Lijamaa limetumia vidanganyishi ambavyo wahanga kwao hamna Kama TV nk,anawaingilia daah...na huyo dogo hiyo tabia katoka nayo mbali sana itakuwa aidha kwa kufanya na kufanyiwa huko alipotoka kabla kuhamia huo mtaa...fungaaaaa hilo tapeli,funga.
Wamuangalie vizuri. Pengine mtu mzima huyo. Kapunguza miaka! Mtoto gani wa miaka 14 anaakili ya kuwapakata wanaume wenzake? Wazazi wake waachunguzwe vizuri.