Is Covid-19 out of control at our neighbors?

Yanatuhusu 100%. Our borders are porous and Kenya cannot contain it if Tanzania is under stress. Hivi leo uliskia Kenya ina visa viwili kutoka Migori? Kuna uwezekano hivyo chanzo chake sio Kenya

Why then don't you simply take control of your 'porous' boarders? Or is that out of control in Kenya - the Middle Income Country?
 
Rumours are Tanzanians are secretly sneeking into Kenya through panya routes, when did the tide change, they were up in arms for the border to be closed for kenyans not to cross, sasa imekua ni wao ndio wanatoroka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We have about 33 case
 
Yanatuhusu 100%. Our borders are porous and Kenya cannot contain it if Tanzania is under stress. Hivi leo uliskia Kenya ina visa viwili kutoka Migori? Kuna uwezekano hivyo chanzo chake sio Kenya
Si eti kuna uwezekano. It was clearly stated that the two who tested positive in Migori had a travel history from Tanzania. The government should protect our borders now than ever before
 
Nakumbuka Marekani alitoa raia wake Tanzania, kilichotokea ni kuruka majivu na kukanyaga moto!! Huko marekani cases za corona ni zaidi ya milioni moja wakati Tanzania ni pungufu ya 500!!
 
Ukweli hata mfiche wapi utachipuka.Yaani vifo zaidi ya mia mbili kwa kituo kimoja?
Is Tanzania covering up the real number of coronavirus deaths?
 




hii haitawawacha sawa watanzania, meko anawapotosha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…