Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,012
- 23,633
Kwa umri wake na hiyo number, duh! Huyo dogo anahitaji msaada pia, sio kumfunga tu na pengine baada ya miaka kadhaa wamuachie kudadadeki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamuangalie vizuri. Pengine mtu mzima huyo. Kapunguza miaka!duu!! toto hatari hilo, lishapunguza idadi ya wanaume, yani kila kukicha idadi ya wanaume inapungua,
wanawake wana tabu, sijui watakuja kuolewa na kina nani wakati wanaume wanazidi kupungua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na hapo usikute ni video za ngono ndo zimemtia vishawishi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Habari inamhusu mtoto wa miaka 14/15 kuwalawiti watoto wenzake kwa kuwadanganyia pipi, pesa, kuangalia tv nyumbani kwao, nk.
Mtoto huyo akikua atakua hatareee.duu!! toto hatari hilo, lishapunguza idadi ya wanaume, yani kila kukicha idadi ya wanaume inapungua,
wanawake wana tabu, sijui watakuja kuolewa na kina nani wakati wanaume wanazidi kupungua.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yeye anataka jinsia yake.Kwan hamna mademu wa rika lake?
Ujue 15 ni umri wa form two
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa umri wake na hiyo number, duh! Huyo dogo anahitaji msaada pia, sio kumfunga tu na pengine baada ya miaka kadhaa wamuachie kudadadeki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku ndio kwenye Kiwanda cha Uzalishaji wa Mashoga,Wazazi tunapaangalia tu. Hao wakikua wakubwa hawashikiki...
Duuuuuh hii hatareee mnoo. Khaaah.Hii nyingine kabisa, imetangazw jana!
Nipo eneo tajwa kwa ss!
Ya kwanza mtuhumiwa alikuwa mtu mzima kamaliza chuo kikuu cha Tumaini