Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda tatizo ni kutembea pekuNdo unakuta miguu inapinda kwenda upande
Upo kijiji gani tuje tuprmbue nyumbani kwako kama kweli haunaWongo mm naishi njombe na mke wangu na familia yangu mambo hayo hayapo..
Nipo njombe mjini uku mitaa ya luhuji....Upo kijiji gani tuje tuprmbue nyumbani kwako kama kweli hauna
Hahaha mkuu Mimi nakaa image karibu na uzunguni chawa ntawaona wapi zaidi ya ma v8?Mkuu
Upo Mkoa Gani, Hujui Funza Wewe?...
Pole jirani usije tu ukatuletea huku Stelingi 🤣 (Joke)Ukweli mtupu! Nimetembelea maeneo ya Malangali, Ifunda, Nyololo, Makambaku, Ulayasi na Madaba chawa ndio kwao na mimi nimeondoka nao.
Nimerudi Same nimefua nguo kwa maji ya moto nikanyoa na mkulungu (kipara) angalau sasa nina ahueni.
NomaPole jirani usije tu ukatuletea huku Stelingi 🤣 (Joke)
Tofauti mkuu kunguni wapo dar wananuka kazi yao ipo usiku ila chawa muda woteChawa na kunguni ni kitu kimoja au, Mana nilipokuwa DSM, kunguni walinishambulia kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Ok, sio kwa hii labda ile ingine unayoikanaWill tell you.. dm me
Aisee bado tu upo hukoOk, sio kwa hii labda ile ingine unayoikana
Ukiwa iringa?Hao wadudu Funza wamenila sana vidole vyangu hao,sina hamu nao kabisa.
Asante kwa taarifaKwa ambao hamjui chawa nawasihi mtembelee vijiji vya Iringa mjionee!
Kutokana na jiografia ya ubaridi, wadudu hawa wamekita kambi mkoa huu! Inahitajika tahadhari kubwa sana kukwepa chawa uwapo mkoa huu.
Hoteli na lodge nyingi wanatumia mablanket mazito ambayo siyo rahisi kufuliwa Mara kwa Mara kutokana na hali ya hewa, hali hiyo imechangia sana kuzagaa kwa chawa!
Ukifika mkoa huu usipokuwa makini unaweza ukasalimia mtoto mdogo shikamoo ukizani ni mzee mwenye nywele za Mvi kumbe ni mayai ya chawa yametanda kichwani!
Wabibi wa huku miongoni mwa starehe ni pamoja na ile ya kuua chawa kwa vidole ama ile ya kung'ata kwa meno.
Ukiwa kijijini kama unaendesha chombo unatakiwa kwenda pole pole la sivyo unaweza kugonga mtu aliyesimama barabarani akiua chawa kiunoni!
Ajabu kuliko yote! Ni vile chawa wakiwa kiunoni wanakuwa weupe, na wakihamia kichwani wanabadilika rangi wanakuwa weusi!
Usiombe umkute mtu ana chawa halafu miguu nayo iwe imetafunwa na funza mithili ya vidole kuwa kama Tangawizi! Unaweza kuondoka Iringa bila kuaga!
Chawa wa Iringa Kiboko!
Kuna uhusiano kati ya baridi na vumbi?Sehemu za baridi Funza hawakosekani
Sababu Kuna vumbi vumbi sana
Unachotakiwa fanya Ni kutembea umevaa viatu na soksi kila wakati kandambili vaa ukienda chooni tu
Otherwise uwe ndani ya viatu na soksi full unless uwe umelala[emoji1]
Please utani aside dm me pleasesiwezi maana unaijua sababu ni yako