Iringa: Mwanafunzi wa Mwaka wa pili amnyonga mpenziwe wa mwaka wa pili na kutuma ujumbe kwa Wazazi wa Marehemu

Badala ya kuendekeza masomo na ajira zenyewe za tabu wanakumbatia MAPENZI....

Imekula kwake huko JELA....

RIP msichana mrembo!
 
Vyombo vya habari vya kenya ndio vinaweza hii sio bongo...ukiangalia ktn news,kbc,citizen tv utakutana na kiswahili cha kwenye vitabu kabisa.
 
Akili hawana....malengo hawana...wamejaa umaskini wa fikra na kipato....
 
ahahahaha nimecheka alafu mwanamke mwenyewe alomsababishia majanga ndio huyo ? aisee watu wa mikoani hawapo serious yan huyo ndio akupe kesi ya murderer aisee acha kabisa
Mkuu kwani umeona gari zima? Kama trailler ni Double diff je?
 
Kumbuka aliye nyongwa ni mwanaume
polisi wanamshikilia "Prudence Patrick" ndio jin ala mtuhumiwa, kwa hiyo aliyenyongwa sio mwanaume, amenyongwa mwanamke. angalia picha vizuri.
 
Suala siyo muktadha bali mtumiaji alichagua maana gani kwenye neno moja lenye maana zaidi ya moja. Hapo upo, Mr Kukariri!???
Ndugu vipi, mbona kama unatetea sana matendo machafu yaitwe kwa maneno mazuri mazuri?
Au na wewe ni mmoja wa wazinzi na waasherati?
Tuige mfano wa nchi za wenzetu hasa Saud Arabia, Mwanaume na Mwanamke mkikamatwa mnafanya ngono pasipo kuoana mnatangazwa kama "wazinzi" wamekamatwa na siyo "wapenzi" wamekamatwa.
Kiuhalisia na kimaadili, hili neno "mapenzi", wapenzi, linatumika isivyostahili na hii imepelekea mmomonyoko mkubwa wa maadili miongoni mwa jamii yetu.
Maneno kama, "wazinzi", "waasherati", "wafiranaji" yangekuwa yanatumika kwa uwazi katika habari ingesaidia sana kupunguza haya matendo yasiyofaa miongoni mwa jamii yetu.
Na ndiyo maana unaona wanafunzi wanafanya ngono hovyo hovyo na kuitana "wapenzi" sababu hili ni neno zuri tena linahamasisha ngono. Lakini kama jamii ingeacha kutumia hili neno isivyopasa na wafanya ngono nje ya ndoa wakaitwa "wazinzi" au "waasherati" baadhi ya vijana wangeogopa kushiriki hilo tendo kabla ya ndoa kwa kuhofia kuitwa majina mabaya.
 


Out of point na maneno yako ^key-bar-o^
 
Hili neno wapenzi siku hizi linatumika kupunguza uzito wa dhambi, mwenyez Mungu atusamehe lkn hao ni wazinzi na sio wapenzi.
Hapo utasikia wapenz wamekutwa wakifanya tendo la ndoa akata hata hyo ndoa hawana
 
Hili neno wapenzi siku hizi linatumika kupunguza uzito wa dhambi, mwenyez Mungu atusamehe lkn hao ni wazinzi na sio wapenzi.
Hapo utasikia wapenz wamekutwa wakifanya tendo la ndoa akata hata hyo ndoa hawana
Uchafu wa uzinzi mshahara wake huwa HIVYO.....
 
Hili neno wapenzi siku hizi linatumika kupunguza uzito wa dhambi, mwenyez Mungu atusamehe lkn hao ni wazinzi na sio wapenzi.
Hapo utasikia wapenz wamekutwa wakifanya tendo la ndoa akata hata hyo ndoa hawana
Nakubaliana na wewe 100%
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…