Iringa: Upelelezi wakamilika, mtoto anayedaiwa kuwalawiti wenzake kupandishwa kizimbani

Iringa: Upelelezi wakamilika, mtoto anayedaiwa kuwalawiti wenzake kupandishwa kizimbani

Kwa umri wake na hiyo number, duh! Huyo dogo anahitaji msaada pia, sio kumfunga tu na pengine baada ya miaka kadhaa wamuachie kudadadeki.
 
Duuh, kwahiyo walivyopima wamekuta DNA ya mtuhumiwa kwenye njia za hao watoto au?

Maana watoto wana kitu kinaitwa ‘Mass phsychology’, kwamba wakiona ‘suggestion’ inayoletwa kwao ni kumtaja mtu fulani, basi wanaamini hiyo suggestion ndio kitu sahihi cha kufanya, hivyo watakubali hicho unacho suggest.

Anyway, kwakuwa ni mtoto, bado ana nafasi ya kurekebishwa kwenye magereza ya watoto kama kweli itadhibitika kahusika.
 
Sio kawaida. Alikuwa mdogo na yeye alifanyiwa vitendo hivyo?
 
Uongo tu kesi kama hizo huwa hazina ushahidi wa kutosha ....hao madogo huwenda wanafundishwa kumtaja huyo dogo.......

kesi ya sadala wa misungwi ilikuwa ngumu sana na ushahidi ulikuwa unamlenga kabisa....wanafunzi wa shule ya msingi misungwi walifundishwa wamtaje sadala kuwa huwa anawalawiti pindi sadala anapoenda kulisha mifugo yake ( mbuzi)....

lakini ukweli ulikuja kujulikana kuwa ilikuwa ni kesi ya kumbambikia. ...ndugu wa sadala walikuwa wanamchukia sadala na sababu ilikuwa ni kuwa kulikuwa na mali za urithi kama nyumba na viwanja ambazo familia walitaka ziuzwe na wagawane pesa lakini sadala akagoma kabisa....
 
Wazazi ndo tatizo!

Mpk afisa mtendaji ajue mzazi huelewi?

Shame on you!

Mnajua kuzaa tu ,eti mko busy kutafuta hela?

Na haya ndo madhara na matokeo!
 
Kumbuka huyo mbakaji ni mpemba zenji asili yake so wapemba michezo hii inaonesha kawaida sana kwao coz matukio haya pemba mitandaoni yameshamiri sana
 
Matatizo ya kutamani kuchovya ikiwa bado mazingira si salama kwako.

Tatizo wengi wetu au wazazi ni waoga kuongea na watoto au vijana wetu kuhusu mambo ya ngono na mapenzi kwa ujumla
 
Lijamaa limetumia vidanganyishi ambavyo wahanga kwao hamna Kama TV nk,anawaingilia daah...na huyo dogo hiyo tabia katoka nayo mbali sana itakuwa aidha kwa kufanya na kufanyiwa huko alipotoka kabla kuhamia huo mtaa...

fungaaaaa hilo tapeli,funga.
 
duu!! toto hatari hilo, lishapunguza idadi ya wanaume, yani kila kukicha idadi ya wanaume inapungua,

wanawake wana tabu, sijui watakuja kuolewa na kina nani wakati wanaume wanazidi kupungua.
Wamuangalie vizuri. Pengine mtu mzima huyo. Kapunguza miaka!

Mtoto gani wa miaka 14 anaakili ya kuwapakata wanaume wenzake?

Wazazi wake waachunguzwe vizuri.
 
Kwa umri wake na hiyo number, duh! Huyo dogo anahitaji msaada pia, sio kumfunga tu na pengine baada ya miaka kadhaa wamuachie kudadadeki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huku ndio kwenye Kiwanda cha Uzalishaji wa Mashoga,Wazazi tunapaangalia tu. Hao wakikua wakubwa hawashikiki...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom