Iringa: Wakala wa malipo anaswa akidaiwa kuiba TSh Bilioni 2.1, Polisi wafanikiwa kuokoa TSh Milioni 956

Zile pipa za plastic halafu unachimbia mita 12,
Ila ukiminywa korodani utasema tu[emoji23][emoji23],hakuna kitu kinauma kama kuminywa kende kwa plies..
Ukiiba zigo ka hilo kwanza inbd upotee duniani had mda upite sio ukanunue Harrier..
Watu wanashindwa ku act low profile somewher ndani ndani huko hakuna cha simu wala nn hapo zigo ushalifukia inatkiwa uvumilivu haswa wakat unangoja vumbi lipoe....
Sema kukaa miaka 4 au 5 bila kuzitumia ni habari ingine
 
Tatizo huyu mhindi anawaminya sana wafanyakazi wake...hamna kitu muhimu kama self esteem
 
Wawekezaji wa ndani waachiwe mara moja.
 
Hawa jamaa wameiba pesa, bila yakujipanga! Unaweza vipi kuiba pesa ndefu kama hii,na bado ukawa upo Tanzania unashangaa mataa??

Yaani nipige pesa kama hii,napotea kabisa Tanzania,narudi baada ya miaka kadhaaa

Kuna jamaa mmoja alikuwa mtanashati sana alikuwa CEO wa PRIDE akiitwa Malima, alipiga mpaka benki ikafilisika na mpaka leo hajulikani aliko!!!
 
Hivi bitcoin unazitoaje,, nina bitcoin alibaba za sh bilion 5,kuzitoa sasa ndo shida,, [emoji848][emoji848]
Bitcoin alibaba tena??
Nambie uliziwekaje uko bosi??
Maan uelewa wangu btc ni rahisi kutoa kama unamiliki exchange kama mexc,hotbit,binance
Eh uko imekuaje kuaje??
 
1. Weka pesa yote kwenye crypto
2. Usitumie zaidi ya ulichokuwa nacho, huwezi ku-spend zaidi ya 300m kwenye magari huku vyanzo vyako vya mapato vikiwa havieleweki tena kwa majina yako
3. Kimbia wakiwa wanajipanga
Elimu ya fedha ndo kitu tumekosa mzee nikiwepo ata mimi.
Kuna coin niliinunua kwa 100usdt sasa ikapump ikapiga hadi 1500usdt.nikatoa 715usdt aisee ile ela niliichakaza haikukatisha giza mbili.
 

Zilizopatikana ni hizo mil 900 Na ushehehe. Je hizo ambazo polisi wamepiga wao na kugawana Mbona hazijatajwa.

Dili kama hizo polisi Huwa wanapiga mpunga mrefu kuanzia Boss wao Na vijana waliozamu.

Ila Tz ni nchi ya hovyo sana, Polisi wanazunguka na mpunga wote huo ili iweje ? Kama huo mpunga ulikuwa kwenye Electronic na mifumo, inamaana polisi wameenda kutoa Benk Na kutembea nazo au ...,; maelezo hayajakamilika na usikute huu nao ni uongo wa polisi kujifanya wanaokoa mali kumbe ni janja janja.... hakuna kitu kama hicho .

Polisi Watoe kWanza maelezo.... wizi umefanyika kupitia electronic, wao Hayo makeshi wametoa wapi ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…