Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 19,644
- 40,546
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ushahidi fake tatizo 😅Mkuu nakufanganya vp sasa mbona unataka mambo yawe mengi daaah
How uwe fake mkuuushahidi fake tatizo 😅
PruvuuUmenidanganya
Hahaha! Editing tu hiyo kijanaHow uwe fake mkuu
Umeijua eeeeh 😄😄😄😄😄Hahaha! Editing tu hiyo kijana
Weka link ,dau inaongezeka kama uko mkoa wenye supermarket yeyote kubwa Gift card inaongezeka dau hadi 70,000 TshPruvuu
Hahaha kugundua rahisi kabisaa,hizo fronts and style tofauti na hizo names ziliko like na nyingine.Umeijua eeeeh 😄😄😄😄😄
Weee ilikua hivi an
Zulu man inaelekea zamani ulikua kijanawa hovyo 😀😀😀😀Weka link ,dau inaongezeka kama uko mkoa wenye supermarket yeyote kubwa Gift card inaongezeka dau hadi 70,000 Tsh
Aaaaah wapi...Hahaha kugundua rahisi kabisaa,hizo fronts and style tofauti na hizo names ziliko like na nyingine.
Kazi ndogo sana hiyo🤣Aaaaah wapi...
Sema nini ujue hiyo ni kazi ambazo nikipata management naweza fanya kitu hapo mkuu..
Au wee ujawaza kitu hapo 😀😀😀
Alikudanganya, aliona huna hela.Wakuu nimechoka kuishi gheto , mchumba niliyekuwa nae alisema bado hajawa tayali kuolewa.
Umri - miaka 36..
Kazi-Seremala
Mwanamke awe na miaka 28 kushuka chini, na asiwe mpare na awe anaishi Ndani ya mkoa wa Iringa.
Mwenye sifa aje PM.
Sana hadi najiogopaZulu man inaelekea zamani ulikua kijanawa hovyo 😀😀😀😀
Alikudanganya, aliona huna hela.