Uchaguzi 2020 Iringa: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Uchaguzi 2020 Iringa: Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2020 kama yanavyotujia

Tundu ndio alitia fora kila alipopita wananchi walikosa hamu ya kumfatilia wengi walijuta hata kwenda kumwona. Maana hajawahi ongea kwa wema chochote kinachofanyika au kilichofanyika tangu Tanzania kuumbwa. Alijua ndio ujanja kumbe hapo ndio alijipoteza
CCM wameiba kura zote ni uchakachuaji kwa kwenda mbele hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu kaichagua CCM
 
Wasio na chama hatuwataki huku, Opposition sio mchekea, sio lelemama kiasi ata warembo Kama wewe m-join
Sawa mkuu, kama unategemea mtashinda kwa kutegemea kura za wanachama wenu tu, basi mtasubiri sana mpaka mtazeeka.
 
Chadema wangekuwa angalau na kaustarabu la hivi kwenye issues za muhimu, wangeweza kutushawishi sisi tusio na vyama kuwaunga mkono nyakati fulani fulani. Lakini kupinga na matusi muda wote, mhhhh ......!!
Huna chama ila unataja chama hujioni una shida
 
Chadema wangekuwa angalau na kaustarabu la hivi kwenye issues za muhimu, wangeweza kutushawishi sisi tusio na vyama kuwaunga mkono nyakati fulani fulani. Lakini kupinga na matusi muda wote, mhhhh ......!!
Dah dunia inaenda kasi sana mtu anareply comment hewaaa... sasa hii ni juju sio😂😂😂
 
Back
Top Bottom