imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Hao Wapaka Mikorogo tokea lini wameanza kuwa Watetezi?UWT ni mtetezi wa wanawake wanyonge na wasio na sauti.
Au Wamenza kuwaiga BAWACHA.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao Wapaka Mikorogo tokea lini wameanza kuwa Watetezi?UWT ni mtetezi wa wanawake wanyonge na wasio na sauti.
Sifa na pongezi lazima ziwaendee UWT jumuiya ya CCM chini ya mwenyekiti wake mama marry chatanda pamoja na katibu mkuu wake Mheshimiwa jokate mwegelo walio amua kumpigania mama huyu mnyonge baada ya kusikia hukumu iliyokuwa imetolewa kwa mama huyu.Mbona mwanzo hamkusema hilo kwamba Kesi inasimamiwa na UWT? Angalizo: Tusipende sana vya kunyonga. Kama ni credit (Kongole) mwachie anayestahili na huyo baadaye atakuja kukushukuru ww au kukupongeza kama kweli ulihusika na Mafanikio yaliyopatikana.
Mahakama Kuu Kanda ya Iringa leo imemwachia huru Maria Ngoda aliyehukumiwa miaka 22 jela kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala Novemba 3, 2023, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT), Jokate Mwegelo ameeleza.
Bi. Ngoda ameachiwa baada ya kushinda rufaa iliyosimamiwa na UWT.
Pia soma > Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara
----
Ndugu zangu Watanzania,
Umoja wa wanawake wa CCM Tanzania chini ya uongozi wa Mheshimiwa mama marry chatanda kama mwenyekiti pamoja na katibu mkuu wake Mheshimiwa Jokate Mwegelo, imefanikiwa kumrejeshea tabasamu na furaha mama Maria wa Iringa ambaye alikuwa amefungwa kifungo cha muda mrefu kwa madai kuwa alikutwa na nyama ya porini kinyume na sheria.
Leo februari 16 ndio ilikuwa siku ya hukumu baada ya umoja huo wa CCM kumkatia rufaa mama huyo mnyonge na aliyehitaji msaada wa hali na mali ambapo mahakama imetoa hukumu na kumuachia huru mama huyo mnyonge aliyetetewa na chama cha Mapinduzi kinachowajali, kuwatetea na kuwasemea wanyonge.
Hii ndio sababu ya CCM kuendelea kuwa kimbilio la wanyonge na kuendelea kuungwa mkono na kupigiwa kura za ndio kwa kishindo kila uchaguzi. Sasa unafikiri ni vipi mama huyu ambaye amebubujikwa machozi ya furaha baada ya kutolewa gerezani atashindwa kuipigia kura CCM?
Ni vipi ataacha kuiunga mkono CCM? Ni vipi ndugu, jamaa, marafiki na watoto wake wataacha kuipenda CCM iliyo mtetezi wa wanyonge?
Mtakufa kwa wivu wenu huku CCM ikiendelea kuchanja mbuga katika mioyo ya watanzania wanyonge.CCM wanajitekenya Kisha wanacheka wenyewe[emoji2]
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Picha zako umeziona lakini?Mahakama Kuu Kanda ya Iringa leo imemwachia huru Maria Ngoda aliyehukumiwa miaka 22 jela kwa kosa la kukutwa na vipande 12 vya nyama ya swala Novemba 3, 2023, Katibu Mkuu wa Umoja wa Wanawake wa Tanzania (UWT), Jokate Mwegelo ameeleza.
Bi. Ngoda ameachiwa baada ya kushinda rufaa iliyosimamiwa na UWT.
Pia soma > Kumfunga Maria jela miaka 22 kisa nyama ya swala ni matokeo ya kuwa na wanasheria waliokosa hekima na busara
----
Ndugu zangu Watanzania,
Umoja wa wanawake wa CCM Tanzania chini ya uongozi wa Mheshimiwa mama marry chatanda kama mwenyekiti pamoja na katibu mkuu wake Mheshimiwa Jokate Mwegelo, imefanikiwa kumrejeshea tabasamu na furaha mama Maria wa Iringa ambaye alikuwa amefungwa kifungo cha muda mrefu kwa madai kuwa alikutwa na nyama ya porini kinyume na sheria.
Leo februari 16 ndio ilikuwa siku ya hukumu baada ya umoja huo wa CCM kumkatia rufaa mama huyo mnyonge na aliyehitaji msaada wa hali na mali ambapo mahakama imetoa hukumu na kumuachia huru mama huyo mnyonge aliyetetewa na chama cha Mapinduzi kinachowajali, kuwatetea na kuwasemea wanyonge.
Hii ndio sababu ya CCM kuendelea kuwa kimbilio la wanyonge na kuendelea kuungwa mkono na kupigiwa kura za ndio kwa kishindo kila uchaguzi. Sasa unafikiri ni vipi mama huyu ambaye amebubujikwa machozi ya furaha baada ya kutolewa gerezani atashindwa kuipigia kura CCM?
Ni vipi ataacha kuiunga mkono CCM? Ni vipi ndugu, jamaa, marafiki na watoto wake wataacha kuipenda CCM iliyo mtetezi wa wanyonge?
Kama na wewe una matatizo au shida basi lete. CCM ili usaidiweCCM ni mabingwa wa kutengeneza Matatizo halafu wakiyatatua wanashangilia na kupongezana.
Hakuna mahali popote unapoweza kuzipata picha zangu .zinazosambazwa siyo zangu na ndio maana nimejikalia kimya tu nikiwaacha mkiendelea kushangilia maana najuwa tayari nimeshawashinda tayari.Picha zako umeziona lakini?
Ni uongo kabisa labda ututhibitishie vinginevyo. Ina fanana na msemo huu"Rob Peter to pay Paul"Bi. Ngoda ameachiwa baada ya kushinda rufaa iliyosimamiwa na UWT.[emoji1787]
Unamlaumu hakimu ama Sheria, unafahamu sheria inasemaje kuhusu mtu akikutwa na nyama pori, ya kiwango kile?Sijui Bwana Hakimu Said Mkasiwa anajihisi nini huko alipo kutaka kumdhulumu fukara wa watu uhuru wake kwa kitu cha kipumbavu kabisa.
Laana ya milele imuandame kwa dhulma ya haki aliyotaka kuitenda.
Lucas mwashambwa ni mfa maji! Alianza kumsifia Mama, alipoona amempotezea, akahamia kwa Tulia! Baada ya kuona na yeye amempotezea, sasa amehamia kwa Paul Makonda!Wewe mbona hawakutetei ukapata ajira huko wanakuacha unakuwa ombaomba tu humu jukwaani?
Kuna watu ni wanafiki sana. Wamesahau vuguvugu la kumpigania huyo mama lilianzia kwenye mitandao ya kijamii; ikiwemo jamii forums mara tu baada ya kuhukumiwa hicho kifungo.CCM ilikuwa wapi alipohukumiwa mwanzo?
Mimi sina njaaa maana ni mkulima mchapa kazi na ninaye kula kwa jasho langu.Lucas mwashambwa ni mfa maji! Alianza kumsifia Mama, alipoona amempotezea, akahamia kwa Tulia! Baada ya kuona na yeye amempotezea, sasa amehamia kwa Paul Makonda!
Kote huko anahangaika tu. Njaa imemkaba mpaka kooni! U CHAWA wenyewe hauwezi! Maana anamsifia mtu mpaka anagundua kabisa dogo ni mnafiki na ana njaa kupitiliza.