mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Dunia sasa hivi kila taifa lina vifo vinavyotokana na Corona, hata sisi pia, ila hatufichi na kuacha raia wenyewe waanike kwenye mitandao kwa kutupia video nyingi nyingi.
Yanatuhusu 100%. Our borders are porous and Kenya cannot contain it if Tanzania is under stress. Hivi leo uliskia Kenya ina visa viwili kutoka Migori? Kuna uwezekano hivyo chanzo chake sio Kenya
Sijamsklza nitacheck video baadaye ila nimepitia kule jukwaa lenu la siasa naona wanavyochambua hotuba yake Rais Magufuli leo katuweka wazi zaidi kuwa CHADEMA mpo sahihi kukimbia Bungeni - JamiiForums
Rumours are Tanzanians are secretly sneeking into Kenya through panya routes, when did the tide change, they were up in arms for the border to be closed for kenyans not to cross, sasa imekua ni wao ndio wanatoroka
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QUOT
We have 33 COVID-19 patients quarantined in Tanga, which borders Mombasa. If you get to know how many Kenyans are in this group you will be shocked to death. This is not to mention other COVID-19 positive Kenyans in such towns as Moshi and Arusha.
Si eti kuna uwezekano. It was clearly stated that the two who tested positive in Migori had a travel history from Tanzania. The government should protect our borders now than ever beforeYanatuhusu 100%. Our borders are porous and Kenya cannot contain it if Tanzania is under stress. Hivi leo uliskia Kenya ina visa viwili kutoka Migori? Kuna uwezekano hivyo chanzo chake sio Kenya
Nakumbuka Marekani alitoa raia wake Tanzania, kilichotokea ni kuruka majivu na kukanyaga moto!! Huko marekani cases za corona ni zaidi ya milioni moja wakati Tanzania ni pungufu ya 500!!India ina idadi ya watu 1,387,297,452
Tanzania ina idadi ya watu 60,000,000
Kwa mahesabu ya haraka inaonyesha idadi yenu nyote ni kamkoa kule kwao.
Nahisi wanaomba wapewe fursa ya kuikimbia Tanzania baada ya kuona hali ya mifumo yenu na mnavyochukulia poa hili janga licha ya baadhi ya viongozi wenu kumezwa nalo, kumbuka hata Wamarekani walisha wakimbia, mtu anaona bora akahangaikie kwao ambapo mifumo inafanya kazi.
Japo naona kuna baadhi ya viongozi wenu wanaonekana kufahamu hali ilivyo bila kuficha wala kuremba wanaisema ilivyo, mfano ni huyu mama ...
Is Tanzania covering up the real number of coronavirus deaths?Mussa Kwikima, a retired high court judge, passed away on April 27 at the Kairuki Hospital in Dar es Salaam. The 81-year-old was tested for COVID-19 following his death and two days later the family was notified on the phone that the results had come back positive.
Yet his death certificate, which was seen by Al Jazeera and dated on May 4, has "natural" as the cause of death, according to a relative.
Abdul*, a close relative of Kwikima, said when they visited the department of health at the Ilala municipal council on April 30 to discuss the burial, they saw the worker on duty open a book titled Mazishi ya COVID-19- Swahili for "COVID-19 burials" - and that Kwikima was the 256th name in the book.
Ukweli hata mfiche wapi utachipuka.Yaani vifo zaidi ya mia mbili kwa kituo kimoja?
Is Tanzania covering up the real number of coronavirus deaths?
Mbona video za vifo Kenya amuonyeshiBut that is what they are crying out for. Enda Twitter utapata hata video
Mbona video za vifo Kenya amuonyeshiBut that is what they are crying out for. Enda Twitter utapata hata video
Mwenye anataka kujua zile vifo ziko Kenya, labda uigie kwa hospitali. Kwa barabara huwezi pata.Mbona video za vifo Kenya amuonyeshi
Send by APOLO 1
Tuliwaambia international press will pick this up, a documentary is soon coming watch this spaceUkweli hata mfiche wapi utachipuka.Yaani vifo zaidi ya mia mbili kwa kituo kimoja?
Is Tanzania covering up the real number of coronavirus deaths?