Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Iron Dome ya Israel yazidiwa nguvu na vikombora vya wapalestina

Tatizo watu hawajui israel inavyo lindwa na high tech.

Kombola la hamasi likirushwa mambo mawili yanatokea.

1. Alarm ambayo inapigwa kuwa taarifu wananchi kwamba wana sekunde 30 ya kujificha. Israel vituo vyote vya mabasi ni shelter , na kila nyumba in chumba kimoja ambacho ni shelter. Sehemu zote public zina maeneo ambayo ni shelter hivo hata kama bom litafika madhara ni madogo sana.


2. IRON DOME: Pamoja na alarm kutoa taarifa , huu mtambo wenyewe una fanya analysis, kama kombola linaelekea kwenye makazi ya watu, basi unatuma missile kudestroy kombola toka gaza lakini kama kombola la hamasi linatua kwenye empty space basi iron dome inatulia tuu.


Hivyo unavo sikia hamasi wametuma makombola 1000 unaweza kuta labda moja tuu ndio bahati mbaya limetua kwenye makazi ya watu bila kuzuiwa.


Hivyo fujo za hamasi ni kuwatesa tuu watu wa gaza kwa sababu hakuna shelter wala fefense system yeyote .
Isee hapo mashariki ya kati huo mkono unaopigwa hapo ni balaa...

Hawa jamaa ni magenious sana Mkuu..ila nahisi kuna wasaidizi wao wapo nyuma ya pazia.
 
Tatizo watu hawajui israel inavyo lindwa na high tech.

Kombola la hamasi likirushwa mambo mawili yanatokea.

1. Alarm ambayo inapigwa kuwa taarifu wananchi kwamba wana sekunde 30 ya kujificha. Israel vituo vyote vya mabasi ni shelter , na kila nyumba in chumba kimoja ambacho ni shelter. Sehemu zote public zina maeneo ambayo ni shelter hivo hata kama bom litafika madhara ni madogo sana.


2. IRON DOME: Pamoja na alarm kutoa taarifa , huu mtambo wenyewe una fanya analysis, kama kombola linaelekea kwenye makazi ya watu, basi unatuma missile kudestroy kombola toka gaza lakini kama kombola la hamasi linatua kwenye empty space basi iron dome inatulia tuu.


Hivyo unavo sikia hamasi wametuma makombola 1000 unaweza kuta labda moja tuu ndio bahati mbaya limetua kwenye makazi ya watu bila kuzuiwa.


Hivyo fujo za hamasi ni kuwatesa tuu watu wa gaza kwa sababu hakuna shelter wala fefense system yeyote .
Hizo system za Alam nchi nyingi zinazo hata Iran juzi kati kuna mji ililia na mtaani kukawa hakuna mtu kutoka nje kwa sababu ya kuhofia kombora kutoka nje ya nchi kuingia nchini humo but baadae wakaja kusema system za alam zimehakiwa
 
Rockets continue to be launched from #Gaza into #Israel in the last hour, several barrages have targeted Ashkelon, Ashdod and multiple other communities along the Gaza border.
 
Israel watume nyuklia wawapoteze tu hao watu wanasumbua dunia kila eneo ni vikundi vya ugaidi tu bora kuwapoteza na kizazi chao tu
 
Walishawahi kujaribu walipigwa wakachakaa hawana hamu tena au wewe husomi historia?
Kwanini na wao hawasomi historia ya makosa yao.Mbona Hamas wanapigwa kila siku wakiibuka na wao wanarusha ngumi.Huu ndio uanaume.Anayekuonea usipoweza kupigana naye basi angalau mtukane matusi ya nguoni.
 
Tunapo kwenda every palestanian household backyard is a potential kassam rocket launch site. Kazi kweli kweli.
 
Isee hapo mashariki ya kati huo mkono unaopigwa hapo ni balaa...

Hawa jamaa ni magenious sana Mkuu..ila nahisi kuna wasaidizi wao wapo nyuma ya pazia.
Siku ile ya mwanzo nilimuona jamaa kavaa mavazi meupe na mnene alikuwa anazichapa kwa mkono na hakamatiki.Itakuwa aliwalaza wanajeshi kadhaa wa Israel pamoja na bunduki zao na huenda hasira zilipanda kuanzia pale. Mwenyezi Mungu ameapa hawapendi madhalimu na hawapi ushindi uliotimia.
 
Back
Top Bottom