Irone Dome - Uchawi wa mu-Israeli

Irone Dome - Uchawi wa mu-Israeli

Wayahudi wamesambaa Duniani, na kizuri zaidi huwa hawasahau kwao hata kama kizazi na kizazi kitapita. Ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa mambo.
Gharama ya kupata malaria ni bure, gharama ya kuitibu haizidi 10,000 na gharama ya kutoitibu inaweza kuwa kifo. Sasa amua moja, usitibu malaria uliyopata bure ili uokoe elfu kumi na ufe au uingie gharama ya elfu kumi uitibu.

Akili za kigaidi haziwezi elewa hii
 
Una hoja mkuu, mfano wapambane na Hezbollah (total war) yenye makombora 150,000 tena mengi ni 'precious guided missiles', hizo Iron dome lazima zizidiwe tu na miji yao mingi itaharibiwa.

Kiufupi hamna bado mfumo wa ulinzi ulio 100% 'perfect'.

T14 Armata
Hezbollah hawana uwezo wa kurusha makombora 150,000. Hamas hawa hapa wamerusha sijui elfu nane hadi mahospitali yao yamepigwa sembuse Hezbollah wakitaka kurusha waliyonayo yote. Hata robo hawatoweza, kwani unadhani Hamas wameishiwa, wako wapi sasa
 
Ni upumbavu iron done ina tumia kobora 1 worthy $ 10,000 kuzuia roketi ya moja ya hamas ya $ 500, hapo kweli kuna cha kusifia, gharama za kuendesha hiyo air defence system ni kubwa kuliko vajeti nzima ya Hamas.
Mkuu iyo rocket ya $500 inapatikana wapi namimi nikajinunulie rocket zangu kama tatu tu zinantosha 😂😂
 
Waongeze teknolojia ya kujibu shambulizi lilikotoka automatically. Kombora la adui likinaswa na kuharibiwa angani la kwao linaenda kutua moja kwa moja kwa maadui. Tena hao maadui wafyagiliwe mbali
 
Ata sioni cha kusifia hapo,kama Makombora yameundwa tu na kikundi cha watu ambao ujuzi wao ,nguvu kazi na financial resources ni haba yanawasumbua hivyo.
Je makombora ambayo yatakuwa yemeundwa na Nchi itakuwaje??

Mama huwajui Hamas na wanaoifadhiri tulia,Iron Dume ni tennologia kubwa.Waliungana Egypt,Jordan,Sirya na Palestina wakamshindwa Israel [emoji1134]
 
Ata sioni cha kusifia hapo,kama Makombora yameundwa tu na kikundi cha watu ambao ujuzi wao ,nguvu kazi na financial resources ni haba yanawasumbua hivyo.
Je makombora ambayo yatakuwa yemeundwa na Nchi itakuwaje??
Kwahyo Kwa akili yko unajua Hamas ndiyo wanaounda mabomu ya kumrushia mwisrael🤔 Hamas ni kundi linalofadhiriwa na mataifa mengi tu vivuli(yaliyojificha yakiwemo mataifa ya kiarabu) wakiongozwa na nchi Yao mama Palestine,, wao Hamas wanachojua ni kutumia tu,.
 
Ni upumbavu iron done ina tumia kobora 1 worthy $ 10,000 kuzuia roketi ya moja ya hamas ya $ 500, hapo kweli kuna cha kusifia, gharama za kuendesha hiyo air defence system ni kubwa kuliko vajeti nzima ya Hamas.
Wabongo bwana😂ebu tupe envidence Kwa ufafanuzi juu ya utengenezaji wa hizo drone deffenceve hapa
 
Ukiachana na iron dome ndugu mchambuzi tupe darasa ya mfumo wao mpya wa arrow walioanza kuutumi week ilopita
 
Hezbollah hawana uwezo wa kurusha makombora 150,000. Hamas hawa hapa wamerusha sijui elfu nane hadi mahospitali yao yamepigwa sembuse Hezbollah wakitaka kurusha waliyonayo yote. Hata robo hawatoweza, kwani unadhani Hamas wameishiwa, wako wapi sasa
unadhani hezbollah ni hamas
 
Ni upumbavu iron done ina tumia kobora 1 worthy $ 10,000 kuzuia roketi ya moja ya hamas ya $ 500, hapo kweli kuna cha kusifia, gharama za kuendesha hiyo air defence system ni kubwa kuliko vajeti nzima ya Hamas.
Hivi mnaichukuliaje Hamas, Hamas ingekuwa ni weak unavyofikiria isingeweza kufanya mashambulizi ya kutisha kama oct 7th, tatizo media zinawadanganya. Yaani budget ya Hamas ni dola 10000?
 
Hivi mnaichukuliaje Hamas, Hamas ingekuwa ni weak unavyofikiria isingeweza kufanya mashambulizi ya kutisha kama oct 7th, tatizo media zinawadanganya. Yaani budget ya Hamas ni dola 10000?
Sio hivo hamas hawana access to modern weapons ukilinganisha na israel, Isreal inatumia gharama kubwa kudhibiti hamas isio fikisha hata 1% ya defence bajeti ya isreal.
 
Ata sioni cha kusifia hapo,kama Makombora yameundwa tu na kikundi cha watu ambao ujuzi wao ,nguvu kazi na financial resources ni haba yanawasumbua hivyo.
Je makombora ambayo yatakuwa yemeundwa na Nchi itakuwaje??
Sisi waafrica tumegundua nini? Kama hiyo technology ni dhaifu tuoneshe hiyo yenye Hali ya juu
 
Back
Top Bottom