MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 32,408
- 50,809
View attachment 1448482
View attachment 1448483
hii haitawawacha sawa watanzania, meko anawapotosha.
Wananchi wa US walionywa watoke Bongo, kuna baadhi walikaidi.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
View attachment 1448482
View attachment 1448483
hii haitawawacha sawa watanzania, meko anawapotosha.
Bongo isipochunga itakuja kuwa na janga zaidi ya lile lilitokea italia, maafa tupu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee nimeenda kwa hio thread yao bana mpaka wantanzania wenzao wanashangaa with their own reasoning, hawa watu ni kibarua bana,nimeona wakona kabila mbili chadema na ccm, the day chadema itapata 50% support hawa wanaeza uwana kama sisi 2007Tatizo watatuingiza kwenye balaa yao maana tuna mpaka mrefu sana nao na kuchangia baadhi ya makabila pande zote mbili.. Htuna jinsi ya kuwakwepa, wakizingua n kuumia kwa ukaidi itatukuta sisi pia.....yaani hawa watu ni mtihani.
Utasubiri sana 😂 😂 😂wanaeza uwana kama sisi 2007
Aisee nimeenda kwa hio thread yao bana mpaka wantanzania wenzao wanashangaa with their own reasoning, hawa watu ni kibarua bana,nimeona wakona kabila mbili chadema na ccm, the day chadema itapata 50% support hawa wanaeza uwana kama sisi 2007
Sent using Jamii Forums mobile app
Kifo kikitokea, anayeficha na asiyeficha wote sawa. Jambo la msingi ni kuangalia familia yako, haya mambo ya kuipigania nchi as if wewe ndio mwenye uchungu sana, ipo siku utabaki na nchi huku wanafamilia wako wakiwa wamepukutikaDunia sasa hivi kila taifa lina vifo vinavyotokana na Corona, hata sisi pia, ila hatufichi na kuacha raia wenyewe waanike kwenye mitandao kwa kutupia video nyingi nyingi.
Kupambana na COVID - 19 inahitaji regional response. Kama mmoja kati yetu akiwa vulnerable na sisi pia itatuathiri asilimia 100Yanatuhusu 100%. Our borders are porous and Kenya cannot contain it if Tanzania is under stress. Hivi leo uliskia Kenya ina visa viwili kutoka Migori? Kuna uwezekano hivyo chanzo chake sio Kenya
View attachment 1448482
View attachment 1448483
hii haitawawacha sawa watanzania, meko anawapotosha.
Kifo kikitokea, anayeficha na asiyeficha wote sawa. Jambo la msingi ni kuangalia familia yako, haya mambo ya kuipigania nchi as if wewe ndio mwenye uchungu sana, ipo siku utabaki na nchi huku wanafamilia wako wakiwa wamepukutika
Kama waliokutwa na maambukizi ni Wakenya na Wazambia, hapo sasa ni nani ambaye hatulii?Tatizo hiki ni kifo cha kuambukiza, mnawaponza sana majirani zenu, nyie kama mumeamua mfe, basi kufeni huko wenyewe ila hamtulii kwenu, ona mlichokifanya Zambia, mji wao wa mpakani mumewaambukiza sana
Hata hong kong, south korea zina mpaka na china lakini maambukizi hayakuzidi. Kenya inafaa kufunga mpaka na tz.Tatizo watatuingiza kwenye balaa yao maana tuna mpaka mrefu sana nao na kuchangia baadhi ya makabila pande zote mbili.. Htuna jinsi ya kuwakwepa, wakizingua n kuumia kwa ukaidi itatukuta sisi pia.....yaani hawa watu ni mtihani.
Kama waliokutwa na maambukizi ni Wakenya na Wazambia, hapo sasa ni nani ambaye hatulii?
Mkuu, kila mtu ahangaike nchini kwake. Ninyi hangaikeni na wagonjwa wenu plus wavuka mipaka, na sisi tuache tuhangaike na wagonjwa wetu. Hakuna haja ya kutoa povu kwa wagonjwa wasiokuhusuMpakani ni vigumu kuwa na control ukizingatia mnachangia makabila na baadhi ya majirani, mnawaambukiza, nyie jifieni huko bila kusumbua majirani.
Basi mipaka ifungwe kila mtu akae kwaoMkuu, kila mtu ahangaike nchini kwake. Ninyi hangaikeni na wagonjwa wenu plus wavuka mipaka, na sisi tuache tuhangaike na wagonjwa wetu. Hakuna haja ya kutoa povu kwa wagonjwa wasiokuhusu
Hauwezi kuwapangia wengine wafanye utakavyo. Wee funga kwako, automatically utakuwa umefunga na huku. Kwani mlango ukifungwa kwa ndani, kuna haja tena ya kuhitaji mtu akufungie na kwa nje? 😁Basi mipaka ifungwe kila mtu akae kwao
Mkuu, kila mtu ahangaike nchini kwake. Ninyi hangaikeni na wagonjwa wenu plus wavuka mipaka, na sisi tuache tuhangaike na wagonjwa wetu. Hakuna haja ya kutoa povu kwa wagonjwa wasiokuhusu