Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,355
- 14,408
Siku hizi Kuna watu wana mashine za kufua na kuyakausha hayo mablanketiTatizo ni hali ya hewa ndiyo inafanya pawe na chawa. Mablanketi mazito yakifuliwa hayakauki ndo maana watu hawafui
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku hizi Kuna watu wana mashine za kufua na kuyakausha hayo mablanketiTatizo ni hali ya hewa ndiyo inafanya pawe na chawa. Mablanketi mazito yakifuliwa hayakauki ndo maana watu hawafui
Sasa kwanini kuna chawa? Mashine unadhani zipo ngap Mkuu?Siku hizi Kuna watu wana mashine za kufua na kuyakausha hayo mablanketi
Nimepata na wengine wawili. Ila mademu wa Iringa wako nafasi ya kwanza kati ya mademu loyal ninaowajua tena research hii nimefanya muda sana. Akidate na mtu anatulia wala hababaiki na wahuni kazi, na wanapenda dini wengi wao.Ndio mdemu wa Iringa ,hauitaji kuambiwa ww angalia vidole vya miguu tu .[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwa kipato ganiSiku hizi Kuna watu wana mashine za kufua na kuyakausha hayo mablanketi
HongeraNimepata na wengine wawili. Ila mademu wa Iringa wako nafasi ya kwanza kati ya mademu loyal ninaowajua tena research hii nimefanya muda sana. Akidate na mtu anatulia wala hababaiki na wahuni kazi, na wanapenda dini wengi wao.
Huwa naresearch kila group kwa ajili ya matumizi yangu
Uongo...ifunda Tanangozi, Tosamaganga hali ni moja Bro...Labda ukivuka makambako ukanda unabadilika ..Mimi ifunda nimesoma pale nilikomaMzee hapo kwa ifunda nakubishia hamna chawa Wala kukunguni kidogo watu wa hapo wamedevelop kidogo
Hakuna uhusiano wowote wa sosoli na sosolisoKuna member mmoja humu id yake sosoliso; kuna uhusiano wowote?
Vipi waburushi wa iringa Mkuu ?Nimepata na wengine wawili. Ila mademu wa Iringa wako nafasi ya kwanza kati ya mademu loyal ninaowajua tena research hii nimefanya muda sana. Akidate na mtu anatulia wala hababaiki na wahuni kazi, na wanapenda dini wengi wao.
Huwa naresearch kila group kwa ajili ya matumizi yangu
Uongo...ifunda Tanangozi, Tosamaganga hali ni moja Bro...Labda ukivuka makambako ukanda unabadilika ..Mimi ifunda nimesoma pale nilikoma
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
Mademu ndio vitu gani hivyo?Kuna mtu alinambia ukitaka kumtambua demu wa Iringa angalia vidole vya miguu yake..!Duuh kumbe waTz hatufanani.
Hili la vidole vya miguu kuwa unique kwa mademu wa iringa limekaaje wadau?
[emoji3][emoji3][emoji3]ndio anaingia ndani ya mguu hadi matakoni anataga na mayai.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kuna ile style anatembea Masanja ndio motion ya watu wenye vunza anadai.Kwetu tunaita matekhenya. Wakikuandama unakuwa kama mlemavu.
Pole mkuu,walikurudishia hela yako?Dar kuna jamaa wanaitwa kunguni,aisee chawa cha mtoto kabisa...nilifikia guest moja hivi magomeni dah nilijuta kwanza sikulala..
Hao sijui mkuu. Kwanza waburushi ni adimu sana kupatikana kuwafanyia research, hata ukimpata ni mmoja huwezi generalize.Vipi waburushi wa iringa Mkuu ?
Wanafanya biasharaKwa kipato gani
Zipo nyingiSasa kwanini kuna chawa? Mashine unadhani zipo ngap Mkuu?
Na ulanzi uchanganya ndo balaa!Duh Chawa, funza na panya.