Iringa: Wakala wa malipo anaswa akidaiwa kuiba TSh Bilioni 2.1, Polisi wafanikiwa kuokoa TSh Milioni 956

Daaaaaaah wangetoboa tayariii
 
Sio kibongo bongo, technolojia ni finyu saana. Hapo wangekua smart wasingekamatwa hata mmoja, traces zote za ushahidi wanafuta, mkwanja wanaingiza kwenye bitcoin wallet, apo inakua imeishaa hakuna mbwa atakaeweza kujua.
Unafutaje trace na huna access na platform, vitu vingine tusiongee ili ujulikane unajua
 
Hili jeshi Bana, MADIBIRA kuna wakulima wa mpunga Kilombero hali kadhalika,
Jeshi haliwezi kujisafisha waje na haya mapichapicha, hata watumie mchanganyiko WA mafuta ya tas, diesel, mchanga, chlorine, maji ya betri ngumu Sana kulisafisha,

Hii ID ya kututangazia matukio mema mazuri ya jeshi siyo??
 
Uongo tu mnatengeneza drama zenu ili watu wasahau habari ya mtwara,mtu aibe hela yote hyo ashindwe kuitunza.
 
Futuhiiiiii Ndiyo ni FUTUHI.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Dah we jamaa. Unajua nimesikia kale kamlio na kasauti ka yule jamaa anavyosema hayo maneno?!
 
Hawa jamaa wameiba pesa, bila yakujipanga! Unaweza vipi kuiba pesa ndefu kama hii,na bado ukawa upo Tanzania unashangaa mataa??

Yaani nipige pesa kama hii,napotea kabisa Tanzania,narudi baada ya miaka kadhaaa
Mkuu usitukane wakunga uzazi ungalipo.

Huo mchakato wa kuikimbia nchi ndiyo mchakato wa kusweka ndani.

Mtu kafa, usije ukamcheka marehemu kwa uzembe ulosababisha madhila ya kifo chake, elewa kuwa zako hazijafika tu, nawe waweza ukaja kufa kizembe zaidi ya marehemu!

Vinginevyo, wahalifu wasingelikuwa wanabambwa.

Walivyo ndani sasa hivi, ndiyo njia "njema" za kufanya waepuka kukamatwa zinawajia vizuuuri vichwani mwao!

Mambo haya, wee acha tuu!
 
Linakuaga kama pepo hata muhusika mwenyewe ukifikiria huelewi
 
Die Rich or Keep Trying !!! (Unfortunately this one didn't work that way !!)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…