Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Wacha weeeee. Hezbullah wa Nyakatuntu nakuona.Una hoja mkuu, mfano wapambane na Hezbollah (total war) yenye makombora 150,000 tena mengi ni 'precious guided missiles', hizo Iron dome lazima zizidiwe tu na miji yao mingi itaharibiwa.
Kiufupi hamna bado mfumo wa ulinzi ulio 100% 'perfect'.
T14 Armata
Hawezi kutetea wafuasi wa muddy(56) mme wa Bi. Aisha(9) wanaopigwa na kuteseka huko Palestina 😀😃😄😁Tatizo nini?
Tatizo nini?Hawezi kutetea wafuasi wa muddy(56) mme wa Bi. Aisha(9) wanaopigwa na kuteseka huko Palestina 😀😃😄😁
HAMAS walikuwa na tunnels ambazo wamezijenga tangu miaka ya 2000 kwa msaada wa Iran mahsusi kwa ugaidi, ni underground na zilikuwa na masawaliano unique, entry na exit zote walizijua wao tu. Waulize leo kilichowakuta.Kwahiyo ulitaka usemaje maamuma? Waache yapite hayo makombora? KKwanini HAMAS nao wasitengeneze makombora ya bei kubwa?
Hamas wanatumia makombora waliyopewa na wafadhili wao, IranAta sioni cha kusifia hapo,kama Makombora yameundwa tu na kikundi cha watu ambao ujuzi wao ,nguvu kazi na financial resources ni haba yanawasumbua hivyo.
Je makombora ambayo yatakuwa yemeundwa na Nchi itakuwaje??
kaka F-16, F-35 zinadodosha vitu vizito bila kuzuizi chochote cha anga, kwa kweli HAMAS wanatia huruma.Naona wiki 2 zinakatika Hamas-Gaza hawajarusha roketi hata moja ndani ya Israel kitu Gani kimewasibu hawa makamandoo hatujawazoea hivi kabisa, naombeni mnijuze wadau Niko vijijini huku mtandao unasumbua.
Mfumo wa ulizi wa Israel ni 55% kwa sofiscated weapons, kwa local made weapons uko 88% bado hapo hauwezi kutoa matokeo 100%, isreal kupewa nafasi ya 18 duniani kwa jeshi bora is over rated.Una hoja mkuu, mfano wapambane na Hezbollah (total war) yenye makombora 150,000 tena mengi ni 'precious guided missiles', hizo Iron dome lazima zizidiwe tu na miji yao mingi itaharibiwa.
Kiufupi hamna bado mfumo wa ulinzi ulio 100% 'perfect'.
T14 Armata
Acha ushabiki hapa tunaangalia cost effect, sio distruction, mimi hapa staki utumie hisia kuleta point zako.kaka F-16, F-35 zinadodosha vitu vizito bila kuzuizi chochote cha anga, kwa kweli HAMAS wanatia huruma.
hujaelewa mkuu kwani ilo kombola likitua lina madhara kiasi ganNi upumbavu iron done ina tumia kobora 1 worthy $ 10,000 kuzuia roketi ya moja ya hamas ya $ 500, hapo kweli kuna cha kusifia, gharama za kuendesha hiyo air defence system ni kubwa kuliko vajeti nzima ya Hamas.
Mmewachokoza wenyewe, sassa mnalia= Dome, siyo "done".
Hata unachokisoma hukielewi halafu unakuja kuongelea mifumo ya ulinzi?
Jiulize hiyo mifumo ilienda livu 7/10?
Ila bado wana mifumo mingine ya ulinzi inayounda 'network of air defenses' kama Arrow-3, David Sling n.kAcha ushabiki hapa tunaangalia cost effect, sio distruction, mimi hapa staki utumie hisia kuleta point zako.
Allah ndo nani sasa!?Allah.
Allah ndo nani sasa!?
Maisha ya mwanadamu ni bora kuliko pesa mkuu.Ni upumbavu iron done ina tumia kobora 1 worthy $ 10,000 kuzuia roketi ya moja ya hamas ya $ 500, hapo kweli kuna cha kusifia, gharama za kuendesha hiyo air defence system ni kubwa kuliko vajeti nzima ya Hamas.
Hapana mi nakukatalia ,huyo allah wenu mbona lugha za mataifa mengine hajui hadi amewalazimisha mjifunze tu lugha yake ya kiarabu tu ,basi huyo sio Mungu aliyeumba ulimwengu na viumbe haiQur'an2:255. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala. Ni vyake pekee vyote viliomo mbinguni na duniani. Ni nani huyo awezaye kuombea mbele yake bila ya idhini yake? Anayajua yaliyo mbele yao na yaliyo nyuma yao; wala wao hawajui chochote katika vilio katika ujuzi wake, ila kwa atakalo mwenyewe. Enzi yake imetanda mbinguni na duniani; na wala haemewi na kuvilinda hivyo. Na Yeye ndiye aliye juu, na ndiye Mkuu. 255
Unashangaa kufunzwa lugha moja ili muelewane?Hapana mi nakukatalia ,huyo allah wenu mbona lugha za mataifa mengine hajui hadi amewalazimisha mjifunze tu lugha yake ya kiarabu tu ,basi huyo sio Mungu aliyeumba ulimwengu na viumbe hai
Hamas wanarusha tu rockets dhaifu
Ata sioni cha kusifia hapo,kama Makombora yameundwa tu na kikundi cha watu ambao ujuzi wao ,nguvu kazi na financial resources ni haba yanawasumbua hivyo.
Je makombora ambayo yatakuwa yemeundwa na Nchi itakuwaje??