fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
na mm pia nna vigezo hvohvo ila mm ni fundi nguoNa mimi mkuu natafuta mke huko huko
Vigezo hivo hivo kama wewe...
Mi ni fundi wa computer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
na mm pia nna vigezo hvohvo ila mm ni fundi nguoNa mimi mkuu natafuta mke huko huko
Vigezo hivo hivo kama wewe...
Mi ni fundi wa computer
😀😀😀😀😀🙌🙌🙌🙌🙌 Aaaah wapiKazi ndogo sana hiyo🤣
Unaonekana tuuSana hadi najiogopa
Sema katika mafundi wajeuri humu jf wewe wa kwanzana mm pia nna vigezo hvohvo ila mm ni fundi nguo
Oya mm nataka kitanda cha mbao shiringi ngapWakuu nimechoka kuishi gheto , mchumba niliyekuwa nae alisema bado hajawa tayali kuolewa.
Umri - miaka 36..
Kazi-Seremala
Mwanamke awe na miaka 28 kushuka chini, na asiwe mpare na awe anaishi Ndani ya mkoa wa Iringa.
Mwenye sifa aje PM.
mkuu mm nna adabu sana sio jeuri kabsa 😀😀Sema katika mafundi wajeuri humu jf wewe wa kwanza
We ndio juzi ulinitext fundi iddi?Na mimi mkuu natafuta mke huko huko
Vigezo hivo hivo kama wewe...
Mi ni fundi wa computer
Mi nakujua ww toka enzi hizo mkuu..mkuu mm nna adabu sana sio jeuri kabsa 😀😀
😀😀😀😀😀 Alafu we jamaa kuna mda unakuaga hovyo sana...We ndio juzi ulinitext fundi iddi?
Naitwa Iddi Baruani ni fundi wa computer, printer na photocopies machine. Pia tuna funga CCTV camera na kufanya service maofisi.😀😀😀😀😀 Alafu we jamaa kuna mda unakuaga hovyo sana...
Oya mm nataka kitanda cha mbao shiringi ngap
😃😃😃😃😃😃😃Alafu mkuu huyo sio mimi bana...Naitwa Iddi Baruani ni fundi wa computer, printer na photocopies machine. Pia tuna funga CCTV camera na kufanya service maofisi.
Ofisi yangu ipo kigogo mkwajuni .
Kama unaweza kuwa na muda hata dakika 2 nikupigie tuongee?
Watu wazima hawapigani mkuu.😃😃😃😃😃😃😃Alafu mkuu huyo sio mimi bana...
Alafu kingine ukisikia mtu anapigwa hapa jukwaani jua ni ukorofi kama huu...
Alafu mi siitwi iddi
Alafu mi sifungi CCTV mkuu
Ofisi yangu ipo gongolamboto mimi
Nipigie tuongee mkuu 😃😃😃
😂😂😂😂😂🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏Watu wazima hawapigani mkuu.
Nakupgia nakupigia
hahahaha! Huamini?😀😀😀😀😀🙌🙌🙌🙌🙌 Aaaah wapi
Usipendelee sana kutafuta mwanamke kipindi hiki cha mwisho wa mwaka au mwezi wa 2 (Valentine's Day) maana vipindi hivi wanawake wanakuwa desperate sana kutafuta wanaume wa kuwachezea akili. Demu hata kama shangingi au aliyeshindikana tabia kwa kipindi hiki anakuwa mpole kutaka mwanamme ili jamii imuheshimu, usipokuwa makini utajikuta unaoa zimwi la mwanamke.Wakuu nimechoka kuishi gheto , mchumba niliyekuwa nae alisema bado hajawa tayali kuolewa.
Umri - miaka 36..
Kazi-Seremala
Mwanamke awe na miaka 28 kushuka chini, na asiwe mpare na awe anaishi Ndani ya mkoa wa Iringa.
Mwenye sifa aje PM.
🤣😀 nmebadilika sku hzi mkuuMi nakujua ww toka enzi hizo mkuu..
Ujaanza leo mambo ya hovyo fundi