hapa wewe ndio una makosa ni muhimu kutoa pongezi au asante hata kama ni haki yake mfano umeenda hotel kula unahudumiwa kwa pesa yako lakini ni wajibu kusema asante kwa anaye kuhudumia. mungu katuumba sisi ni haki yake kutupa pumzi ya kuvuta kutuoteshea mazao kwa sababu tule tuishi lakini unatakiwa kumshukuru pamoja kuwa ni wajibu wake lakini anataka ashukuriwe
Hao majaji naamini wanakuwa katika shinikizo kubwa kutoka kwa serikali kuu, hivyo ni bora kuwashukuru tu...wangeweza kuamua kivingine na Watanzania walivyo hawawezi kufanya loloteWakuu nimefuatilia katika mitandao naona watu wanatoa pongezi kwa Mahakama kutoa dhamana kwa NH. Zitto na kumwachia huru Abdul Nondo.
Nimebaki na mawsali yasiyokuwa na majibu.
Ivi Mahakama kama chombo cha kutafsiri Sheria inapotimiza wajibu wake kuna sababu ya kupongeza?
Mfano mdogo Baba ukinunua nguo za watoto na mahitaji mengine je kuna sababu ya kukupongeza? Jibu ni HAPANA maana unakuwa unatimiza wajibu.
Unapotimiza wajibu wako vizuri pongezi unafaa ila sio za kulazimishaWakuu nimefuatilia katika mitandao naona watu wanatoa pongezi kwa Mahakama kutoa dhamana kwa NH. Zitto na kumwachia huru Abdul Nondo.
Nimebaki na mawsali yasiyokuwa na majibu.
Ivi Mahakama kama chombo cha kutafsiri Sheria inapotimiza wajibu wake kuna sababu ya kupongeza?
Mfano mdogo Baba ukinunua nguo za watoto na mahitaji mengine je kuna sababu ya kukupongeza? Jibu ni HAPANA maana unakuwa unatimiza wajibu.
Nashindwa kuelewa nisaidieni, ivi Mwalimu,Hakimu na Madakitari wanatofauti gani kiutumishi?hapa wewe ndio una makosa ni muhimu kutoa pongezi au asante hata kama ni haki yake mfano umeenda hotel kula unahudumiwa kwa pesa yako lakini ni wajibu kusema asante kwa anaye kuhudumia. mungu katuumba sisi ni haki yake kutupa pumzi ya kuvuta kutuoteshea mazao kwa sababu tule tuishi lakini unatakiwa kumshukuru pamoja kuwa ni wajibu wake lakini anataka ashukuriwe
Waalimu, tabibu na wakunga, kazi zao zinaaminika au kuchukuliwa kama ni za kutenda wema zaidi kuliko kudhuru.Hizi double standards mnazobariki zinatafuna kizazi baada ya kizazi, Daktari akimfanyia Mgonjwa operation Sijawahi ona wanapongezwa kama mfanyavyo kwa mahakimu, mwalimu anafundisha mtoto kutoka kuchora mistari mpaka anaumba herufi Sijawahi ona pongezi lakini hakimu akitimiza majukumu yake anapongezwa. Nooooo
Mkuu nimekuelewa, kwahiyo police na Mahakama hawategemewi kutenda haki! Haki kwao ni bahati mbaya. Na kwakua Raia ni mshangao?Waalimu, tabibu na wakunga, kazi zao zinaaminika au kuchukuliwa kama ni za kutenda wema zaidi kuliko kudhuru.
Kwa polisi, hakimu au mwanajeshi, haitegemewi sana hasa kwa nchi zetu, akutendee haki au wema labda uwe unajuana naye.
Jamii inapata ahueni na mshangao linapotokea jambo kama la Bw Nondo kuachiwa bila kukutwa na kosa.
Wote niliotaja hapo juu wanatekeleza wajibu wao, na kwa wapokea huduma zao hawawajibiki kuwapongeza au kushukuru, ila pale unapotegemea jambo baya Kutokea halafu likatokea jambo jema, wengi hujikuta wakipongeza na kushukuru.
Kutekana tekana ni mambo ya kishamba sana!Ni pale aliyeripoti polisi kutekwa badala ya kupewa msaada na kufanya uchunguzi aligeuka mtuhumiwa na kunyanganywa vitu vyake. Hapo ndipo mashaka yalipoamzia. Swali je kwa nini hawakutaka kuchunguza ametekwaje badala yake wakawa kama walikuwa wanamsubiri afike wamfungulie mashitaka
ccm watekaji na wauaji hilo linajulikana mbona kwa kila mtu,ccm ni maadui wakubwa wa nchi hiiWalipoteza Muda wa Kuwajua wasiojulikana. Sasa Ni dhahiri CCM walimteka Abdul Nondo.
Nakumbuka Mwigulu Nchemba alimkejeli sana huyu DogoHivi Mwigulu Nchemba anajisikiaje akipata taarifa hii?
Malipo ni hapa hapa duniani.
Kwahy ni kweli huwa anaiingiilia Mara nyingine???naona umempongeza hapa kwa kuiachia Mahayana ifanye kazi yake kama vile ni sawa yt? Kuiachia??????God Bless Magufuli, maana, angalau ameiachia au ameiachia mhimili wa mahakama kutenda haki, na haki yenyewe kuonekana inatendeka.
Big up sana mhimili wa mahakama kwa kutenda haki.
Unaweza usiwe na imani na Bunge, na maisha yakaendelea, usiwe na imani na serikali, maisha yakaendelea, lakini taifa linapokosa imani na mahakama, hakuna maisha.
P