Iringa na Njombe ilivyoshambuliwa na chawa

Iringa na Njombe ilivyoshambuliwa na chawa

Sehemu za baridi Funza hawakosekani

Sababu Kuna vumbi vumbi sana

Unachotakiwa fanya Ni kutembea umevaa viatu na soksi kila wakati kandambili vaa ukienda chooni tu

Otherwise uwe ndani ya viatu na soksi full unless uwe umelala[emoji1]
Sasa huko chooni Si ndo kijiweni kwao
 
Nzko Arusha miaka ya 90 vijihhin. Chawa walitutesa Sanaa Ila ukiwa msafi chawa hukah mbali na wew
 
Kuna uhusiano kati ya baridi na vumbi?
Kwa jiografia yetu TZ upo

Mara nyingi sehemu zenye baridi Kali Hasa wakati wa kipupwe ardhi huwa kavu

Pia upepo huvuma sana

Na Mara nyingi sehemu hizi huwa mbali na maeno ya pwani kwenye udongo wa kichanga

Sehemu Zina udongo mfinyanzi kwa kiasi kikubwa

So vumbi huwepo wakati wa baridi pia
 
KILA KITU KINA MAKAO MAkUU YAKE NAISI HAPO NDO MAKAO MAKUU YAO
nilipata demu wa uko vidole vimepinda kama upinde nikakimbia
 
KILA KITU KINA MAKAO MAkUU YAKE NAISI HAPO NDO MAKAO MAKUU YAO
nilipata demu wa uko vidole vimepinda kama upinde nikakimbia
Ungemnunulia viatu, vidole vya miguu vinahusikaje na mapenzi! Au ulitaka mke awe mwanariadha?
 
Dar kuna jamaa wanaitwa kunguni,aisee chawa cha mtoto kabisa...nilifikia guest moja hivi magomeni dah nilijuta kwanza sikulala..
 
Suala la chawa ni uchafu uliokidhiri sio baridi..nakumbuka miaka ya 94's kilimanjaro zilikua zinasumbua sana....baada ya maendeleo na kustaarabika wamepotea kabisa
Hawa wadudu ni ishara njema kwetu hatujui tu. Ukiona mdudu ujue upo kwenye mazingira halisi (nachuro) kwa binadamu. Hawa wadudu wanakufa kirahisi sana sehemu yenye makemikali.
 
Kwa ambao hamjui chawa nawasihi mtembelee vijiji vya Iringa mjionee!

Kutokana na jiografia ya ubaridi, wadudu hawa wamekita kambi mkoa huu! Inahitajika tahadhari kubwa sana kukwepa chawa uwapo mkoa huu.

Hoteli na lodge nyingi wanatumia mablanket mazito ambayo siyo rahisi kufuliwa Mara kwa Mara kutokana na hali ya hewa, hali hiyo imechangia sana kuzagaa kwa chawa!

Ukifika mkoa huu usipokuwa makini unaweza ukasalimia mtoto mdogo shikamoo ukizani ni mzee mwenye nywele za Mvi kumbe ni mayai ya chawa yametanda kichwani!

Wabibi wa huku miongoni mwa starehe ni pamoja na ile ya kuua chawa kwa vidole ama ile ya kung'ata kwa meno.

Ukiwa kijijini kama unaendesha chombo unatakiwa kwenda pole pole la sivyo unaweza kugonga mtu aliyesimama barabarani akiua chawa kiunoni!

Ajabu kuliko yote! Ni vile chawa wakiwa kiunoni wanakuwa weupe, na wakihamia kichwani wanabadilika rangi wanakuwa weusi!

Usiombe umkute mtu ana chawa halafu miguu nayo iwe imetafunwa na funza mithili ya vidole kuwa kama Tangawizi! Unaweza kuondoka Iringa bila kuaga!

Chawa wa Iringa Kiboko!
Hahahaha, mama D na Sky Eclat njooni huku enyi wahehe
 
Kwa ambao hamjui chawa nawasihi mtembelee vijiji vya Iringa mjionee!

Kutokana na jiografia ya ubaridi, wadudu hawa wamekita kambi mkoa huu! Inahitajika tahadhari kubwa sana kukwepa chawa uwapo mkoa huu.

Hoteli na lodge nyingi wanatumia mablanket mazito ambayo siyo rahisi kufuliwa Mara kwa Mara kutokana na hali ya hewa, hali hiyo imechangia sana kuzagaa kwa chawa!

Ukifika mkoa huu usipokuwa makini unaweza ukasalimia mtoto mdogo shikamoo ukizani ni mzee mwenye nywele za Mvi kumbe ni mayai ya chawa yametanda kichwani!

Wabibi wa huku miongoni mwa starehe ni pamoja na ile ya kuua chawa kwa vidole ama ile ya kung'ata kwa meno.

Ukiwa kijijini kama unaendesha chombo unatakiwa kwenda pole pole la sivyo unaweza kugonga mtu aliyesimama barabarani akiua chawa kiunoni!

Ajabu kuliko yote! Ni vile chawa wakiwa kiunoni wanakuwa weupe, na wakihamia kichwani wanabadilika rangi wanakuwa weusi!

Usiombe umkute mtu ana chawa halafu miguu nayo iwe imetafunwa na funza mithili ya vidole kuwa kama Tangawizi! Unaweza kuondoka Iringa bila kuaga!

Chawa wa Iringa Kiboko!
[emoji2][emoji3][emoji3]hiyo ya mtu kujisahau yupo barabarani akiua chawa ni noma sana.
 
hiyo ni fursa watu wa iringa na njombe sasa anzeni kuuza mayai ya chawa na chawa wenyewe kwa wachina
 
Back
Top Bottom