Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbuka aliye nyongwa ni mwanaumeSi ukute alipiga shoo hadi binti akazima mazima. postmortem examination report inasemaje ndio hoja ya msingi, alinyongwa kweli, alibakwa na mtu mmoja au zaidi, anal hole ikoje, kila kitu kichunguzwe, ana michubuko, uvimbe, mvunjiko etc.
We nawe unatuchanganya kanyongwa binti kwani picha hujaona? au umerukia treni kwa nyuma.Kumbuka aliye nyongwa ni mwanaume
Daaah!Kumbuka aliye nyongwa ni mwanaume
Wanadandia mapenzi hawa.Mitoto ya mikoani inasoma kuanzia la kwanza hadi form six bila kuonja papuchi. Papuchi wanazikutia chuo, ndio madhara yake haya.
Sisi hukuTemeke Mikoroshini mapenzi tumeanzia darasa la pili. Papuchi zote tunazifahamu!
Umewahi kuua ?Ukiua unatakiwa kuwa na akili mingi, sio unatuma tuma vimeseji vya kishamba. Watakunasa.
Utafikiri uvccmWatu wa mikoani wapo serious na nyege
[emoji16][emoji16][emoji23]Ukiua unatakiwa kuwa na akili mingi, sio unatuma tuma vimeseji vya kishamba. Watakunasa.
Hawa wapigwe fimbo tuuu ....hivi watoto tukiwanyima simu za mkononi inaweza ikasaidia ?
Yaan haya magazeti yetu,niliona hii habari mahala fulani,nikaona petronel kauliwa na prudence nikashindwa kuelewa nani mwanamke na nani mwanaume,na hata hapa imeletwa wanachanganya mara yupo mwaka wa kwanza,mara wa pili....unahabarika huku unavurugwa.Wote wanaume au wote wanawake dadavuwa.
Ww ukizaa mschana hutampelekaWazazi hasa WA kike wangekuwa wanajua wamepeleka watoto kuolewa na si kusoma wangetumia hizo pesa Kwa kazi nyingine, ni aibu robo tatu wameolewa na kuishi kinyumba na wanafunzi wenzao wachache Sana watu Baki.