Irone Dome - Uchawi wa mu-Israeli

Irone Dome - Uchawi wa mu-Israeli

Hezbollah hawana uwezo wa kurusha makombora 150,000. Hamas hawa hapa wamerusha sijui elfu nane hadi mahospitali yao yamepigwa sembuse Hezbollah wakitaka kurusha waliyonayo yote. Hata robo hawatoweza, kwani unadhani Hamas wameishiwa, wako wapi sasa
Hawawezi sababu hawana hayo makombora ? Au ....?
 
Ata sioni cha kusifia hapo,kama Makombora yameundwa tu na kikundi cha watu ambao ujuzi wao ,nguvu kazi na financial resources ni haba yanawasumbua hivyo.
Je makombora ambayo yatakuwa yemeundwa na Nchi itakuwaje??
Achana na hako kakikundi, basi ilinganishe mifumo ya Ulinzi ya Israeli na ya nchi kamili, Tanzania.
 
Hawawezi sababu hawana hayo makombora ? Au ....?
Makombora hata Hamas hawajaishiwa ila nafasi ya kuyarusha kwa wingi ndio hawana. Hezbollah hawawezi fyatua maroketi yote Israel ikiwa inawasubiri wamalize. Wakifyatua mortars na ATGM tu wanatafutwa sembuse missiles
 
Ni upumbavu iron done ina tumia kobora 1 worthy $ 10,000 kuzuia roketi ya moja ya hamas ya $ 500, hapo kweli kuna cha kusifia, gharama za kuendesha hiyo air defence system ni kubwa kuliko vajeti nzima ya Hamas.
Wenzio wanathamini uhai wa.watu wao kuliko kitu chochote unlike wale.wanaotumia raia zao kama kinga
 
Wenzio wanathamini uhai wa.watu wao kuliko kitu chochote unlike wale.wanaotumia raia zao kama kinga
Sidhani kama ulinielewa sijasema kwamba uhai sio muhimu, ila gharama kubwa inaotumika wakati hata gharama ndogo ingeweza kutumika kulinda huo uhai,
 
Unashangaa kufunzwa lugha moja ili muelewane?

Hushangai kuwa wewe leo unaongea Kiswahili? Ndiyo lugha mama kwako?
Simple and very clear! tatizo ndugu zetu hawa wanafumba macho halafu wanasema hakuna mwangaza!
 
Wayahudi wamesambaa Duniani, na kizuri zaidi huwa hawasahau kwao hata kama kizazi na kizazi kitapita. Ni watu wenye uwezo mkubwa sana wa mambo.
Watu gani wasio na uwezo na mambo zaidi ya waafrika ?
Waislael unawalinganisha na nani ?
Waislael wasipowekeza kwenye teknolojua za kijeshi unadhani watabaki pale mashariki ya kati.
Waarabu hawana cha kupoteza zaidi ya hapo palestina, wana manchi mengi sana mengine walijitwalia huku Afrika kitambo.
Tangu dunia ianze hao waislael wameshindwa kujimegea maeneo hapa duniani wakati wa zama za giza mapori yalikuwa ya bure.
 
Iron dome ni gharama,ila tujue mambo mawili
1.Mosi,gharama zote unazozijua za huko duniani kuanzia mafuta hadi zana za kijeshi ni artificial.Mafuta gharama yake ni ndogo sana ila wazalishaji wanapanga hizo gharama kwa aidha kuongeza au kupunguza uzalishaji.Bei haiakisi chochote,ni watu wamekaa na kupanga.Umaskini wa Africa ni bandit,unasababishwa na wqzalishaji mafuta
Halikadhalika,zana za kivita.Wao ndo wana tec yote na materials.Gharama unazotajiwa ni artificial.Kukufanya usiaford sababu hauwezi kutengeneza au kukufanya utoe hela nyingi.
2.Israel ana mtambo wa kutumgua makombora unatumia lesser beams.Gharama yake ya kutungua kombora moja,ni sawa na bei ya kikombe cha kahawa
Ila anaficha sana matumizi yale,anadai bado haujaanza kutumika.Ila kuna usiri mwingi sana.Nyie mnapojifanya.mnachambua gharama za iron dome.Yeye alishapata mwarobaini zamani.
 
Ni upumbavu iron done ina tumia kobora 1 worthy $ 10,000 kuzuia roketi ya moja ya hamas ya $ 500, hapo kweli kuna cha kusifia, gharama za kuendesha hiyo air defence system ni kubwa kuliko vajeti nzima ya Hamas.
Kazi ya pesa ni nini mkuu?kulinda uhai na gharama ya pesa ipi bora?pesa inarudi na ndio kazi ya pesa
Watu wanajali ulinzi wao kwa Gharama yoyote
 
Hawawezi sababu hawana hayo makombora ? Au ....?
Hawawezi sababu hawana muda wa kufyatua makombora yote. Kadri watakavyoyatuma makombora ndivyo watakavyoangamizwa.
IDF inakamata shehena ya maroketi kila siku hapo Gaza, Hamas si wangerusha yote
 
Kama unasema hayo makombora yangetua israel kweli ingekuwa majivu basi wana haki ya kusambaratisha hilo kundi kwa gharama yoyote hata ya kumwaga damu ya wasio na hatia.

Yaani hii ni sawa na mtu kakuvamia na silaha ili akuue kabisa bahati ukamdhibiti kisha ukakamata ile silaha,bila shaka utamchakaza hadi risasi ya mwisho.

Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
 
Technology hiyo si mchezo
Kuna watu kila siku wanaumiza
Vichwa

Ova
 
Kama yangetua yote basi leo Israel haingekuwepo kwenye uso wa Dunia hii, yangekuwa ni majivu.
Acha uongo, makombora yale ni tactical sio kma anayorusha Israel. Maroketi yametengenezwa kwa sukari na mbolea yanaachaje majivu? Elimu ni muhimu hata kwako maana unachambua vitu way above your abilities.
 
Jana Aljazeera walitangaza kuwa kitakwimu, kila baada ya dakika 10 wanakufa watoto watano huko GAZA

Na mpaka sasahivi zaidi ya watoto 1300 hawajulikani walipo na inahisiwa wamefunikwa na vifusi vilivyosababishwa na mabomu yanayorushwa na Waisrael
 
Ata sioni cha kusifia hapo,kama Makombora yameundwa tu na kikundi cha watu ambao ujuzi wao ,nguvu kazi na financial resources ni haba yanawasumbua hivyo.
Je makombora ambayo yatakuwa yemeundwa na Nchi itakuwaje??
Hamasi sio wa kuwazalau hata kidogo! Ni kundi ambalo liko vzr kuanzia mafunzo, siraha mpaka kiuchumi. Unawezaje kusema hawako vizuri financial resources wakati wameweza kuchimba mahandaki kuzunguka Gaza yote? Hivi unadhani Hilo ni jambo dogo? Serikali Yako ya Tanzania tu mpaka Leo hawajaweza kuchimbia mabomba ya maji walau kwa dar peke yake, lkn jamaa wamejenga nyumba chini ya ardhi kuzunguka Gaza yote. Then unasema hawako vizuri kiuchumi? We wa wapi wewe!!!!
 
Back
Top Bottom