Eng. Zezudu
JF-Expert Member
- Aug 23, 2012
- 8,024
- 11,546
Chawa na kunguni ni kitu kimoja au, Mana nilipokuwa DSM, kunguni walinishambulia kinoma
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwetu tunaita matekhenya. Wakikuandama unakuwa kama mlemavu.Funza wahehe wanaita fitekenya
Du. Kweli nchi yetu kubwa. Na hawa wote wanahesabiwa wako kweye uchumi wa kidole cha kati! Haya maisha ya chawa na funza mikoa kama Kilimanjaro yalikuwepo sana miaka ya zamani. Ila sasa yamepungua sana.Noma! Sasa usipokuwa makini na panya wa huku wanakula visigino usiku
Ndiyo lugha gani hiyo?Kwetu tunaita matekhenya. Wakikuandama unakuwa kama mlemavu.
Mkuu vipi zafanana ipo?Ukweli mtupu! Nimetembelea maeneo ya Malangali, Ifunda, Nyololo, Makambaku, Ulayasi na Madaba chawa ndio kwao na mimi nimeondoka nao..
Tupo Uchumi Wa KatiVipi funza huko
Zafanana Imejifia Long TimeMkuu VIP zafanana ipo?
😂😁🤣😃😄😅😁😀🤣😂😁😀😃🤣😂😅😄😃😆Funza wahehe wanaita fitekenya
Mwendamseke ndo inayotambaMkuu VIP zafanana ipo?
[emoji23][emoji23][emoji23]Ukweli mtupu! Nimetembelea maeneo ya Malangali, Ifunda, Nyololo, Makambaku, Ulayasi na Madaba chawa ndio kwao na mimi nimeondoka nao.
Nimerudi Same nimefua nguo kwa maji ya moto nikanyoa na mkulungu (kipara) angalau sasa ninaaahueni.
Wanasambaratisha vidole vinakuwa na pacha kama tangawiziFunza wanaingia ndani ya mguu inamaana?
ndio anaingia ndani ya mguu hadi matakoni anataga na mayai.Funza wanaingia ndani ya mguu inamaana?
Eeeh kimbembe aseehndio anaingia ndani ya mguu hadi matakoni anataga na mayai.
Dah sasa MTU anatembea vipi?Wanasambaratisha vidole vinakuwa na pacha kama tangawizi
Kipindi nasoma pale Mtwango secondary Acha tuu. Kulikuepo na chawa hatariKwa ambao hamjui chawa nawasihi mtembelee vijiji vya Iringa mjionee!
Kutokana na jiografia ya ubaridi, wadudu hawa wamekita kambi mkoa huu!.
Kipangwa hiki mzee.ndo lugha gani hiyo?