binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mhhh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kenya inaongoza EA kwa watu walioathirika na wanaokufa kutokana na funza hao. Kuna mashirika kabisa yanasaidia kupambana na hao funza na chawa jaribu kuingia youtube search "jigger in kenya" utajioneaHawa wadudu ni ishara njema kwetu hatujui tu. Ukiona mdudu ujue upo kwenye mazingira halisi (nachuro) kwa binadamu. Hawa wadudu wanakufa kirahisi sana sehemu yenye makemikali.
Kiroboto kinapenya miguuni baadae kinanenepa kwa kunyonya damu. Linakuwa jeupe kama punje ya kunde. Ndani linakuwa na mayai kibao. Kama halijatolewa, hayo mayai yakitotolewa yanasambaa sehemu zingine za miguuni.Funza wanaingia ndani ya mguu inamaana?
Ukijipulizia na MarashiUkweli mtupu! Nimetembelea maeneo ya Malangali, Ifunda, Nyololo, Makambaku, Ulayasi na Madaba chawa ndio kwao na mimi nimeondoka nao.
Nimerudi Same nimefua nguo kwa maji ya moto nikanyoa na mkulungu (kipara) angalau sasa nina ahueni.
Jamani! Jamani!,acheni kutudhalilisha,huo ulikuwa ni uchafu wako.Ukweli mtupu! Nimetembelea maeneo ya Malangali, Ifunda, Nyololo, Makambaku, Ulayasi na Madaba chawa ndio kwao na mimi nimeondoka nao.
Nimerudi Same nimefua nguo kwa maji ya moto nikanyoa na mkulungu (kipara) angalau sasa nina ahueni.
Acheni uongoHali ya funza maeneo hayo na hasa Mufindi ni mbaya sana. Ukiona vidole vya mhanga wa funza hulali Iringa
Haiwezekani iringa nzima wawe wachafu....wewe chawa huna?Jamani! Jamani!,acheni kutudhalilisha,huo ulikuwa ni uchafu wako.
Wewe jamaa itakuwa tu Wewe mwenyewe sio msafi.chawa na funza wapo kila sehemu,ishu hapo ni usafi.Kwa ambao hamjui chawa nawasihi mtembelee vijiji vya Iringa mjionee!
Kutokana na jiografia ya ubaridi, wadudu hawa wamekita kambi mkoa huu! Inahitajika tahadhari kubwa sana kukwepa chawa uwapo mkoa huu.
Hoteli na lodge nyingi wanatumia mablanket mazito ambayo siyo rahisi kufuliwa Mara kwa Mara kutokana na hali ya hewa, hali hiyo imechangia sana kuzagaa kwa chawa!
Ukifika mkoa huu usipokuwa makini unaweza ukasalimia mtoto mdogo shikamoo ukizani ni mzee mwenye nywele za Mvi kumbe ni mayai ya chawa yametanda kichwani!
Wabibi wa huku miongoni mwa starehe ni pamoja na ile ya kuua chawa kwa vidole ama ile ya kung'ata kwa meno.
Ukiwa kijijini kama unaendesha chombo unatakiwa kwenda pole pole la sivyo unaweza kugonga mtu aliyesimama barabarani akiua chawa kiunoni!
Ajabu kuliko yote! Ni vile chawa wakiwa kiunoni wanakuwa weupe, na wakihamia kichwani wanabadilika rangi wanakuwa weusi!
Usiombe umkute mtu ana chawa halafu miguu nayo iwe imetafunwa na funza mithili ya vidole kuwa kama Tangawizi! Unaweza kuondoka Iringa bila kuaga!
Chawa wa Iringa Kiboko!
Kwahiyo wachafu wako Iringa tu?Wewe jamaa itakuwa tu Wewe mwenyewe sio msafi.chawa na funza wapo kila sehemu,ishu hapo ni usafi.
Namaanisha hivi ikiwa sisi wa huko hatuna funza wala chawa, Wewe uliwapataje km sio uchafu wako?Kwahiyo wachafu wako Iringa tu?
Naona mna ugomvi na sisi,mnachokitafuta mtakipata tu.Haiwezekani iringa nzima wawe wachafu....wewe chawa huna?
Tatizo ni hali ya hewa ndiyo inafanya pawe na chawa. Mablanketi mazito yakifuliwa hayakauki ndo maana watu hawafuiNaona mna ugomvi na sisi,mnachokitafuta mtakipata tu.