Iringa: Natafuta mke, mwakani nataka nioe

Iringa: Natafuta mke, mwakani nataka nioe

Wakuu nimechoka kuishi gheto , mchumba niliyekuwa nae alisema bado hajawa tayali kuolewa.

Umri - miaka 36..

Kazi-Seremala

Mwanamke awe na miaka 28 kushuka chini, na asiwe mpare na awe anaishi Ndani ya mkoa wa Iringa.

Mwenye sifa aje PM.
Oya mm nataka kitanda cha mbao shiringi ngap
 
😀😀😀😀😀 Alafu we jamaa kuna mda unakuaga hovyo sana...
Naitwa Iddi Baruani ni fundi wa computer, printer na photocopies machine. Pia tuna funga CCTV camera na kufanya service maofisi.

Ofisi yangu ipo kigogo mkwajuni .
Kama unaweza kuwa na muda hata dakika 2 nikupigie tuongee?
 
Naitwa Iddi Baruani ni fundi wa computer, printer na photocopies machine. Pia tuna funga CCTV camera na kufanya service maofisi.

Ofisi yangu ipo kigogo mkwajuni .
Kama unaweza kuwa na muda hata dakika 2 nikupigie tuongee?
😃😃😃😃😃😃😃Alafu mkuu huyo sio mimi bana...
Alafu kingine ukisikia mtu anapigwa hapa jukwaani jua ni ukorofi kama huu...

Alafu mi siitwi iddi
Alafu mi sifungi CCTV mkuu
Ofisi yangu ipo gongolamboto mimi
Nipigie tuongee mkuu 😃😃😃
 
😃😃😃😃😃😃😃Alafu mkuu huyo sio mimi bana...
Alafu kingine ukisikia mtu anapigwa hapa jukwaani jua ni ukorofi kama huu...

Alafu mi siitwi iddi
Alafu mi sifungi CCTV mkuu
Ofisi yangu ipo gongolamboto mimi
Nipigie tuongee mkuu 😃😃😃
Watu wazima hawapigani mkuu.

Nakupgia nakupigia
 
Wakuu nimechoka kuishi gheto , mchumba niliyekuwa nae alisema bado hajawa tayali kuolewa.

Umri - miaka 36..

Kazi-Seremala

Mwanamke awe na miaka 28 kushuka chini, na asiwe mpare na awe anaishi Ndani ya mkoa wa Iringa.

Mwenye sifa aje PM.
Usipendelee sana kutafuta mwanamke kipindi hiki cha mwisho wa mwaka au mwezi wa 2 (Valentine's Day) maana vipindi hivi wanawake wanakuwa desperate sana kutafuta wanaume wa kuwachezea akili. Demu hata kama shangingi au aliyeshindikana tabia kwa kipindi hiki anakuwa mpole kutaka mwanamme ili jamii imuheshimu, usipokuwa makini utajikuta unaoa zimwi la mwanamke.
 
Back
Top Bottom