- Thread starter
- #41
Halafu wakiwa na njaa wanagandana na ngoziKipindi nasoma pale Mtwango secondary Acha tuu. Kulikuepo na chawa hatari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Halafu wakiwa na njaa wanagandana na ngoziKipindi nasoma pale Mtwango secondary Acha tuu. Kulikuepo na chawa hatari
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1316]ndio anaingia ndani ya mguu hadi matakoni anataga na mayai.
Kwani hizo hotels si wanunue washing machines ambazo pia zinakausha nguo, mbona wanafanya kazi locally, that means wageni wakifika hotel za Iringa na njombe wanapewa mablanket ambayo yametumiwa na wateja wengine na hayajafuliwa, kama ninhivo basi maambukizi ya magonjwa hayataisha, nikienda mitaa hiyo inabidi nibebe tent langu silaki hotelini kabisaaKwa ambao hamjui chawa nawasihi mtembelee vijiji vya Iringa mjionee!
Kutokana na jiografia ya ubaridi, wadudu hawa wamekita kambi mkoa huu!..
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Ukweli mtupu! Nimetembelea maeneo ya Malangali, Ifunda, Nyololo, Makambaku, Ulayasi na Madaba chawa ndio kwao na mimi nimeondoka nao.
Nimerudi Same nimefua nguo kwa maji ya moto nikanyoa na mkulungu (kipara) angalau sasa ninaaahueni.
Wakinga pesa wanayo...ila chawa bado ni tatizo mzee. Wanaishi ki local mno. Tatizo la watu wa kilimanjaro ni shepu zao tu... na ile kuweke S penye ZNaskia wakinga wanapaa kiuchumi kuliko kilimanjaro,kumbe wanapaa na chawa
Ni kama miguu ya mademu wa kichaga miembamba kama spidoKuna mtu alinambia ukitaka kumtambua demu wa Iringa angalia vidole vya miguu yake..!Duuh kumbe waTz hatufanani .
Hili la vidole vya miguu kuwa unique kwa mademu wa iringa limekaaje wadau?
Jamani kutoka kwenye chawa mpaka kwenye maumbo ya watu, ninyi wanajf🤷🏼♀️🤷🏼♀️Wakinga pesa wanayo...ila chawa bado ni tatizo mzee. Wanaishi ki local mno. Tatizo la watu wa kilimanjaro ni shepu zao tu... na ile kuweke S penye Z
Madaba ya wapi unayoisema weweUkweli mtupu! Nimetembelea maeneo ya Malangali, Ifunda, Nyololo, Makambaku, Ulayasi na Madaba chawa ndio kwao na mimi nimeondoka nao.
Nimerudi Same nimefua nguo kwa maji ya moto nikanyoa na mkulungu (kipara) angalau sasa ninaaahueni.
Mkongotema, Madaba penyewe hadi Lilondo na vijiji vya jirani...nimelala sana kwenye lodge za hapo chawa ni shida.Madaba ya wapi unayoisema wewe
Inamaanisha hii??Jamani kutoka kwenye chawa mpaka kwenye maumbo ya watu, ninyi wanajf🤷🏼♀️🤷🏼♀️
Ashakum-si-matusi niwie radhi...Jamani kutoka kwenye chawa mpaka kwenye maumbo ya watu, ninyi wanajf[emoji2372][emoji2372]
unaleta ushua kwenye mazingira ya kiswazi, labda nikuambie ukifika tafuta hotel za gharama wala hutakutana na kadhia hiyo.Kwani hizo hotels si wanunue washing machines ambazo pia zinakausha nguo, mbona wanafanya kazi locally, that means wageni wakifika hotel za Iringa na njombe wanapewa mablanket ambayo yametumiwa na wateja wengine na hayajafuliwa, kama ninhivo basi maambukizi ya magonjwa hayataisha, nikienda mitaa hiyo inabidi nibebe tent langu silaki hotelini kabisaa
Swala la chawa ni la uchafu na sio baridi, wafanye furmigation na waangamize any source inayozalisha au kuhifadhi hao wadudu
You have made it all up!Kwa ambao hamjui chawa nawasihi mtembelee vijiji vya Iringa mjionee!
Kutokana na jiografia ya ubaridi, wadudu hawa wamekita kambi mkoa huu! Inahitajika tahadhari kubwa sana kukwepa chawa uwapo mkoa huu!...
MkuuFunza wanaingia ndani ya mguu inamaana?
Mkuu niliposoma tu uzi nikamkumbuka demu rafiki yangu nasoma nae. Ana vidole vimeachana, vina usugu, kucha zimekomaa. Ila ana mwili mzuri, miguu mizuri sana na ngozi nyororo. Nilikuwa nashangaa utofauti wa ngozi yake na ya vidole.Kuna mtu alinambia ukitaka kumtambua demu wa Iringa angalia vidole vya miguu yake..!Duuh kumbe waTz hatufanani .
Hili la vidole vya miguu kuwa unique kwa mademu wa iringa limekaaje wadau?
Malangali umesingizia,mbona pale Shuleni kwetu hayo hayakuwepo kabisa,labda ulilala kijijini hukoUkweli mtupu! Nimetembelea maeneo ya Malangali, Ifunda, Nyololo, Makambaku, Ulayasi na Madaba chawa ndio kwao na mimi nimeondoka nao..